Tena hapo mkolezo na kupigiwa mstari, ndiyo ugonjwa mkubwa wa wanaume wengi...kuponda wake zao kwa mahawara tena si kwa kuzuga bali kutoa siri/mambo yao ya familia huku wao wakijiweka 'perfect' ila wake wana matatizo!!
Hapo nami ningejifanya nachangia mada ili ushahidi ukamilike,
ila nikifika nyumbani tu ni lazima niketi nae nimueleze.
Kama muelewa ataelewa na labda aendeleze kwa siri ila akijifanya ku-'panick ndipo hapo atakapojijutia na ndipo nitakapomkokota hadi hiyo saluni.
[B said:Passion Lady[/B];5646413]yani mimi ningeenda home,fungasha ninachoona kinafaa,kweeetuuuuu!maisha ya kudhalilishana hayana mpango cku hizi,huyo hamuheshimu mkewe hata kidogo,kama ana mambo yake afanye lkn kumsema mke kwa hawara inahusuuu?
Haachwi mtu hapo nikirudi nyumbani ntampa wasaa wa kujielezea,wakuoa wenywe wa shida tunabanana humo humo tumejijenga vzuri na kigari changu kaninunulia cha kumpa dada wa saloon nafasi never,aliapa for better for worse ataishi na mapungufu yangu mpaka kaburini kama jinsi nnavyoishi na mapungufu yake(ambayo ni mengi pia)
shosty mbona ningeishiwa nguvu hapo na kutoamini vitokeavyo mbele yangu...speechless!!
Are those pretty lips yours?
Of course..you like them? Chanel Diorific lipstick will do)
Of course..you like them? Chanel Diorific lipstick will do)
Watu wangekuwa na misimamo kama yangu basi nadhani ndoa na mahusiano yangekuwa pungufu sana.
Wapi na wapi?sorry kwa kuchangia
but hii ndo hasara ya 'kuopoa mashangingi'
loud speaker si mambo ya shule hayo?
watu wazima na loud speaker?....