Nina mtaji wa 2M naomba wazo la biashara

Wakuu habarin!

Nimejitaidi kufanya kazi kwa muda mrefu Sana mpaka nikafanikiwa kukusanya kiasi cha Million 2 ila nimeshidwa nifanye biashara gani...
Fungua kijiwe Cha kuuza rangi za magari na vanish zake

Kam unataka elimu yake na mbinu njoo dm ila utanilipa fee ya consultantat

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom