CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
mie ningejichukulia simu yangu as nimeamua kukaa kimya na kusikiliza, then ningeirekodi maongezi na mengine yoyote watakayoongelea, then naenda kumwekea asikilize na ajijue ataamua nini kuacha au kuendelea na tabia. na kuumsema nikitulia roho ili nisife bure kwa ajili ya tendo lake au niseme matendo maana anaweza akawa na wengine huko.
mh, yawezekana iwapo alikunanga kwa kutamka jina lako kama hakutamka atakuruka kimanga. chezeiya wanaume weye. . .