Best Tanzanian university rank 2015

Best Tanzanian university rank 2015

hii habari imesambaa hadi whatsApp ...naona aliyeandaa hii list anasoma OPEN or UDOM.
haya mambo ya vyuo yapo since miaka ya nyuma na yanaishiaga JF(tunabishana wee siku zinaenda)...So iweje now hadi kwenye ma-whatsApp habari inasambaa haina link(source)

Link kibao ambazo ni mahususi na zimebobea kwa Kazi hio zipo against na hio list yako........bwana mkubwa ndo kusema hio source yako inatumia vigezo vya kipekeeee kuliko hizo zingine..! BTW HUKO NI KUJIFARIJI TUU

hivi neno linalotumikagaa ni BEST UNIVERSITIES or TOP UNIVERSITIES...............Mkuu me naona hio list yako ni ya uongo......!!!!!!

stand to be corrected!

Najua unaumia sana kuona OPEN na UDOM wanafanya vizuri Tanzania
 
Najua unaumia sana kuona OPEN na UDOM wanafanya vizuri Tanzania

Mkuu mim siumii hata kidogo.......nawakubali kichizi udom na open coz wametoa fursa nyingi za Ajira na pia watanzania kupata elimu.(lecturers and students).
 
Mkuu mim siumii hata kidogo.......nawakubali kichizi udom na open coz wametoa fursa nyingi za Ajira na pia watanzania kupata elimu.(lecturers and students).

Ahsante sana kwa kuwakubali, they really deserve to be there kwa mwaka huu...wamerekebisha mambo mengi sana
 
UDOM,UDOM,UDOM watakielewa tu.Mzumbe tupakule,Ardhi tupa kule.Wakuu vipi mbona mnapitwa na chuo mnachodai cha kata?.

Ndio tumeanza naamini baada ya miaka michache mbele tutashika namba moja au mbili mana sio kazi rahisi chuo kilichozaliwa 20kupigaihatuatua hiyo.

Kejeli zenu zinatusaidia kufanya maboresho zaidi nakumbuka kwenye orientation kuna professor alisema "inaniuma sana chuo chetu kuitwa cha kata sasa tutaandaa njia mbadala za kutupandisha kitaaluma zaidi ili tuone sisi na wao nani ni kata".Karibuni mlioumia mjibu hii post.MU mpo?
 
UDOM,UDOM,UDOM watakielewa tu.Mzumbe tupakule,Ardhi tupa kule.Wakuu vipi mbona mnapitwa na chuo mnachodai cha kata?.

Ndio tumeanza naamini baada ya miaka michache mbele tutashika namba moja au mbili mana sio kazi rahisi chuo kilichozaliwa 20kupigaihatuatua hiyo.

Kejeli zenu zinatusaidia kufanya maboresho zaidi nakumbuka kwenye orientation kuna professor alisema "inaniuma sana chuo chetu kuitwa cha kata sasa tutaandaa njia mbadala za kutupandisha kitaaluma zaidi ili tuone sisi na wao nani ni kata".Karibuni mlioumia mjibu hii post.MU mpo?

hahahaha Mkuu unasoma bachelor of what? hapo udom
 
Dr of medicine, ila Mdogo angu anachukua degree ya nursing hapa hapa UDOM .
sasa we ng'ang'ana na sociology UDSM.

Mkuu hivi Bsc. MD ya pale muhimbili hukuipenda nini?

just challenge tuu..... (usinifikirie vibaya)

BTW sisomi sociology Mkuu.
 
Mkuu hivi Bsc. MD ya pale muhimbili hukuipenda nini?

just challenge tuu..... (usinifikirie vibaya)

BTW sisomi sociology Mkuu.

ha ha ha,mkuu hilo swali au tusi?
 
Udom miaka michache ijayo kitakuwa ndo chuo bora Tanzania na ulimwenguni. Japo kimepondwa sana miaka ya nyuma Kuwa ni chuo cha kata. Big up sana udom kwa mikakati yenu madhubuti ongezeni juhudi zaidi.
 
Usiangalie historia, hii ripoti ni mpya imetolewa February 2015,tatizo lako unaangalia rekodi ya 2013,nenda ukagoogle ,andika orodha ya vyuo bora Tanzania 2015 utapata majibu baadala ya kulalamika ,vigezo utapata na source utapata.
 
Udom miaka michache ijayo kitakuwa ndo chuo bora Tanzania na ulimwenguni. Japo kimepondwa sana miaka ya nyuma Kuwa ni chuo cha kata. Big up sana udom kwa mikakati yenu madhubuti ongezeni juhudi zaidi.

mkuu umezidisha hapo,, unajua ulimwengu vizuri?
 
Acha ubazazi hakuna cha msuli? ila kuna nini sasa? unabishana na mimi nliepoteza ndugu zangu weng kisa walilegeza msuli waka disco? Hapa ni msuli tuu na kesho tunaenda kukiamsha tena so uwe unafanya reserch kwanza kabla ujaja hapa miaka inaenda vitu vinabadilika amka, udom sio ile ya 2007 ngja tukae juu hapo ndo mtaelewa

Udom noma , mwaka kesho inaingia mbili bora .
 
Back
Top Bottom