Sasa Mkuu hizi cheche vipi tena? Mbona hata kama amesingiziwa kuongea wewe unazidi kufanya watu watake kuamini. Wewe leta hoja yako vizuri pinga yaliyoelezwa thibitisha kuwa au ulikuwepo nk. ukasikia vinginevyo basi. Au toa source ya argument yako. Tafakari nguvu ya hoja vs. hoja ya nguvu!CHADEMA bwana mnachekesha kweli, yaani waziri kaongelea mambo ya sheria ya ushoga ninyi mnatumbukiza mambo ya AL-shaabab ili mradi tu mpotoshe kuwa JK na mawaziri wake. Very stupids au kwenye ilani ya CDM hiyo imo nini manake nasikia mkuu wenu chakura