Beware: Tapeli Tapeli

hata mimi ninashangaa. taifa limepoteza kichwa cha maana maana hata baba yake ni mtu wa kutegemewa (sijui kama bado yuko hai). Top 3 ya darasa kwa olevel alikuwa hakosi. high school ndio alipata marks mbaya (div 3 mbaya hadi kuamua kwenda russia).

Mkuu naona umeamua kuiponda Russia na walioenda Russia. Sidhani kama wote wako hivo. Kila sehemu hutoa fyatu kama hao hata walioenda States, Euro ai hata hapa bongo.
So hapa jaribu kujikita kwa huyo mpenzio tapeli na uache kuhatibu the mighty name of Russia.
 
Yule shida yake ni hela. Hana shida na tunDa. Anakuja kama mtu mwema anayefwata maadili.
Kifupi hakuonja tunda.
Me sina hiyo kutamani waliosoma nje maana hata mimi nimesoma nchi zinazoeleweka (UK)
Wewe ni mulongo kabisa, sema ukweli ulito.mbwa na roho yako itapona. Siyo vibaya, asante sana kwa taarifa lakini
 
Ata muonekano wake inaonesha ni tapel...na cjui ww km mwanamke unayejtambua ukakubal vp kuwa mana watoto wake!??

Kwanza Hana hadhi ya kuwa baba...hadhi yake imekaa kjambazjambaz2

We msomi kutoka UK naona usomi wako haujakusaidia k2...poyeee
 
Hawa wamemwagana tu kwa hasira mmoja kwa kuwa ana access na social media anakuja kumchafua,suppose na yeye aanzishe uzi akidai mambo mabaya juu yako nani tumwamini kati yenu?
Wewe ni Great thinker aisee!! Hilo pia linawezekana.
 
Nimejifunza kitu hapa dawa ni ku promise ndoa tu unakula papachu kiulaini tu.asante Kwa somo zuri
 
Russia pana baridi nyingi hivyo basi ili uweze kuishi pale lazima utumie pombe kali. Sasa wewe umekwenda kusoma, pombe na masomo wapi na wapi?
 
Hh Nyuke mwingine anaitwa Lunyalula alienda kusoma
Rassia akarudi alosto akawa anajifanya ana mkwanja mrefu sana lakini ikimwangalia na mkwanja anaosema anao havifanani
 
Kuna jamaa yangu alienda russia kwa training ya mwezi m1 tu akarudi ni chapombe hatari, nahisi kule baridi inafanya watu wanakunywa sana pombe na sigara na kuweka kando kilochowapeleka! Na pia Russian girls wanashoboka sana kwa blacks so ukiwa mjinga utapotea
 
Aisee dadaangu umekula wa chuya!

Ndurute kama huyo alikuingiza king?

Sa ndo nini kumuanika hapa??
 
Hata mimi naonaga wazungu wengi wa Russia ni walevi kishenz ogopa unampokea mgen airport amelewa had unamshika mkono.
 
Hapo ni Russia kwenye student room ( picha imewekwa facebook kwa kumbukumbu). wewe room yangu haiwezi kuwa huo uchochoro
Room yako iko Kama national stadium mi mwenyewe naikumbuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…