TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 929
- 1,277
Habar wakuu, kuna gari Aina ya noah zile za zamani, Sasa najiuliza ni biashara gani niweze kufanya ili niweze kupata pesa kwa kutumia hii gari... Kumbuka kwa usafiri kwa hapa Dar es salaam imekatazwa...naombeni mawazo yenu wakuu, na mungu atawabariki.., au kama kuna connection yoyote ile ya namna ya kuitumia hii gari nijulishe. Mimi napatikana hapa Dar, na hiyo gari pia ipo hapa hapa Dar.