Maalim na Zitto walimshushia hadhi kwa kumpigia kampeni Tototundu. It humiliated him kusema za ukweliMnhhhhhhh, uchaguzi uliopita ulimfanya adharaulike sana,labda anafanya hivi kusafisha reputation yake..im not sure if it will work
Maalim na Zitto walimshushia hadhi kwa kumpigia kampeni Tototundu. It humiliated him kusema za ukweliMnhhhhhhh, uchaguzi uliopita ulimfanya adharaulike sana,labda anafanya hivi kusafisha reputation yake..im not sure if it will work
Acha kuongea kiushabiki kwa kutumia hoja nyepesi, kilichosababisha wasiungane nibaada ya kila chama kuwa na mgombea Urais wake kitu ambacho Sheria za NEC zinakataa kuungana baada ya kuteua Wagombea.Membe mnampa kichwa tu, kamwe hajawahi kuwa tishio. This time upinzani ulijua kuwa accommodate watu wa aina yake bila kuleta madhara. Kilichopelekea wasiungane wala siyo Membe bali ni sheria ya vuama iliyotungwa kimkakati.
Sema akyamungu!Acha kuongea kiushabiki kwa kutumia hoja nyepesi, kilichosababisha wasiungane nibaada ya kila chama kuwa na mgombea Urais wake kitu ambacho Sheria za NEC zinakataa kuungana baada ya kuteua Wagombea.
CCM OYEE
Sasa mbona aliambiwa mapema kuwa akija Lisu na kupita kuwa mgombea ,wewe huna lako, tulimuweka pale kama kiraka tuu.Maalim na Zitto walimshushia hadhi kwa kumpigia kampeni Tototundu. It humiliated him kusema za ukweli
wenzenu kina Membe wanapiga hela kupitia CCM. Wanatumwa kwa kazi maalum kwenye vyama pinzani kwa malipo mazuri. Kina nyie mmekalia kuweka bundle za buku kuja kupiga kelele hapa isiyokuingizia chochote.Wapinzani wa Tz ni takataka kweli
Membe alifikiri haya madebe yaliyokuwa yanampigia makofi humu mitandaoni hadi akija field yapo,,
Dakika ya 89 akitia wino mwekundu hahahahaa.Bernard Membe ambaye alikuwa mwanachama na mshauri wa ACT-Wazalendo ametangaza kujiondoa katika chama hicho
Membe, katika Uchaguzi Mkuu wa 2020 aligombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hiko ambapo alifanya kampeni mikoa michache
Aidha, Membe, mwanachama mwenye kadi namba 2 ya ACT- Wazalendo amesema atajiondoa rasmi Januari 1, 2021
Kihistoria Membe aliingia ACT-Wazalendo mwaka 2020, akitokea CCM
Bernard Membe apokelewa rasmi ACT–Wazalendo. Atoa ahadi kemkem endapo watashika madaraka
Leo chama chetu kinampokea rasmi Ndugu Benard Membe ndani ya chama. Kiongozi wa chama, Ndugu Zitto Kabwe; Mwenyekiti wa Chama Taifa, Ndugu Maalim Seif Sharifu Hamadi; na Katibu Mkuu wa Chama, Ndugu Ado Shaibu na viongozi wengine wa chama wa Bara na Zanzibar wote watawaongoza wanachama kumpokea...www.jamiiforums.com
CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema kuwa Membe aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje ya Tanzania amefukuzwa ndani ya chama hicho Amesema uamuzi huo umekuja baada ya taarifa zake ndani ya chama kuonesha mwenendo wake kutoka mwaka 2014 kuwa amewahi kupata...www.jamiiforums.com
kwani lisu mliyemwamini kawafikisha wapi
Na hawajamuunga mkono, mbona wameangukia pua?
Mkuu Yani hata hujui kuwa lengo la Membe kupelekwa kule ilikuwa nikufanya juu chini ili CDM na ACT wazalendo wasiungane katika Uchaguzi?
Hata hujiulizi kwanini baada ya kupitishwa kuwa Mgombea halisi hakutaka hata kupiga kampeni Wala kuwanadi Wagombea wake wa ubunge na udiwani wa ACT?
Unafikiri bila Membe hiyo combination ya Zitto+ Lissu+ Maalim CCM wangepumua?
Halafu leo kirahisi tu unakuja kusema Membe hakuisaidia CCM katika Uchaguzi, are you serious?
Kweli nimeamini Watanzania wengi bado hawaijui siasa na mbinu zake.
Na hilo nalo neno, nyundo nyengine ya kusambaratisha upinzaniKuna kaharufu kakutaka kupoteza vuguvugu la kina Mdee
Mara nyingi amekuuwa akinukuliwa akisema yeye hawezi kurudi CCM kwa kuwa hakuhama kwa hiyari bali alifukuzwa hakuwahi kujitokeza tena hadharani mara baada ya msuguano na chama chake.
Hii katuni inaonekana Kama Ni ya kweli japo Membe pia anaweza akawa anaondoka sababu ya ubabaishaji uliopo Huko ACT Wazalendo
Zitto na Maalim hawako serious na sio wakuaminika tena. Kimsingi uanachama wa Membe ACT uliisha pale Maalim alipomfananisha Membe na Rungwe na kwamba Membe alitumwa kuwavuruga wapinzani.
View attachment 1642330