Benard Membe: Tanzania hatuungi mkono Kenya kuwavamia Al-shabaab

Membe ana habari kuwa boss wake - Rais Kikwete alimwambia Rais Kibaki (uso kwa uso) kuwa Tanzania inaunga mkono harakati za Kenya kupambana na al-Shaabab? Unless Membe alikuwa anaongea kwa nafsi kitu ambacho sidhani lakini hii inaonesha ni jinsi gani Tanzania imekuwa nchi isiyosimamia chochote.
 
membe aidha anafaidika na hao ali shabab au ana waogopa, lakini kuwaogopa sio tiba kwani ni kuwapa nafasi ya kujijenga na kuongeza hofu kwa watu
 
Membe unamjua Kikwete? Yeye kasema anaunga mkono uamuzi wa Kenya kuingia Somalia, wewe unampinga big boss. Atakushusha kutoka uwaziri hadi u katibu tarafa
 
membe aidha anafaidika na hao ali shabab au ana waogopa, lakini kuwaogopa sio tiba kwani ni kuwapa nafasi ya kujijenga na kuongeza hofu kwa watu

tatizo lake huyo membe ni unafiki na uoga usio kuwa na maana. Kawaida yake kutoa hoja kwa kupima upepo.
 
Kama ni kweli, na rudia tena kama ni kweli kayasema haya, basi David Cameroon hakukosea kuwapa viongozi wetu shariti la kuutambau ushoga ili kupewa misaada. Kwani alishatambua kuwa tunawakilishwa na viongozi mashoga walioshindwa kujiweka wazi mbele ya jamii inayo pinga ushoga. Hivi huu utaupa jina gani tena? kama si ushoga?
 
Ndo maana tunapata misaada ktoka kwa braza cameron.
Ushoga mtupu!
Kama ni kweli, na rudia tena kama ni kweli kayasema haya, basi David Cameroon hakukosea kuwapa viongozi wetu shariti la kuutambau ushoga ili kupewa misaada. Kwani alishatambua kuwa tunawakilishwa na viongozi mashoga walioshindwa kujiweka wazi mbele ya jamii inayo pinga ushoga. Hivi huu utaupa jina gani tena? kama si ushoga?
 
Hivi membe kweli aniweza wizara hiyo? mbona kauli zake ni tata? Somalia sasa hivi inakosa sifa kuwa ni nchi inayotawalika bali ni makazi ya watu ambao hutumia vitisho kuogopesha watu wengine na kwa hiyo kenya wameingia somalia kuwatafuta Alshababu ambao wanatumia fursa ya kutokuwepo kwa serikali yenye nguvu kujitanua na kuwa kero kwa wengine hasa kwa nchi ya Kenya. He is the worst foreign minister this country has had since independence
 
Inanikumbusha zamani katika gazeti la Sani kulikuwa na katuni moja ya "Swali Moja Majibu KemKem"... Je Tanzania inaunga mkono Kenya kuingia Somalia kuwasaka Al-Shaabab?
 
Atafukuzwa kazi shauri yake anapingana na bosi?????
 
Hivi kweli Membe kazungumza hisia zake au tamko la serikali..?
Kwa nafasi aliyokuwanayo na ukubwa wa tatizo na matatizo ya al.shabab nchini Kenya,nadhani ni kauli ya Serikali..
Kama kweli n kauli ya Serikali basi wamekosea sana,,kwani kuwa kinyume na uvamizi wa Kenya nchini Somalia ni kusema kuwa tuko nyuma ya alshabab au kwa lugha nyingine alshabab wanaonewa..
Waswahili walisema ukiona mwenzako kanyolewa basi wewe tia maji,
kwani matukio ya kigaidi na kujitoa muhanga ya alshabab Kenya haimaanishi kuwa tuko salama bali ni wakati wa kujipanga na kukagua hati za wahamiaji wote wa kisomali kwani ndio chimbuko hasa la alshabab..
Ninamashaka sana kuwa wako humu nchini petu,,
Membe acha uwoga..
Alshabab sio wakuwafurahia..
 
kuanzia kuongea, jinsi anavyotembea, akiongea kwa ishara hadi anavyopepesa kope.....membe amejaa unafiki mkubwa sana.....
 
Back
Top Bottom