Leo 13 agosti siku ya kuzaliwa Fid Q tumuwish birthday kwa ngoma za kwake kali unazo zikubali

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,026
12,338
Nina ufungua uzi kwa kumtambulisha huyu kamanda kwa namna hii.

1200px-Fid_Q_at_the_2013_Zanzibar_International_Film_Festival.jpg

Farid Kubanda alizaliwa August 13 katika hospitali ya Bugando iliyopo jijini Mwanza. Sababu mtoto kwa mama hakui alilazimika kulelewa na bibi yake na ilikuwa ngumu sana kwa bi mkongwe huyu kugundua ndoto za huyu mjukuu.

Mara kwa mara alimkuta kufungulia mziki halafu kama anaongea peke yake hivi, bibi alihisi labda jamaa ana matatizo ya kiakili na kuamua kumripoti kwa mama yake mapema kabla haijawa aibu mbele ya elimu za kila tawi, hawakujua, hawakujua, huyu hapa.

Hiyo ni sauti ya Salama Jabir kwenye mkwaju wa Agosti 13 akimtambulisha farid kubanda a.k.a Fid Q.

Happy birthday kwa King wa Bongo Hip hop 🍥✨. Naisindikiza na huu mkwaju wako wa wananiita King ft Nylon.

[fid Q]
nnapo'flow ka slow motion, ni soo utadhani abortion
natokea lake victoria, flow zaidi ya indian ocean
na'make hit songs, bila msaada wa promotion
huku na speed mother tongue, Mic nai'grab kama voltures
nipo deep zaidi ya blue sea, beef sifagilii
mie A wao Z'ee mashine nawapiga ka Bruce lee
wanang'ong'a mchana kutwa usiku wanakesha wanan'soma
eti nalongaga tu mistari, mikali huku naogesha goma
wakati ya kwao, waisifiayo mikali sijawahi kuiona
tena na tena wakipata zero wataitwa selfish
wawe wema wanaponi'miss, mi ntatenda zaidi ya segment
na roho kama christian adui naeza mgeuza red brick
na'punch zaid ya boxing ring, ma'emcee ni kama dustbin
wapo fake kama wedding ring ya whitney na bobby
cheki nnavyolipuka kama wafuasi wa Bin laden
cheki ninavyoibuka, again and again
sijisifii kuwafunika, emcee naheshimika
utii nahitajika, sisikii nnachoandika
wanaingia mitini kama Tarzan
Nnacho heshimu mimi ni yale maji ya hamsini ya azam

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]


[ Nylon ]
Nilianza kama masihara sasa na'make dollar
ni mwanajeshi nalo ni mchizi wanula kito
mpaka leo mi bado nipo
wengi wanautaka ufalme
Mi ndo kidume
wanafikiri kazi rahisi
wana ji'cosmetic fair
wanajipuliza perfume huku bado wananuka
wanajishangaa
wanapanda, wanashuka, wanapanda, wanashuka
nishazoea ki'hustle kitaa na wala similiki duka
kidume na stick mwanzo mwisho kati sitoshuka
wanakumbuka shuka tayari kumeshapambazuka
aliye tangulia katangulia hata ukilia bwana mdogo
jifunze kuvumilia, sifi njaa nachoma kama njaa
mtaani nakubalika mi ndo chao kifaa
nashow love na machizi mi ndo chao kifaa
moyoni sina kinyaa wakati ule mpaka leo
hivo nilivyo mimi haswaa
ndivyo nilivyo mimi haswaa

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]


siwezi kuutaka u'Michael Jackson, lakini u'Fid Q unnalipa
so sana kama Mike Tyson, lakini naamini ntashinda
ukinichukia, huku unanichekea, nitakuacha unalia
Kimbia nnapotembea, ka' unataka kunifikia
niko fresh kama cucumber, Mjeshi bila magwanda
Cheki nnavyotambaa, kama TMK na mapanga
Nmepita mass kibao kama yule wa Uganda
Mwanza mwanza rum father utadhani Jeru the Damaja
Unasema eti ni njaa hiyo itakata kama ramada
Ninashindana mwenyewe sababu hakuna challenger
Motherland na'represent ka babaloo canada
kichaa kama ace payne, smart zaidi ya florida
ah ah you cant tell me nothing
kabla ya kukupa mkono kwanza naitemea mate
kujua ku'rap haimaanishi naijua Hip Hop
Unapoongea chap sio lazima u'Tongue twist kama twister
nliipoanza mziki sikujua fedha itauharibu
sikujua, mabinti wengi watataka ukaribu
Tunashindwa kujiamini kiasi cha kukosa chaguo
unapoisweka kabatini, kwamba dili kama nguo
ni hali halisi sio dharau na ni kweli mziki ni uhuni
Mzazi muombee mwanao mashetani yasimrubuni
Nilipo na nilipoanzia, sipo ninapohitaji nibaki
Pia sihofii kupitwa ili mradi muda usiniache

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kummkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]



Fid itabidi atueleze mashabiki zake siri ya mchezo ya yeye kuweza kumaintain ndani ya game kwa zaidi ya 20 years till now kama ngoma yako inayoitwa siri ya mchezo ft juma nature.
Verse 1:

Nilipotoka mbali na ninaheshimu nilipo

sikuwa na umuhimu kihivyo stimu zikanipa elimu ya Biko

Kimaandiko kimistari.. hadi fans wanascream nikirap..

sikuamini kama nina zali mpaka nilipoidream hiphop

Wanapagawa. Na baadhi ya mambo nayoyajua..

pia nina uwezo wa kufanya mpaka madawa yanaugua

Wanapagawa na nyimbo ngumu hawa #teamMabiiitoz

Achana na power window.. sijui rimz za dimpoz

haileti bingo, mshiko? Star ishi simple

sanaa iko hivyo sometimes.. hukataa kukaaa ulipo

wanaodharau.. hujiletea matatizo..

hawajui kama wadau hupendelea kukuona hivyo?

bonge la staa.. donge la njaa.. hauna kitu

jikombe ugongwe mtaaa ukuone hauna ishu

ukishindwa kujiandaa jiandae kushindwa

mjinga utaachwa unashangaa kumuona Martin Kadinda

Usmati anaotinga, majumba mandinga

ya bwana Almasi.. je hizi track za harakati ni ujinga?

HAPANA.... nguvu ya mamba ni maji

na umaarufu au kutamba.. kushika namba ni bahati

sio kipaji kama Kubanda eti unachana kigumu

kisa track ikivuma sana kwenye chati haidumu

Amani kwa chachage na MAKUWADI wa SOKO HURIA..

baba asante kwa UTAFITI na ZAWADI ya ALMASI ya BANDIA

NYUMBANI nasikiliza DUNIA YA SASA ya MARIJANI..

najiuliza tutarithi nini ikiwa IMANI ishakwisha tangu zamani?

labda kubisha na wakinitisha najihami..

inasikitisha unapoibiwa na aliyekupigisha ni jirani

Pole MAPROSOO( uhujumu --uchumi ) umefanya umetubu..

WAZEE ni wahuni hadi soo waay back before SUGU

Taifa la kondoo.. huendeshwa na serikali ya Dubu

na MBWA MWITU wenye siri.. ili bepari umuabudu

kimahakama, kiserikali, kidini umsujudu..

huo ni utumwa pia

Unafanya vijana wanaumia..

Tunaishia kufia mabatani kama nzi ndani ya glass ya bia..

CHORUS: (Juma Nature)

Siri ya mtungi aijuaye kata..

komaa kaza.. kisha utapata x2

Siri ya mchezo naijua mimi..

tu.. na hakuna mwingine x2

Verse 2:

Tofauti ya BIASHARA na SIASA ikila hasara inaweza buma

wakati SIASA kila mara ukiwa unang'ara ujue kuna.. kinara

anayeunda msafara wa wanaojituma

na kuchuma kwa kukufanya uwe imara hapo hasara hakuna

KIDUMU CHAMA CHA MASELA Ukoloni mambo leo umetupa uhuru wa bendera,

tuone kufuru za wenye hela

TANZANIA ni demu wa mtungo wanamuiita CHA WOOTE

HANGOVER .. anaikimbia kwa kupiga mtungi saa zote

Mkubwa anazuga atasolve matatizo ya nchi yake

na gari bovu.. halisukumwi kwa kukaa ndani yake

MAENDELEO ni ile ndoto..MWEZEKAJI ashaipuuza..

je Kukaa karibu na moto ni kuuota au kujiunguza?
hakuna UHURU wa kweli msidanganywe na illusion

na daily tunafeli sababu ya POLITICAL institutions

CIVILIZATION imeadvance sasa wanatuua economically..

hakuna utumwa mbaya kama ule wa kujiona uko free

Kuusaka ukweli ni sawa na kumenya kitunguu

kila ganda litakutoa machozi na utabaki macho juu

Ukishafika kwenye kiini niambie nini utagundua?

zaidi ya mafaili yaliyounganika utaghairi kuyafunua?

Wamejivisha U-NOAH.. SAFINA zao zikatoboka

Wakajivisha U-MUSSA.. FIMBO zao hazikugeuka NYOKA

Sasa wanaujaribu U-MUNGU MTU kuamua nani leo atatoka!?

CHORUS: (Juma Nature)

Siri ya mtungi aijuaye kata..

komaa kaza.. kisha utapata x2

Siri ya mchezo naijua mimi..

tu.. na hakuna mwingine x2

Happy birthday Fid Q nakusindikiza na hii mikwaju kutoka kwako:-
i, Mwanza
ii, August 13
iii, Propaganda
iv, Ripoti za mtaani
V, Siri ya mchezo
vi, Usinikubali haraka
vii, Temanoleji
Viii, Wananiita King
ix, Nyota ya mchezo
X, Iam proffesional
Xi, Ielewe mitaa
Xii, Sihitaji marafiki
Xiii, Bendera ya chuma
Xiv, Bongo Hip hop
Xv, Walk it off
Mingine mtaongeza makamanda😎

Muwish Birthday ngosha kwa mikwaju mikali unayo ielewa toka kwake hapa chini⏬
 
Anaekupiga ngumi ya jicho na wewe mpige ngumi ya sikio, akikuuliza unaonaje? Na wewe muulize unajisikiaje?
 
Nina ufungua uzi kwa kumtambulisha huyu kamanda kwa namna hii.

View attachment 2716097
Farid Kubanda alizaliwa August 13 katika hospitali ya Bugando iliyopo jijini Mwanza. Sababu mtoto kwa mama hakui alilazimika kulelewa na bibi yake na ilikuwa ngumu sana kwa bi mkongwe huyu kugundua ndoto za huyu mjukuu.

Mara kwa mara alimkuta kufungulia mziki halafu kama anaongea peke yake hivi, bibi alihisi labda jamaa ana matatizo ya kiakili na kuamua kumripoti kwa mama yake mapema kabla haijawa aibu mbele ya elimu za kila tawi, hawakujua, hawakujua, huyu hapa.

Hiyo ni sauti ya Salama Jabir kwenye mkwaju wa Agosti 13 akimtambulisha farid kubanda a.k.a Fid Q.

Happy birthday kwa King wa Bongo Hip hop 🍥✨. Naisindikiza na huu mkwaju wako wa wananiita King ft Nylon.

[fid Q]
nnapo'flow ka slow motion, ni soo utadhani abortion
natokea lake victoria, flow zaidi ya indian ocean
na'make hit songs, bila msaada wa promotion
huku na speed mother tongue, Mic nai'grab kama voltures
nipo deep zaidi ya blue sea, beef sifagilii
mie A wao Z'ee mashine nawapiga ka Bruce lee
wanang'ong'a mchana kutwa usiku wanakesha wanan'soma
eti nalongaga tu mistari, mikali huku naogesha goma
wakati ya kwao, waisifiayo mikali sijawahi kuiona
tena na tena wakipata zero wataitwa selfish
wawe wema wanaponi'miss, mi ntatenda zaidi ya segment
na roho kama christian adui naeza mgeuza red brick
na'punch zaid ya boxing ring, ma'emcee ni kama dustbin
wapo fake kama wedding ring ya whitney na bobby
cheki nnavyolipuka kama wafuasi wa Bin laden
cheki ninavyoibuka, again and again
sijisifii kuwafunika, emcee naheshimika
utii nahitajika, sisikii nnachoandika
wanaingia mitini kama Tarzan
Nnacho heshimu mimi ni yale maji ya hamsini ya azam

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]


[ Nylon ]
Nilianza kama masihara sasa na'make dollar
ni mwanajeshi nalo ni mchizi wanula kito
mpaka leo mi bado nipo
wengi wanautaka ufalme
Mi ndo kidume
wanafikiri kazi rahisi
wana ji'cosmetic fair
wanajipuliza perfume huku bado wananuka
wanajishangaa
wanapanda, wanashuka, wanapanda, wanashuka
nishazoea ki'hustle kitaa na wala similiki duka
kidume na stick mwanzo mwisho kati sitoshuka
wanakumbuka shuka tayari kumeshapambazuka
aliye tangulia katangulia hata ukilia bwana mdogo
jifunze kuvumilia, sifi njaa nachoma kama njaa
mtaani nakubalika mi ndo chao kifaa
nashow love na machizi mi ndo chao kifaa
moyoni sina kinyaa wakati ule mpaka leo
hivo nilivyo mimi haswaa
ndivyo nilivyo mimi haswaa

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]


siwezi kuutaka u'Michael Jackson, lakini u'Fid Q unnalipa
so sana kama Mike Tyson, lakini naamini ntashinda
ukinichukia, huku unanichekea, nitakuacha unalia
Kimbia nnapotembea, ka' unataka kunifikia
niko fresh kama cucumber, Mjeshi bila magwanda
Cheki nnavyotambaa, kama TMK na mapanga
Nmepita mass kibao kama yule wa Uganda
Mwanza mwanza rum father utadhani Jeru the Damaja
Unasema eti ni njaa hiyo itakata kama ramada
Ninashindana mwenyewe sababu hakuna challenger
Motherland na'represent ka babaloo canada
kichaa kama ace payne, smart zaidi ya florida
ah ah you cant tell me nothing
kabla ya kukupa mkono kwanza naitemea mate
kujua ku'rap haimaanishi naijua Hip Hop
Unapoongea chap sio lazima u'Tongue twist kama twister
nliipoanza mziki sikujua fedha itauharibu
sikujua, mabinti wengi watataka ukaribu
Tunashindwa kujiamini kiasi cha kukosa chaguo
unapoisweka kabatini, kwamba dili kama nguo
ni hali halisi sio dharau na ni kweli mziki ni uhuni
Mzazi muombee mwanao mashetani yasimrubuni
Nilipo na nilipoanzia, sipo ninapohitaji nibaki
Pia sihofii kupitwa ili mradi muda usiniache

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kummkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]

View attachment 2716093

Fid itabidi atueleze mashabiki zake siri ya mchezo ya yeye kuweza kumaintain ndani ya game kwa zaidi ya 20 years till now kama ngoma yako inayoitwa siri ya mchezo ft juma nature.
Verse 1:

Nilipotoka mbali na ninaheshimu nilipo

sikuwa na umuhimu kihivyo stimu zikanipa elimu ya Biko

Kimaandiko kimistari.. hadi fans wanascream nikirap..

sikuamini kama nina zali mpaka nilipoidream hiphop

Wanapagawa. Na baadhi ya mambo nayoyajua..

pia nina uwezo wa kufanya mpaka madawa yanaugua

Wanapagawa na nyimbo ngumu hawa #teamMabiiitoz

Achana na power window.. sijui rimz za dimpoz

haileti bingo, mshiko? Star ishi simple

sanaa iko hivyo sometimes.. hukataa kukaaa ulipo

wanaodharau.. hujiletea matatizo..

hawajui kama wadau hupendelea kukuona hivyo?

bonge la staa.. donge la njaa.. hauna kitu

jikombe ugongwe mtaaa ukuone hauna ishu

ukishindwa kujiandaa jiandae kushindwa

mjinga utaachwa unashangaa kumuona Martin Kadinda

Usmati anaotinga, majumba mandinga

ya bwana Almasi.. je hizi track za harakati ni ujinga?

HAPANA.... nguvu ya mamba ni maji

na umaarufu au kutamba.. kushika namba ni bahati

sio kipaji kama Kubanda eti unachana kigumu

kisa track ikivuma sana kwenye chati haidumu

Amani kwa chachage na MAKUWADI wa SOKO HURIA..

baba asante kwa UTAFITI na ZAWADI ya ALMASI ya BANDIA

NYUMBANI nasikiliza DUNIA YA SASA ya MARIJANI..

najiuliza tutarithi nini ikiwa IMANI ishakwisha tangu zamani?

labda kubisha na wakinitisha najihami..

inasikitisha unapoibiwa na aliyekupigisha ni jirani

Pole MAPROSOO( uhujumu --uchumi ) umefanya umetubu..

WAZEE ni wahuni hadi soo waay back before SUGU

Taifa la kondoo.. huendeshwa na serikali ya Dubu

na MBWA MWITU wenye siri.. ili bepari umuabudu

kimahakama, kiserikali, kidini umsujudu..

huo ni utumwa pia

Unafanya vijana wanaumia..

Tunaishia kufia mabatani kama nzi ndani ya glass ya bia..

CHORUS: (Juma Nature)

Siri ya mtungi aijuaye kata..

komaa kaza.. kisha utapata x2

Siri ya mchezo naijua mimi..

tu.. na hakuna mwingine x2

Verse 2:

Tofauti ya BIASHARA na SIASA ikila hasara inaweza buma

wakati SIASA kila mara ukiwa unang'ara ujue kuna.. kinara

anayeunda msafara wa wanaojituma

na kuchuma kwa kukufanya uwe imara hapo hasara hakuna

KIDUMU CHAMA CHA MASELA Ukoloni mambo leo umetupa uhuru wa bendera,

tuone kufuru za wenye hela

TANZANIA ni demu wa mtungo wanamuiita CHA WOOTE

HANGOVER .. anaikimbia kwa kupiga mtungi saa zote

Mkubwa anazuga atasolve matatizo ya nchi yake

na gari bovu.. halisukumwi kwa kukaa ndani yake

MAENDELEO ni ile ndoto..MWEZEKAJI ashaipuuza..

je Kukaa karibu na moto ni kuuota au kujiunguza?
hakuna UHURU wa kweli msidanganywe na illusion

na daily tunafeli sababu ya POLITICAL institutions

CIVILIZATION imeadvance sasa wanatuua economically..

hakuna utumwa mbaya kama ule wa kujiona uko free

Kuusaka ukweli ni sawa na kumenya kitunguu

kila ganda litakutoa machozi na utabaki macho juu

Ukishafika kwenye kiini niambie nini utagundua?

zaidi ya mafaili yaliyounganika utaghairi kuyafunua?

Wamejivisha U-NOAH.. SAFINA zao zikatoboka

Wakajivisha U-MUSSA.. FIMBO zao hazikugeuka NYOKA

Sasa wanaujaribu U-MUNGU MTU kuamua nani leo atatoka!?

CHORUS: (Juma Nature)

Siri ya mtungi aijuaye kata..

komaa kaza.. kisha utapata x2

Siri ya mchezo naijua mimi..

tu.. na hakuna mwingine x2
View attachment 2716095
Happy birthday Fid Q nakusindikiza na hii mikwaju kutoka kwako:-
i, Mwanza
ii, August 13
iii, Propaganda
iv, Ripoti za mtaani
V, Siri ya mchezo
vi, Usinikubali haraka
vii, Temanoleji
Viii, Wananiita King
ix, Nyota ya mchezo
X, Iam proffesional
Xi, Ielewe mitaa
Xii, Sihitaji marafiki
Xiii, Bendera ya chuma
Xiv, Bongo Hip hop
Xv, Walk it off
Mingine mtaongeza makamanda😎

Muwish Birthday ngosha kwa mikwaju mikali unayo ielewa toka kwake hapa chini⏬
Mwambie pia kuhusu bandari
 
Fid Q, ana-flow kali, uchaguzi wa beat kali, uandishi mzuri. Mapungufu yapo kwenye jumbe anazowakilisha kwa jamii, mingi ni misemo zaidi iliyopngika kwa vina, kuliko jumbe zilizonyooka na kueleweka.

Masoud Kipanya anatumia sanaa yake kutoa maoni na kuamsha mijadala kwenye kila linaloendelea kwenye jamii, lakini pamoja na sifa nyingi tunazowapa wasanii wetu icluding Fid Q ni kutokuwa sauti wa watu.
 
Nina ufungua uzi kwa kumtambulisha huyu kamanda kwa namna hii.

View attachment 2716097
Farid Kubanda alizaliwa August 13 katika hospitali ya Bugando iliyopo jijini Mwanza. Sababu mtoto kwa mama hakui alilazimika kulelewa na bibi yake na ilikuwa ngumu sana kwa bi mkongwe huyu kugundua ndoto za huyu mjukuu.

Mara kwa mara alimkuta kufungulia mziki halafu kama anaongea peke yake hivi, bibi alihisi labda jamaa ana matatizo ya kiakili na kuamua kumripoti kwa mama yake mapema kabla haijawa aibu mbele ya elimu za kila tawi, hawakujua, hawakujua, huyu hapa.

Hiyo ni sauti ya Salama Jabir kwenye mkwaju wa Agosti 13 akimtambulisha farid kubanda a.k.a Fid Q.

Happy birthday kwa King wa Bongo Hip hop . Naisindikiza na huu mkwaju wako wa wananiita King ft Nylon.

[fid Q]
nnapo'flow ka slow motion, ni soo utadhani abortion
natokea lake victoria, flow zaidi ya indian ocean
na'make hit songs, bila msaada wa promotion
huku na speed mother tongue, Mic nai'grab kama voltures
nipo deep zaidi ya blue sea, beef sifagilii
mie A wao Z'ee mashine nawapiga ka Bruce lee
wanang'ong'a mchana kutwa usiku wanakesha wanan'soma
eti nalongaga tu mistari, mikali huku naogesha goma
wakati ya kwao, waisifiayo mikali sijawahi kuiona
tena na tena wakipata zero wataitwa selfish
wawe wema wanaponi'miss, mi ntatenda zaidi ya segment
na roho kama christian adui naeza mgeuza red brick
na'punch zaid ya boxing ring, ma'emcee ni kama dustbin
wapo fake kama wedding ring ya whitney na bobby
cheki nnavyolipuka kama wafuasi wa Bin laden
cheki ninavyoibuka, again and again
sijisifii kuwafunika, emcee naheshimika
utii nahitajika, sisikii nnachoandika
wanaingia mitini kama Tarzan
Nnacho heshimu mimi ni yale maji ya hamsini ya azam

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]


[ Nylon ]
Nilianza kama masihara sasa na'make dollar
ni mwanajeshi nalo ni mchizi wanula kito
mpaka leo mi bado nipo
wengi wanautaka ufalme
Mi ndo kidume
wanafikiri kazi rahisi
wana ji'cosmetic fair
wanajipuliza perfume huku bado wananuka
wanajishangaa
wanapanda, wanashuka, wanapanda, wanashuka
nishazoea ki'hustle kitaa na wala similiki duka
kidume na stick mwanzo mwisho kati sitoshuka
wanakumbuka shuka tayari kumeshapambazuka
aliye tangulia katangulia hata ukilia bwana mdogo
jifunze kuvumilia, sifi njaa nachoma kama njaa
mtaani nakubalika mi ndo chao kifaa
nashow love na machizi mi ndo chao kifaa
moyoni sina kinyaa wakati ule mpaka leo
hivo nilivyo mimi haswaa
ndivyo nilivyo mimi haswaa

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]


siwezi kuutaka u'Michael Jackson, lakini u'Fid Q unnalipa
so sana kama Mike Tyson, lakini naamini ntashinda
ukinichukia, huku unanichekea, nitakuacha unalia
Kimbia nnapotembea, ka' unataka kunifikia
niko fresh kama cucumber, Mjeshi bila magwanda
Cheki nnavyotambaa, kama TMK na mapanga
Nmepita mass kibao kama yule wa Uganda
Mwanza mwanza rum father utadhani Jeru the Damaja
Unasema eti ni njaa hiyo itakata kama ramada
Ninashindana mwenyewe sababu hakuna challenger
Motherland na'represent ka babaloo canada
kichaa kama ace payne, smart zaidi ya florida
ah ah you cant tell me nothing
kabla ya kukupa mkono kwanza naitemea mate
kujua ku'rap haimaanishi naijua Hip Hop
Unapoongea chap sio lazima u'Tongue twist kama twister
nliipoanza mziki sikujua fedha itauharibu
sikujua, mabinti wengi watataka ukaribu
Tunashindwa kujiamini kiasi cha kukosa chaguo
unapoisweka kabatini, kwamba dili kama nguo
ni hali halisi sio dharau na ni kweli mziki ni uhuni
Mzazi muombee mwanao mashetani yasimrubuni
Nilipo na nilipoanzia, sipo ninapohitaji nibaki
Pia sihofii kupitwa ili mradi muda usiniache

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kummkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]

Ninapo' bounce nawe bounce bounce back kama tennis ball
Kama una bang, bang usikike zaidi ya gunshot
[wananiita king sababu na'drop punches, kwenye boxing ring zinaeza kumkimbiza tyson]

View attachment 2716093

Fid itabidi atueleze mashabiki zake siri ya mchezo ya yeye kuweza kumaintain ndani ya game kwa zaidi ya 20 years till now kama ngoma yako inayoitwa siri ya mchezo ft juma nature.
Verse 1:

Nilipotoka mbali na ninaheshimu nilipo

sikuwa na umuhimu kihivyo stimu zikanipa elimu ya Biko

Kimaandiko kimistari.. hadi fans wanascream nikirap..

sikuamini kama nina zali mpaka nilipoidream hiphop

Wanapagawa. Na baadhi ya mambo nayoyajua..

pia nina uwezo wa kufanya mpaka madawa yanaugua

Wanapagawa na nyimbo ngumu hawa #teamMabiiitoz

Achana na power window.. sijui rimz za dimpoz

haileti bingo, mshiko? Star ishi simple

sanaa iko hivyo sometimes.. hukataa kukaaa ulipo

wanaodharau.. hujiletea matatizo..

hawajui kama wadau hupendelea kukuona hivyo?

bonge la staa.. donge la njaa.. hauna kitu

jikombe ugongwe mtaaa ukuone hauna ishu

ukishindwa kujiandaa jiandae kushindwa

mjinga utaachwa unashangaa kumuona Martin Kadinda

Usmati anaotinga, majumba mandinga

ya bwana Almasi.. je hizi track za harakati ni ujinga?

HAPANA.... nguvu ya mamba ni maji

na umaarufu au kutamba.. kushika namba ni bahati

sio kipaji kama Kubanda eti unachana kigumu

kisa track ikivuma sana kwenye chati haidumu

Amani kwa chachage na MAKUWADI wa SOKO HURIA..

baba asante kwa UTAFITI na ZAWADI ya ALMASI ya BANDIA

NYUMBANI nasikiliza DUNIA YA SASA ya MARIJANI..

najiuliza tutarithi nini ikiwa IMANI ishakwisha tangu zamani?

labda kubisha na wakinitisha najihami..

inasikitisha unapoibiwa na aliyekupigisha ni jirani

Pole MAPROSOO( uhujumu --uchumi ) umefanya umetubu..

WAZEE ni wahuni hadi soo waay back before SUGU

Taifa la kondoo.. huendeshwa na serikali ya Dubu

na MBWA MWITU wenye siri.. ili bepari umuabudu

kimahakama, kiserikali, kidini umsujudu..

huo ni utumwa pia

Unafanya vijana wanaumia..

Tunaishia kufia mabatani kama nzi ndani ya glass ya bia..

CHORUS: (Juma Nature)

Siri ya mtungi aijuaye kata..

komaa kaza.. kisha utapata x2

Siri ya mchezo naijua mimi..

tu.. na hakuna mwingine x2

Verse 2:

Tofauti ya BIASHARA na SIASA ikila hasara inaweza buma

wakati SIASA kila mara ukiwa unang'ara ujue kuna.. kinara

anayeunda msafara wa wanaojituma

na kuchuma kwa kukufanya uwe imara hapo hasara hakuna

KIDUMU CHAMA CHA MASELA Ukoloni mambo leo umetupa uhuru wa bendera,

tuone kufuru za wenye hela

TANZANIA ni demu wa mtungo wanamuiita CHA WOOTE

HANGOVER .. anaikimbia kwa kupiga mtungi saa zote

Mkubwa anazuga atasolve matatizo ya nchi yake

na gari bovu.. halisukumwi kwa kukaa ndani yake

MAENDELEO ni ile ndoto..MWEZEKAJI ashaipuuza..

je Kukaa karibu na moto ni kuuota au kujiunguza?
hakuna UHURU wa kweli msidanganywe na illusion

na daily tunafeli sababu ya POLITICAL institutions

CIVILIZATION imeadvance sasa wanatuua economically..

hakuna utumwa mbaya kama ule wa kujiona uko free

Kuusaka ukweli ni sawa na kumenya kitunguu

kila ganda litakutoa machozi na utabaki macho juu

Ukishafika kwenye kiini niambie nini utagundua?

zaidi ya mafaili yaliyounganika utaghairi kuyafunua?

Wamejivisha U-NOAH.. SAFINA zao zikatoboka

Wakajivisha U-MUSSA.. FIMBO zao hazikugeuka NYOKA

Sasa wanaujaribu U-MUNGU MTU kuamua nani leo atatoka!?

CHORUS: (Juma Nature)

Siri ya mtungi aijuaye kata..

komaa kaza.. kisha utapata x2

Siri ya mchezo naijua mimi..

tu.. na hakuna mwingine x2
View attachment 2716095
Happy birthday Fid Q nakusindikiza na hii mikwaju kutoka kwako:-
i, Mwanza
ii, August 13
iii, Propaganda
iv, Ripoti za mtaani
V, Siri ya mchezo
vi, Usinikubali haraka
vii, Temanoleji
Viii, Wananiita King
ix, Nyota ya mchezo
X, Iam proffesional
Xi, Ielewe mitaa
Xii, Sihitaji marafiki
Xiii, Bendera ya chuma
Xiv, Bongo Hip hop
Xv, Walk it off
Mingine mtaongeza makamanda

Muwish Birthday ngosha kwa mikwaju mikali unayo ielewa toka kwake hapa chini

Yaani List hii imekosekana Mwanamalundi na Ni Hayo tuu
 
Fid Q, ana-flow kali, uchaguzi wa beat kali, uandishi mzuri. Mapungufu yapo kwenye jumbe anazowakilisha kwa jamii, mingi ni misemo zaidi iliyopngika kwa vina, kuliko jumbe zilizonyooka na kueleweka.

Masoud Kipanya anatumia sanaa yake kutoa maoni na kuamsha mijadala kwenye kila linaloendelea kwenye jamii, lakini pamoja na sifa nyingi tunazowapa wasanii wetu icluding Fid Q ni kutokuwa sauti wa watu.
Lakini misemo yake ina mafunzo mengi Sana Kwa mfano...
"Usiache ulichotaka maishani ghafla Tu na kufata kile ulichotamani...!"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom