P Accountant
JF-Expert Member
- Sep 26, 2020
- 369
- 169
Habari za wakati huu ndugu zangu.
Mie ni kijana wa kiume, ninaishi Dar es salaam. Natafuta kazi ya kufanya (kibarua) aina yoyote, walau niweze kuishi na kupata chakula. Hali nayopitia sasa ni ngumu sana.
Elimu yangu:
Shahada ya Uhasibu
Ujuzi:
Microsoft office
Excel
Computer
Kazi nazo weza kufanya.
√House boy
√Shamba boy
√Duka
√Wakala M-Pesa, Tigo pesa n.k
√Usafi wa mazingira
√Msaidizi fundi ujenzi
√Mhasibu
√Finance Officer
Uzoefu:
Mhasibu msaidizi (miezi sita)
Kwa taarifa zaidi karibuni inbox.
Naombeni mnipe kazi wakuu wangu, hali ngumu sana.
Mie ni kijana wa kiume, ninaishi Dar es salaam. Natafuta kazi ya kufanya (kibarua) aina yoyote, walau niweze kuishi na kupata chakula. Hali nayopitia sasa ni ngumu sana.
Elimu yangu:
Shahada ya Uhasibu
Ujuzi:
Microsoft office
Excel
Computer
Kazi nazo weza kufanya.
√House boy
√Shamba boy
√Duka
√Wakala M-Pesa, Tigo pesa n.k
√Usafi wa mazingira
√Msaidizi fundi ujenzi
√Mhasibu
√Finance Officer
Uzoefu:
Mhasibu msaidizi (miezi sita)
Kwa taarifa zaidi karibuni inbox.
Naombeni mnipe kazi wakuu wangu, hali ngumu sana.