uondoke uende wapi,kwanza mapungufu yaliyosemwa wewe mwenyewe unakiri ni ya kweli,cha kufanya ni kuyafanyia kazi mapungu mr huenda akajirekebisha!!!
Inategemea na mapungufu yanayoongelewa, kama wanasema nimepigwa pasi, narekebishaje hapo?
uondoke uende wapi,kwanza mapungufu yaliyosemwa wewe mwenyewe unakiri ni ya kweli,cha kufanya ni kuyafanyia kazi mapungu mr huenda akajirekebisha!!!
nyie ndo mnaokewa mitego na kunasa kirahisi
ni nadra sana kwa mashangingi ya mjini watembee na mtu wasimjue mkewe
inawezekana hiyo ni set up.....ili uvunje ndoa wajisogeze....
......kwakuwa mke amethibitisha sauti, maneno na ukweli uliodhahiri
Anavyoaibishwa na mumewe, hana budi kuita "wazee wa busara" kulizungumza
Hili mbele ya mumewe. Huyo mume amechemka mbaya.
Upo Salon, mumeo anajadiliwa na wasichana waliopo hapo Salon... Hawajui kama wewe ndo mkewe...
Mmoja wao anatembea nae... full vicheko, full kumpigia simu na kuweka loud speaker. Unamsikia mumeo anajiachia tu... Hajui kama kawekwa kwenye loud speaker... Wanakata simu wanacheka mbaya! Mbaya zaidi, wanasema jamaa anamponda mke wake ile mbaya, wanataja na mapungufu yako ambayo kwa asilimia kubwa ni ya kweli....
Je..? Utafanya nini kama ni wewe...?
Inategemea na mapungufu yanayoongelewa, kama wanasema nimepigwa pasi, narekebishaje hapo?
Huo si ushahidi tosha?
Sidhani kama nitaweza endelea fanya nilichokuwa nafanya hapo salon.
Nitarudi home na kujipanga kuondoka, sitakuwa hata na muda wa kumuuliza
ni kuend hiyo ndoa tu. Saana nitaishare hiyo incident humu with a new ID
ofcourse.
Asprin Likes This......!!Nakubaliana na wewe Kaunga....
Tatizo ni kwamba watu wanasahau kanuni za kutembea nje ya ndoa...
Wataalamu wanasema kuwa ni mwiko kuongea habari za mke wako mbele ya hawara na pia huyo mtu wa nje hana ruhusa kuwasaliana na wife. Akikaidi hayo, lazima alimwe red card bila huruma...
Inapofikia mwanamume anamwaga kila kitu cha mke wake kwa hawara basi kapoteza sifa zote za kuwa mume...
Babu DC!!
Je..? Utafanya nini kama ni wewe...?
.........wanasema when your enemies makes mistakes, don't interrupt them..........
yaani hao mbona unawatafutia dawa tamu tu?
tena wanawake wamepewa moyo wa uvumilivu.....unavumilia na mume unamchekea huku ukimuandalia dawa.....ukimalizana nae hatothubutu kurudia huo ujinga....na huyo mwanamke ukimalizana nae hatothubutu kuiba hadharani............
Upo Salon, mumeo anajadiliwa na wasichana waliopo hapo Salon... Hawajui kama wewe ndo mkewe...
Mmoja wao anatembea nae... full vicheko, full kumpigia simu na kuweka loud speaker. Unamsikia mumeo anajiachia tu... Hajui kama kawekwa kwenye loud speaker... Wanakata simu wanacheka mbaya! Mbaya zaidi, wanasema jamaa anamponda mke wake ile mbaya, wanataja na mapungufu yako ambayo kwa asilimia kubwa ni ya kweli....
Je..? Utafanya nini kama ni wewe...?
Dawa yake huyo unampigia hubby unamwambia gari (kama una lako) imegoma kuwaka aje akuchukue. Afu akifika unamlazimiasha aingie ndani afu unampa tongue kiss ndeeeefu. Kisha mnatoka. Afu mkifika home ndo atajuta kukufahamu. Ile kiss ni action tu kuwa you can have him wherever, and whenever you want.
Siri ya hii mdogo wangu ntakuambia wakati unaingizwa mkoleni. Ila utashangaa, dawa unampigia baba chanji unamuweka loudspeaker unamuambia niko na flani tunapiga stori. Ukirudi home, hata umuambie akufulie vinasa atafua! Halafu ukishamaliza kum-mess up ndo unamuacha!
Hata kama simba inacheza na Chelsea, hukimbii mechi! Unaingia uwanjani unawafanya walau wakafue jezi zao, eboo!
huko mtaani zaidi ya kuangaliana kiaina na kushikana mikono tukiwa matembezini na kukimbizana hakuna la ziada. siwezi eti kumkiss vya chumbani ili watu waone............. yule ni mume wangu na kuna heshima mbele za watu. ni kweli watu wakiona watu wanakiss barabarani lazima wajue ni kimada, kama mkeo hamuwezi kufanya hivyo, pamoja na kila kitu kuna element za heshima
Unadhani kulianzisha ni lazima ufunge kibwebwe na kuanza kupigana mtaani kama wafanyavyo wamama wa uswahilini?
Afu kuhusu heshima...kuna heshima gani kwa mtu ambaye anakubonda kwa small house?; kuna heshima gani na ukipita mtaani watu wana kung'ong'a? Hakuna heshima yeyote ni undava undava...na haondoki mtu...kama kuondoka unaondoka kwa convenience yako.
Mwanaume akishaanza kuchukua machangu hakuna heshima ni ugumu tu na kuvaa mask usoni.