kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Sure mkuu
Sure mkuu
Tabata chang'ombe ila popote naweza kufanyaLocation nikupe upo maeneo gani?
Pako poa ila jaribu kutafuta maeneo ya kinyerezi mbuyuni hakuna game kabisa hapo location tafuta tu utapiga pesa
Mungu anasaidia mkuu, wateja ni watoto na vijana wa chuo wasiopenda kuuza sura mabarabarani
Acha uongo, siyo watoto wote wanaiba, mm nafanya hiyo biashara mkuuPS 4 mbili unatoboa mkuu simple tu ps3 za watoto Hadi waibe hela kwao
Biashara nzuri na inalipa UKISIMULIWAUkiwa nazo mbili location kali unalaza 30 perday
Ungemjibu hapa ili tufaidike woteNjoo PM
kwani bangi ina matatizo gani we mlevi?Kwenye ps wanafunzi wengi hujifunza bangi huko sijui kwa nini
Inshu sio wanafunzi wapo, taratibu ni kuwa muda wa kufungua ni saa.10 jioni, kwanza nadhani hata leseni huna, kwani ungekuwa nayo wala usingekuja kuuliza hapa.Ndugu zangu,
Ninafanya biashara ya kuchezesha games (ps2, ps3 na ps4) kwa siku za shule nimekuwa nafungua saa 9 jioni, kipindi hiki cha likizohuwa nafungua asubuhi saa 4 lakini muda wa saa 9 kasoro. Askari wakanikamata katika kipindi hiki cha likizo, wanadai muda bado.
Naomba kujua utaratibu ukoje, maana wanafunzi sasa hivi wapo majumbani
Asanteni