Naona wale wa UDOM na OPEN UNIVERSITY mnajifariji,hivi hawa wanatumia sifa zipi hizo zinazoweza kuiweka ARDHI,Mzumbe,IAA,IFM chini ya OPEN na UDOM?!!!
Maajabu ndio hayo sasa......
59. University of ArushaWapi University of Arusha?
kijana hii wamechukua kwenye world rank na kuzipanga kwa mtiririko wa vyuo kwa Tanzania ila wait kidogo nikuletee hiyoo link.. http://www.webometrics.info/en/world utavipanga wewe kwa mtiririko au ingia afrika sub saharaCHIPWILU!!!kiongozi kugoogle tu kunaweza kukupa takataka ndiyo maana kuna somo la searching techniques, kwani wewe umetafuna au umetafuniwa? hizo msg zimecirculate toka asubuhi kuanzia kwenye wasapp, blogs lakini hazionyeshi source so usilazimishe kusearch kwenye google, ungetaja site accredited kwa kazi hiyo!Top Universities in Tanzania | 2015 Reviews & Rankings unamaanisha hiyo? Maelezo ya mtoa mada kuna Institutes na University kitu ambacho nakikosoa labda tuna school of thoughts tofauti mno!!
http://www.webometrics.info/en/Ranking_africa/Sub_saharan_Africa utavipanga wewe kwa mtiririko wa vyuo kwa TanzaniaHakuna rank ya hivyo!
kijana hii wamechukua kwenye world rank na kuzipanga kwa mtiririko wa vyuo kwa Tanzania ila wait kidogo nikuletee hiyoo link.. World | Ranking Web of Universities utavipanga wewe kwa mtiririko au ingia afrika sub sahara
Hapo wamechanganya pombe na chai, hivi institutes ni university? Hata kama zinatoa degree haziwezi itwa university hapo kuna michanganyiko, na mahaba
Lakini kwa kusema kweli udom kuna collage zinapiga msuli sema bado collage kama moja au mbili ndo znatuangusha ila tutafika tuu
hakuna cha msuli wala nin,walimu wenu ndo wanajitahd kupga research na kuzipublish,ndio kimewabeba hcho.
Acha ubazazi hakuna cha msuli? ila kuna nini sasa? unabishana na mimi nliepoteza ndugu zangu weng kisa walilegeza msuli waka disco? Hapa ni msuli tuu na kesho tunaenda kukiamsha tena so uwe unafanya reserch kwanza kabla ujaja hapa miaka inaenda vitu vinabadilika amka, udom sio ile ya 2007 ngja tukae juu hapo ndo mtaelewa
CHIPWILU!!!kiongozi kugoogle tu kunaweza kukupa takataka ndiyo maana kuna somo la searching techniques, kwani wewe umetafuna au umetafuniwa? hizo msg zimecirculate toka asubuhi kuanzia kwenye wasapp, blogs lakini hazionyeshi source so usilazimishe kusearch kwenye google, ungetaja site accredited kwa kazi hiyo!http://www.4icu.org/tz/ unamaanisha hiyo? Maelezo ya mtoa mada kuna Institutes na University kitu ambacho nakikosoa labda tuna school of thoughts tofauti mno!!
Hawa jamaa kwa miaka michache ijayo wanaweza wakashika namba moja.. Sababu ni moja tu..! Wengi wanaosoma OUT wako very determined, matured na mtu kaenda kusoma kweli!!!... Kwingine huku ni sarakasi tu..,,
Kwa maboresho ninayoyaona UDOM,sitashangaa nikisikia kimekuwa no.1 TZ ,yeyote anayeiponda,atakuwa anaongelea ya 2007!