hii habari imesambaa hadi whatsApp ...naona aliyeandaa hii list anasoma OPEN or UDOM.
haya mambo ya vyuo yapo since miaka ya nyuma na yanaishiaga JF(tunabishana wee siku zinaenda)...So iweje now hadi kwenye ma-whatsApp habari inasambaa haina link(source)
Link kibao ambazo ni mahususi na zimebobea kwa Kazi hio zipo against na hio list yako........bwana mkubwa ndo kusema hio source yako inatumia vigezo vya kipekeeee kuliko hizo zingine..! BTW HUKO NI KUJIFARIJI TUU
hivi neno linalotumikagaa ni BEST UNIVERSITIES or TOP UNIVERSITIES...............Mkuu me naona hio list yako ni ya uongo......!!!!!!
stand to be corrected!
Najua unaumia sana kuona OPEN na UDOM wanafanya vizuri Tanzania