mhuni
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 955
- 594
Ngaliba Dume kuja huku uyajue maeneo mengne ya kupata papuch
Last edited by a moderator:
.mbeya carnival,ukija sumbawanga watosha by night.karibu wapoAhaa kkumbe Kimboka wanauza. sawasawa napajua pale. Nilikua najiuliza wapi nitapata hii huduma chap chap. asante JF. Na ninyi wa Iringa hapo holiday inn jjiandaeni. kesho kutwa nitatia timu hapo. Mkuu na Mbeya wanapatikana wapi hawa wadudu ? Nina safari ya Tunduma j3.
Sheria unazijua kwamba kama mchezo ni mtoano halafu muda umeisha hakuna mshindi, muda hua unaongezwa, robo saa huku robo saa kule. Mkitoka sare tena bila goli then ni penalty. Hapa penalty lenyewe ni bao la mkono au mdomoni utakapo penda mwenyewe. Kama muda umeongezwa ni dhahir na pesa itaongezwa kidogo. Madhumuni ni mteja aridhike. Na kule ulaya mteja ni mfalme kweli kweli. Sio hapa bongo unapiga bao la chuma mboga wewe umesimama mwenzio anasachi mifuko ya suruali ambayo iko chini ya magoti.
Ngaliba Dume kuja huku uyajue maeneo mengne ya kupata papuch
Kama Buguruni, Kimboka na Sinza Dar; mjini Iringa ukahaba wazi wazi tena huku ni zaidi ya Dar. Ufuska unafanywa mchana kweupe. Nenda Holiday-in bar Frelimo bei ni kuanzia 15,000 na kuendelea hapo ni pamoja na room. Pia kuna tetesi kuwepo madanguro ya siri maeneo mengi ikiwemo Kihesa.
Serikali ihalalishe tu uuzaji wa miili maana imefumbia macho suala hilo.
Inaanza Baikoko, Kimini na baadae Karaoke
serikal hawawezi piga stop hii biznez ,cz hata wakubwa nao wanajipatia huduma wakihitaji ,so hapo ni non stop biznez