Betting imenifanya masikini wa kutupwa

Betting imenifanya masikini wa kutupwa

GwajiBoy

Member
Joined
Jan 7, 2025
Posts
34
Reaction score
60
Habarini wana jamvi.

Sina mengi ya kuelezea ila hii issue ya BETTING tu, nimejitolea maeneo fulani na kwa mwezi naingiza 250K lakini nikiangalia maendeleo yangu tangu 2022 ni sawa na ziro, sina matumizi mengi kwa siku (hayazidi 4000/=) ila nimekuwa addicted na BETTING yaani siku haiishi bila kuweka mkeka.

Nimejikuta naingia kwenye madeni na kwa sasa nadaiwa zaidi ya 500K na watu watatu, huwa natamani kuacha ila wiki haikati narudi. Nilikuwa nimelenga kufungua studio/library mbili za kurusha movie na miziki lakini naona mwaka unaenda kuisha empty.

Deni lilianza kidogo tu ila nimekuwa na desire ya kulilipa kupitia BETTING. Nikipokea posho naweza kutumia hata laki kwa wiki nashinda lakini zote zinaishia hukohuko.

Naweza kuonekana wa ajabu lakini hii hali ndio napitia na inaniuma sana. Nimewakosea wazazi na majirani na Mungu lakini naamini huu utakuwa mwisho.

Nimeamua kwa sasa nijikite kwenykulipa madeni hayo japo naona naenda kudhalilika maana sina kitu kabisa na muda ndio huu.

Baada ya mwezi mmoja, yaani tar 30/06 nitakuja kutoa mrejesho, niombeeni ndugu zangu (seriously) niweze kuikwepa hii aibu.

Nisaidieni hata kwa ushauri wana Jf. Mwenyezi Mungu awabariki
 
GwajiBoy pole nakuzoom sana kule kweny thread ya kubet mikeka,
Ila betting ni hatar na kuamua kuacha ni kujiweka bize fikra yako nje na betting
Me niliweza huu mwaka toka uanze nimebet mara moja tu na sijarudia

Na sijuh siku za uson kama ntawah rudi ila ningependa iwe ivyo
 
GwajiBoy pole nakuzoom sana kule kweny thread ya kubet mikeka,
Ila betting ni hatar na kuamua kuacha ni kujiweka bize fikra yako nje na betting
Me niliweza huu mwaka toka uanze nimebet mara moja tu na sijarudia

Na sijuh siku za uson kama ntawah rudi ila ningependa iwe ivyo
Hongera sana mkuu, natamani kuwa kama wewe
 
Mbona kina sativa wanasema wanapata mamilioni ? Kina baba Levo?

Nishagundua betting sio ya masikini, tafuta odds 2 , stake high! Kaa hapo agiza kuku na balimi baridi !

Sio unaweka jero mkeka odds 250 unataka ushindi laki 5 !!!

Kingine betting niseme sio ajira, ama njia kuu ya kipato,,,ile ni kama changamsha bongo tu !
 
Mtafute mtu aliyeacha nyeto, atakusaidia nawewe kuacha hilo la Kubet. Pole sana
atampata wapi wakati nyeto huwa hawaachi,
kuna kitu kwenye psychology kinaitwa 'behavior extinction'.....
reappearance of previous conditioned behavior after a certain duration of time.

mtu alieacha nyeto huwa ni suala la muda tu anapiga tena own goal ili aanze kujilaumu.
 
Habarini wana jamvi.

Sina mengi ya kuelezea ila hii issue ya BETTING tu, nimejitolea maeneo fulani na kwa mwezi naingiza 250K lakini nikiangalia maendeleo yangu tangu 2022 ni sawa na ziro, sina matumizi mengi kwa siku (hayazidi 4000/=) ila nimekuwa addicted na BETTING yaani siku haiishi bila kuweka mkeka.

Nimejikuta naingia kwenye madeni na kwa sasa nadaiwa zaidi ya 500K na watu watatu, huwa natamani kuacha ila wiki haikati narudi. Nilikuwa nimelenga kufungua studio/library mbili za kurusha movie na miziki lakini naona mwaka unaenda kuisha empty.

Deni lilianza kidogo tu ila nimekuwa na desire ya kulilipa kupitia BETTING. Nikipokea posho naweza kutumia hata laki kwa wiki nashinda lakini zote zinaishia hukohuko.

Naweza kuonekana wa ajabu lakini hii hali ndio napitia na inaniuma sana. Nimewakosea wazazi na majirani na Mungu lakini naamini huu utakuwa mwisho.

Nimeamua kwa sasa nijikite kwenykulipa madeni hayo japo naona naenda kudhalilika maana sina kitu kabisa na muda ndio huu.

Baada ya mwezi mmoja, yaani tar 30/06 nitakuja kutoa mrejesho, niombeeni ndugu zangu (seriously) niweze kuikwepa hii aibu.

Nisaidieni hata kwa ushauri wana Jf. Mwenyezi Mungu awabariki
Napuna tu
 
Uliambiwa Cheza kwa kiasi wewe ukapitiliza Kwanini usiwe Maskini.
Kwenye Laki moja unatakiwa utumie alafu 10 tu kubetia, katika kubeti usifilie za kula mamilioni vikilia kupata hamsi imezi laki.
tena beti panga siku mbili za kubeti kwa wiki siyo kila siku na usitumie zaidi ya 6,000. kubeti chukulia tu kama sehemu ya kuzifahamu timu duniani, wala usifanye kama kazi.
Mimi msimu huu wote nimepata kama mil 10 na ushee 5,900,000 nilipata kwa pamoja kwa dau la 3000 kwa timu 22 na mil 3,700,000 pia nilizipata kwa pamoja kwa dau la 300.
laki 4 laki 2 kushuka chini nimepata mara kadhaa, hivyo tusiwe fedha unayoitgemea kuendesha maisha yako.
 
Habarini wana jamvi.

Sina mengi ya kuelezea ila hii issue ya BETTING tu, nimejitolea maeneo fulani na kwa mwezi naingiza 250K lakini nikiangalia maendeleo yangu tangu 2022 ni sawa na ziro, sina matumizi mengi kwa siku (hayazidi 4000/=) ila nimekuwa addicted na BETTING yaani siku haiishi bila kuweka mkeka.

Nimejikuta naingia kwenye madeni na kwa sasa nadaiwa zaidi ya 500K na watu watatu, huwa natamani kuacha ila wiki haikati narudi. Nilikuwa nimelenga kufungua studio/library mbili za kurusha movie na miziki lakini naona mwaka unaenda kuisha empty.

Deni lilianza kidogo tu ila nimekuwa na desire ya kulilipa kupitia BETTING. Nikipokea posho naweza kutumia hata laki kwa wiki nashinda lakini zote zinaishia hukohuko.

Naweza kuonekana wa ajabu lakini hii hali ndio napitia na inaniuma sana. Nimewakosea wazazi na majirani na Mungu lakini naamini huu utakuwa mwisho.

Nimeamua kwa sasa nijikite kwenykulipa madeni hayo japo naona naenda kudhalilika maana sina kitu kabisa na muda ndio huu.

Baada ya mwezi mmoja, yaani tar 30/06 nitakuja kutoa mrejesho, niombeeni ndugu zangu (seriously) niweze kuikwepa hii aibu.

Nisaidieni hata kwa ushauri wana Jf. Mwenyezi Mungu awabariki

1748621428380.png
 
atampata wapi wakati nyeto huwa hawaachi,
kuna kitu kwenye psychology kinaitwa 'behavior extinction'.....
reappearance of previous conditioned behavior after a certain duration of time.

mtu alieacha nyeto huwa ni suala la muda tu anapiga tena own goal ili aanze kujulaumu.
Mi mbona nimeacha tangu 2023
 
Back
Top Bottom