Sio kwamba ndoa za malaya zinadumishwa na malaya?Malaya wanadumisha ndoa
Kungekuwepoa na makampunia halali ambayo yatatambulika serikalini, yanayowamiliki hawa wanaojiuza na yatalipa kodi kwa mujibu wa sheria. Serikali ingepata sana mapato. Lakini hali ilivyo sasa, serikali ipige marufuku au isipige hii biashara itaendelea tuSasa kama hao kwenye video ndo uwaambie elimu ni ufunguo wa maisha wakati umalaya kwao unalipa ,mtu kwa mwezi anaingiza Hadi 1 million mpaka 3 million unadhani umalaya utaisha kirahisi?
Kwa kifupi biashara ya umalaya haitokaa ije iishe hata tufanye maombi miaka nenda rudi ndo kwanza itazidi kustawi ...serikalin ijikite na mambo mengine tu na sio kukimbizana na umalaya ambao mtu anatumia mwili wake mwenyewe...View attachment 2884629
Sasa kama hao kwenye video ndo uwaambie elimu ni ufunguo wa maisha wakati umalaya kwao unalipa ,mtu kwa mwezi anaingiza Hadi 1 million mpaka 3 million unadhani umalaya utaisha kirahisi?
Kwa kifupi biashara ya umalaya haitokaa ije iishe hata tufanye maombi miaka nenda rudi ndo kwanza itazidi kustawi ...serikalin ijikite na mambo mengine tu na sio kukimbizana na umalaya ambao mtu anatumia mwili wake mwenyewe...View attachment 2884629
Namaanjsha wanandoa ndio wateja wa malayaSio kwamba ndoa za malaya zinadumishwa na malaya?
Biblia inasema ndoa na iheshimiwe na watu wote, tusitumie neno la ujumla “Ndoa” katika mambo ya ajabu ajabu.
Aisee kitambo sana princess ariana , vipi uko poa?Nmecheka jamani aah
Huwezi control technology.Hamaanisshi visiwe regulated or controlled. Maybe kumaliza ni ngumu but controled.
Hawa wakiachwa bila kua controled jamii nzima itaharibika, na hili halikubaliki
Astaghafirullahnaipigia nyeto leo usiku qmmmmq dah
Ndio maana kule mmarekani Hawa wanapatiwa vibali na fbi na polisi pia kule hii ni biashara halali kabisaKungekuwepoa na makampunia halali ambayo yatatambulika serikalini, yanayowamiliki hawa wanaojiuza na yatalipa kodi kwa mujibu wa sheria. Serikali ingepata sana mapato. Lakini hali ilivyo sasa, serikali ipige marufuku au isipige hii biashara itaendelea tu
Hawa hawana chakupoteza duniani Mkuu ndo maana wanauza mwiliHivi mzazi anajisikiaji kuona mtoto wake ndo anatanga hivi, au hawa hawagana wazazi. mambo kama haya huwa natakamani sana nisizae zaidi ya watoto wawili, watoto wana presha sana pale malezi yanaposhindikana
Sasa umeandika nini?Kuwa na heshimu we mtoto, Namna gani bwana. Si unamjua lkn kijana ?
Mkuu umenena niliona Post ya Jamaa kule X formely Twitter anaitwa Martin Maranja Masese, alikuwa anamsagia kunguni Waziri wa Sayansi na Teknolojia kuhusu masuala ya kuzuia kutumia VPN, kumbe huyo Waziri nae kuna Mtandao wa Ngono tena wa Kibongo tena wanaojiuza ni wale Malaya Class A+😂😂😂
Huwezi kupambana na kumaliza biashara ya ngono kamwe! Ukimsikia kiongozi anajifanya kupambana ili kuimaliza biashara ya ngono ujue huyo anatafuta umaarufu wa muda mfupi tu, hana nia ya dhati.
90% ya wanaofanya biashara ya ngono leo hii wanajiuza online hawakai barabarani. Watu wanakubaliana bei, bidhaa inatumiwa usafiri inakuja hadi hotelini. Utapambana vipi hapo?
Kitu wasichojua wengi au wanajua ila wanajitoa akili ni kwamba, wanawake wengi leo hii wanajiuza, tofauti ni aina ya ufanyaji biashara. Tena wengi wanaojiuza sasa ni wasomi wenye taaluma zao, mtu kaanza kujiuza tangu yupo chuo ili apate pesa ya kukidhi mahitaji yake na anajiuza 'kisomi'.
Biashara ya ukahaba ipo enzi na enzi, inabadilishiwa mbinu za ufanyaji tu. Wanaojiuza kwa kukaa barabarani ni asilimia ndogo sana, tena wale washamba wasio na elimu!
Mkuu tujuze ukisikia machimbo mapyaaSasa kama hao kwenye video ndo uwaambie elimu ni ufunguo wa maisha wakati umalaya kwao unalipa ,mtu kwa mwezi anaingiza Hadi 1 million mpaka 3 million unadhani umalaya utaisha kirahisi?
Kwa kifupi biashara ya umalaya haitokaa ije iishe hata tufanye maombi miaka nenda rudi ndo kwanza itazidi kustawi serikalin ijikite na mambo mengine tu na sio kukimbizana na umalaya ambao mtu anatumia mwili wake mwenyewe.
kwann wanaume wananua?Malaya wapo kwa sababu wanaume malaya wapo. Yaani bidhaa huendelea kuwepo sokoni sababu ya wanunuzi wapo