chuo cha kata mnataabu xn,
krb udsm
Udsm mnabebwa na historia na ukongwe lakini product zenu mbovu sana especially za ualimu ni mbovu ,maneno mengi,ubishi mwingi, mnajifanya mnajua vitu lakini Hamna lolote ,msipobadilika field mtakuwa mnafanyia chuo kwenu, maana sa izi kila sehemu hawawataki .
Udsm mnabebwa na historia na ukongwe lakini product zenu mbovu sana especially za ualimu
ni mbovu ,maneno mengi,ubishi mwingi, mnajifanya mnajua vitu lakini Hamna lolote ,msipobadilika field mtakuwa mnafanyia chuo kwenu, maana sa izi kila sehemu hawawataki .
Teku juu ya duce kweli?
Udsm wanajikanyaja wenyewe wanapotoa post za first year zilizoambatana na matokeo yake ya kidato cha nne na cha sita.Nilishangaa kuona koz ya washona cherehani kwa first year wa 2014 wamechukua hadi daraja la nne.Mkuu, naona umeandika tu ili na wewe uonekane kwamba ume-comment. wivu huu utawaisha lini.?
True mkuu mfano kuna St. something ile mtu unakuta anasoma course hadi 11 matokeo yake anachanganyikiwa wanasoma kifaransa kwa semester moja sasa hivi wameanza kusoma Kichina kwa Semester moja ni chuo naona kipo nje ya masomo ya vyuo vikuu bongo Dini wanafundisha zote kwa wanafunzi dini ina nafasi gani kwenye professional Kwa kweli ST. AUGUSTINE WAKO SHALLOW.
Nitashukuru ukinipa uthibitisho na viambata vya sababu ulizotoa!
ST.sthing hapo zilipo n sahihi,mi nina jamaa anasoma SAUT,wanasoma koz mpaka 13 kwa semista,alaf ana A kibao wkt kilaza