Biashara ya kutafsiri movie za Hollywood kwa sound dubbing kama wafanyavyo Azam two

LOYAL AMANI

New Member
Jul 13, 2021
1
10
Habari wanajamii.
Mwaka jana mwezi wa Desemba nilikuwa naangalia filamu iliyotafsiriwa na Ahmada Abdulrahman maarufu kama Dj Mark nikajiuliza inashindikana nini kuingiza sauti za Kiswahili kama wanavyofanya Azam tv kwenye tamthilia zao kama Sultan, Jamai raja na Kufli. Jibu ni kwamba gharama ya copyright ni kubwa sana.

Baada ya kufanya utafiti nikakutana na scientific paper inaelezea jinsi ya kuandika program ya kutoa sauti za waigizaji kwenye movie zilizopo kwenye website ya netflix ili kubaki na music&effects track unayoweza kuiwekea sauti za kiswahili.

Kwa kuifata hiyo scientific paper nimeiandika program ya kutoa sauti na kubaki na music & effects track.

Hivi sasa ninatafuta wadau wa kufanya nao biashara hii watakaoweza kugharamikia hardware za studio kama Pc, sound card, na mic pamoja na gharama za uendeshaji kama kulipa voice actors na watendaji wengine watakaohitajika.

Plan yangu ni kuziuza movie zilizotafsiriwa kwa CD kariakoo kama wanavyofanya wanaotafsiri kwa voice over kama Dj Mark, Murphy na wengineo.

Nimeongea na buni hub pale tume ya sayansi kuhusu kuitumia office space yao kwa ajili ya studio kipindi cha mwanzoni.

Niko tayari pia kuchangia mtaji katika hii project.

Ninapatikana kwa namba 0689281120; piga simu au text muda wowote ule kama uko interested kujua zaidi kuhusu business projections au kama una swali ungependa nikuelezee zaidi.

Natanguliza shukrani
 
Mkuu kufanya dubbing haitoleta usumbufu ktk copyright ? Ila umewaza vyema nakuunga mkono
Kwa kuwa serikali yetu imeonesha kutowasumbua wale wanaotafsiri sasa hivi kama kina Dj Mark na hata tangu enzi za Mkandala Rufufu, naona haitoleta shida kwani ni nafasi ya vijana wengi walio na mtaji mdogo kujiajiri kwa kuuza hizi movie mtaani.
Wote wanaouza movie zilizotafsiriwa kariakoo na mtaani hawana copyight
 
😂😂 Nimejikuta tu nacheeeka...Umenikumbusha mbali sana enzi izo kwenye vibanda umiza ilikuwa noma sana
 
Habari wanajamii.
Mwaka jana mwezi wa Disemba nilikuwa naangalia filamu iliyotafsiriwa na Ahmada Abdulrahman maarufu kama Dj Mark nikajiuliza inashindikana nini kuingiza sauti za Kiswahili kama wanavyofanya Azam tv kwenye tamthilia zao kama Sultan, Jamai raja na Kufli. Jibu ni kwamba gharama ya copyright ni kubwa sana.
Baada ya kufanya utafiti nikakutana na scientific paper inaelezea jinsi ya kuandika program ya kutoa sauti za waigizaji kwenye movie zilizopo kwenye website ya netflix ili kubaki na music&effects track unayoweza kuiwekea sauti za kiswahili.
Kwa kuifata hiyo scientific paper nimeiandika program ya kutoa sauti na kubaki na music & effects track.
Hivi sasa ninatafuta wadau wa kufanya nao biashara hii watakaoweza kugharamikia hardware za studio kama Pc, sound card, na mic pamoja na gharama za uendeshaji kama kulipa voice actors na watendaji wengine watakaohitajika.
Plan yangu ni kuziuza movie zilizotafsiriwa kwa Cd kariakoo kama wanavyofanya wanaotafsiri kwa voice over kama Dj Mark, Murphy na wengineo.
Nimeongea na buni hub pale tume ya sayansi kuhusu kuitumia office space yao kwa ajili ya studio kipindi cha mwanzoni.
Niko tayari pia kuchangia mtaji katika hii project.
Ninapatikana kwa namba 0689281120; piga simu au text muda wowote ule kama uko interested kujua zaidi kuhusu business projections au kama una swali ungependa nikuelezee zaidi.
Natanguliza shukrani
Wazo zuri saana naamini wapenzi wa movies watazipokea vizuri sana huku mtaani hasa kama kukiwa na ubunifu wa kutosha kwa hao watakaoingiza sauti
 
Habari wanajamii.
Mwaka jana mwezi wa Disemba nilikuwa naangalia filamu iliyotafsiriwa na Ahmada Abdulrahman maarufu kama Dj Mark nikajiuliza inashindikana nini kuingiza sauti za Kiswahili kama wanavyofanya Azam tv kwenye tamthilia zao kama Sultan, Jamai raja na Kufli. Jibu ni kwamba gharama ya copyright ni kubwa sana.
Baada ya kufanya utafiti nikakutana na scientific paper inaelezea jinsi ya kuandika program ya kutoa sauti za waigizaji kwenye movie zilizopo kwenye website ya netflix ili kubaki na music&effects track unayoweza kuiwekea sauti za kiswahili.
Kwa kuifata hiyo scientific paper nimeiandika program ya kutoa sauti na kubaki na music & effects track.
Hivi sasa ninatafuta wadau wa kufanya nao biashara hii watakaoweza kugharamikia hardware za studio kama Pc, sound card, na mic pamoja na gharama za uendeshaji kama kulipa voice actors na watendaji wengine watakaohitajika.
Plan yangu ni kuziuza movie zilizotafsiriwa kwa Cd kariakoo kama wanavyofanya wanaotafsiri kwa voice over kama Dj Mark, Murphy na wengineo.
Nimeongea na buni hub pale tume ya sayansi kuhusu kuitumia office space yao kwa ajili ya studio kipindi cha mwanzoni.
Niko tayari pia kuchangia mtaji katika hii project.
Ninapatikana kwa namba 0689281120; piga simu au text muda wowote ule kama uko interested kujua zaidi kuhusu business projections au kama una swali ungependa nikuelezee zaidi.
Natanguliza shukrani
Ni wazo zuri lakini ninachofahamu kama miaka 2, iliyopita bunge lilipitisha sheria ya kupiga marufuku uingizaji wa lugha nyingine /kutafsiri filamu , baada ya bongo movies kulalamika kuwa filamu zao hazina soko, baada ya hizo series kuwa zinatsiriwa kwa kiswahili!!japo sio sababu pekee!!nadhani waziri alikuwa Mwakyembe!!na sheria ipo sema haisimamiwi tu!!kwani hii nchi bwana kwa sasa hata haieleweki unaweza anza tu ukawasikia wameibuka hao sheria inatakiwa isimamiwe au COSOTA, wanageuza kwako kama duka lao!!lakini sheria ipo kabisa.wakati mwingine unajilipua tu likitokea la kutokea ndio utajua la kufanya hapo hapo.
 
Hakuna sheria yoyote itakayo kubana nimepiga kazi kariakoo ya hizi movie, na ndicho chanzo cha kipato changu . Wanaosumbuliwa ni wenye maduka ya kuuza movie , kwa hiyo kama unafanya ili ukamuuzie mwenye duka la jumla kariakoo au muhindi utapiga pesa sema uwe na mtu ambaye amekaa kwenye hii industry ya movie na ana spirit hiyo utatoka katika hii biashara
 
Ni wazo zuri lakini ninachofahamu kama miaka 2, iliyopita bunge lilipitisha sheria ya kupiga marufuku uingizaji wa lugha nyingine /kutafsiri filamu , baada ya bongo movies kulalamika kuwa filamu zao hazina soko, baada ya hizo series kuwa zinatsiriwa kwa kiswahili!!japo sio sababu pekee!!nadhani waziri alikuwa Mwakyembe!!na sheria ipo sema haisimamiwi tu!!kwani hii nchi bwana kwa sasa hata haieleweki unaweza anza tu ukawasikia wameibuka hao sheria inatakiwa isimamiwe au COSOTA, wanageuza kwako kama duka lao!!lakini sheria ipo kabisa.wakati mwingine unajilipua tu likitokea la kutokea ndio utajua la kufanya hapo hapo.
Wapige marufuku na tozo nguruwe hao. Wanahisi watoto wa watu wana survive vipi huku mtaani
 
Habari wanajamii.
Mwaka jana mwezi wa Desemba nilikuwa naangalia filamu iliyotafsiriwa na Ahmada Abdulrahman maarufu kama Dj Mark nikajiuliza inashindikana nini kuingiza sauti za Kiswahili kama wanavyofanya Azam tv kwenye tamthilia zao kama Sultan, Jamai raja na Kufli. Jibu ni kwamba gharama ya copyright ni kubwa sana.

Baada ya kufanya utafiti nikakutana na scientific paper inaelezea jinsi ya kuandika program ya kutoa sauti za waigizaji kwenye movie zilizopo kwenye website ya netflix ili kubaki na music&effects track unayoweza kuiwekea sauti za kiswahili.

Kwa kuifata hiyo scientific paper nimeiandika program ya kutoa sauti na kubaki na music & effects track.

Hivi sasa ninatafuta wadau wa kufanya nao biashara hii watakaoweza kugharamikia hardware za studio kama Pc, sound card, na mic pamoja na gharama za uendeshaji kama kulipa voice actors na watendaji wengine watakaohitajika.

Plan yangu ni kuziuza movie zilizotafsiriwa kwa CD kariakoo kama wanavyofanya wanaotafsiri kwa voice over kama Dj Mark, Murphy na wengineo.

Nimeongea na buni hub pale tume ya sayansi kuhusu kuitumia office space yao kwa ajili ya studio kipindi cha mwanzoni.

Niko tayari pia kuchangia mtaji katika hii project.

Ninapatikana kwa namba 0689281120; piga simu au text muda wowote ule kama uko interested kujua zaidi kuhusu business projections au kama una swali ungependa nikuelezee zaidi.

Natanguliza shukrani
Habari mkuu, endapo project hii imefanikiwa naomba unipe nafasi ya kufanya kazi nawewe kama muigizaji wa sauti, naamini utalifanyia kazi ombi langu, Ahsante Sana. 0743097373
 
Back
Top Bottom