Hii ya KADCO ilitokea kipindi cha Mwinyi 1990s nafikiri ilikuwa second termUchunguzi wa kina ni lazima ufanywe kubaini KADCO iliyokodishiwa Kilimanjaro International Airport kwa $ 1000 kwa mwaka, inamilikiwa na nani? Huenda wanahisa ni hao hao washirika wa BWM ktk Kiwira Coalfields purchase.
jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. hata wewe unaeona mapungufu una pande mbili ya maisha yako. una mazuri na mabaya. kabla hujasemea boriti katika jicho la mwenzio toa kibanzi kilichoko katika jicho lako.
aiseeee jamaa wameandika kwa mahasira. inaelekea jamaa wanaishi maisha ya shida sana maana kuwa na maisha ya kuangalia vitu vibaya tu lazima uwe na negative perceptional mind.
mtunzi angemalizi kwa kusema hakuna aliye kamili alipopotosha tuparekebishe na tujifunze kutokana na makosa ya mwenzetu tusiyarudie.
ALiuza mashirika yote ya Tanzania.
Akajipa mgodi wa Kiwira.
Akajipa nyumba za serikali.
Akawapa Wazungu migodi yetu na ardhi ya bure wachimbe madini.
Akauza Kilimanjaro Hotel mara tatu na huku sasa twalipa fidia wale wawili wa mwanzo.
Akawapa Wajanja kiwanja cha ndege cha KIA kwa bei ya dola 1,000/ kwa mwaka.
aka-EPA hela zetu bale BoT.
Aka DEEPGREEN hela zetu.
Aka MEREMETA hela zetu na madini.
Kama hiyo haitoshi, akaanza kushirikiana na wajanja wachache kuuza silaha ili majirani zetu wachinjane huku akilitumia JWTZ na usalama wa Taifa. Akitumia JWTZ, alinunua RADAR kwa bei ya juu kuliko inavyotakiwa. Akajinunulia na dege bofu bofu.
Alim-fisadisha Mzindakaya ili a-shut up.
Na hii yote na yote uliyoandika na yale yote hatukuyaandika, ALILIPWA MSHAHARA WA WALIPA KODI. Makonde siku moja atakiona cha ntema kuni njomba.
He! Wamerudi tena?
Yes I said it.
Najua hili sio popular hapa lakini facts lazima ziwekwe wazi na majungu yaachwe. So far yanayosemwa hapa kuhusu Mkapa ni majungu tu kama vile vinavyoandikwa kuhusu Mwinyi na Kikwete vinapoitwa majungu na hivyo kufutwa au kupelekwa kwenye udaku.
Kama hakuna wa kushuhudia ufisadi wa Mkapa beyond reasonable doubt, basi Mkapa ataendelea kuwa mtanzania safi (kama inavyomstahili).
Yes I said it.
Najua hili sio popular hapa lakini facts lazima ziwekwe wazi na majungu yaachwe. So far yanayosemwa hapa kuhusu Mkapa ni majungu tu kama vile vinavyoandikwa kuhusu Mwinyi na Kikwete vinapoitwa majungu na hivyo kufutwa au kupelekwa kwenye udaku.
Kama hakuna wa kushuhudia ufisadi wa Mkapa beyond reasonable doubt, basi Mkapa ataendelea kuwa mtanzania safi (kama inavyomstahili).
Yes I said it.
Najua hili sio popular hapa lakini facts lazima ziwekwe wazi na majungu yaachwe. So far yanayosemwa hapa kuhusu Mkapa ni majungu tu kama vile vinavyoandikwa kuhusu Mwinyi na Kikwete vinapoitwa majungu na hivyo kufutwa au kupelekwa kwenye udaku.
Kama hakuna wa kushuhudia ufisadi wa Mkapa beyond reasonable doubt, basi Mkapa ataendelea kuwa mtanzania safi (kama inavyomstahili).
Mgodi wa Kiwira ni wa nani?Ufisadi wa Mkapa ni upi?
Ovyoooo!!!Ufisadi wa Mkapa ni upi?
Inategemea jinsi unavyoutafsiri na kuuelewa ufisadi kwa upande wako.
Vinginevyo tafadhali mwambie mama akufunge nepi na akupe chupa yako ya maziwa ukalale.
Yes I said it.
Najua hili sio popular hapa lakini facts lazima ziwekwe wazi na majungu yaachwe. So far yanayosemwa hapa kuhusu Mkapa ni majungu tu kama vile vinavyoandikwa kuhusu Mwinyi na Kikwete vinapoitwa majungu na hivyo kufutwa au kupelekwa kwenye udaku.
Kama hakuna wa kushuhudia ufisadi wa Mkapa beyond reasonable doubt, basi Mkapa ataendelea kuwa mtanzania safi (kama inavyomstahili).
Ovyoooo!!!
Umechelewa sana kuleta utetezi wako mbuzi.
Hata hivyo nakupongeza kwa dhati kwa uaminifu wako mkuu kwa mkuu wa zamani.
Dokezo wenzi wako sasa hivi wanajipitisha kwa mkuu wa sasa kuliko kutumia nguvu zao kwa mkuu wa zamani.
Nakusifu.
Mgodi wa Kiwira ni wa nani?
Labda nikuulize wewe kama unajua hili (kwa hakika), mgodi wa kiwira ni wa nani?