Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,073
- 2,450
Wabantu wengi ni wakuja tuu wa ardhi hii ambayo Nyerere aliibatiza jina la Tanzania mwaka 1964. Asili yao ni Afrika magharibi, kati, na kusini. Mababu zao waliletwa kwa nguvu kama watumwa au walikuja wenyewe kutafuta rizki. Sasa Mtanzania halisi ni nani wakati wengi ni wahamiaji?