Biashara ya miili Iringa noma

Biashara ya miili Iringa noma

nchi haipo salama kujiuza kunaanzia maofisini;ukishaingilia utatuzi wa kero za mpenzi wako tayari umeshanunua;wanaume hawapendi utegemezi wa mizinga ya kila siku.makahaba wataendelea kujiuza.
 
Kama Buguruni, Kimboka na Sinza Dar; mjini Iringa ukahaba wazi wazi tena huku ni zaidi ya Dar. Ufuska unafanya utamruhwa mchana kweupe. Nenda Holiday-in bar Frelimo bei ni kuanzia 15,000 na kuendelea hapo ni pamoja na room. Pia kuna tetesi kuwepo madanguro ya siri maeneo mengi ikiwemo Kihesa.

Serikali ihalalishe tu uuzaji wa miili maana imefumbia macho suala hilo.
Wakihalalisha utamruhusu mkeo akachukue leseni?
 
Mkuu hii umeiweka kama tangazo kabisa. Yaani mie nikiamka na mtingo wangu sasa najua wapi pa kwenda. Wala gesti sitafuti kwani ushanitaarifu niende wapi.
matangazo ya biashara hapa jf hatulipii mkuu
 
Back
Top Bottom