Benard Membe: Tanzania hatuungi mkono Kenya kuwavamia Al-shabaab

huyu inaonekana hawasiliani na boss wake jk..maana jk aliunga mkono hatua ya kenya
 
kuanzia kuongea, jinsi anavyotembea, akiongea kwa ishara hadi anavyopepesa kope.....membe amejaa unafiki mkubwa sana.....
Sina La kuongeza Mnafiki sana na anaiadhirisha nchi hamkumbuki alivyosema mabalozi wanatoa Pesa chadema ili wafanye fujo alivyosutwa akakna wakati records zilikuwepo
 
Inanikumbusha zamani katika gazeti la Sani kulikuwa na katuni moja ya "Swali Moja Majibu KemKem"... Je Tanzania inaunga mkono Kenya kuingia Somalia kuwasaka Al-Shaabab?[/QUOTE]

I am afraid to day -it depends who you ask!

MMJ wakati Libya ndio mambo yanapamba moto Membe aliulizwa msimamo wa Tanzania akajibu hivi "we are lying low". Kwangu mimi hii response niliiona kama blockbuster maana haiwezekani Taifa litangaze kuwa 'linajificha'! I just hope he is still lying low maana NTC are in charge!
 
Wenzetu wale wa upande wa pili utawasikia "ngoja nijilie pop corn zangu" lakini miye ngoja nisogeze bakuli langu la Mlenda na ugali wa mtama. Siku zinasonga Mbele!!
 
Membe ana habari kuwa boss wake - Rais Kikwete alimwambia Rais Kibaki (uso kwa uso) kuwa Tanzania inaunga mkono harakati za Kenya kupambana na al-Shaabab? Unless Membe alikuwa anaongea kwa nafsi kitu ambacho sidhani lakini hii inaonesha ni jinsi gani Tanzania imekuwa nchi isiyosimamia chochote.

Kumbe wewe uko humu kupotosha watu? Membe alichoongelea ni kuwa Tanzania haiungi mkono kauli ya Waziri mkuu wa Uingereza kwamba nchi za Afrika ziridhie sheria ya ndoa ya jinsia moja ili zipewe misaada. Acha uongo wako au wewe Shoga nini hutaki kusema hilo unaona unakatizwa starehe zako? watu wengine bwana
 
Benard Membe amesema haungi mkono kenye kuivamia Somalia kwa kile wanachosema kutafuta magaidi ya al shabaab.anasema hajui malengo ya kenya ni yapi katika kuivamia somalia.mia
Mtoto si riziki wewe. Waziri Membe kasema Tanzania haikubaliani na ushoga, sasa wewe hayo ya AL-Shaabab yametoka wapi?
 
Kumbe wewe uko humu kupotosha watu? Membe alichoongelea ni kuwa Tanzania haiungi mkono kauli ya Waziri mkuu wa Uingereza kwamba nchi za Afrika ziridhie sheria ya ndoa ya jinsia moja ili zipewe misaada. Acha uongo wako au wewe Shoga nini hutaki kusema hilo unaona unakatizwa starehe zako? watu wengine bwana

akili zako na za membe sawasawa.

kwetu membe ni jina la kike.
 
Wewe unapelekwa pelekwa tu unakubali, namna gani humu JF, una uhakika Membe kaongelea Mambo ya AL-Shabaab leo? Kasema TZ haiungi mkono ndoa za jinsia moja. Acheni mambo ya upotoshaji hata katika mambo ambayo viongozi wa kitaifa wanaongelea kwa maslahi ta Taifa
 
Kama ni kweli, na rudia tena kama ni kweli kayasema haya, basi David Cameroon hakukosea kuwapa viongozi wetu shariti la kuutambau ushoga ili kupewa misaada. Kwani alishatambua kuwa tunawakilishwa na viongozi mashoga walioshindwa kujiweka wazi mbele ya jamii inayo pinga ushoga. Hivi huu utaupa jina gani tena? kama si ushoga?

dav cameroon alimaanisha nchi zote zinazopewa misaada na uingereza ni mashoga tu.Subiri baadaye utasikia ''kwa kuwa wakubwa wamesema basi ngoja tukubaliane nao" kama viongozi wenyewe ndo wana mawazo ya kishoga kama akina membe
 
akili zako na za membe sawasawa.

kwetu membe ni jina la kike.
Mtoto si riziki wewe ndiyo maana hutaki Muongelewe mashoga humu. Nenda uingereza ndiko kuna kufaa wewe. Conservative si supporter wenu. Hizo ndo sera zao wahi upate mchumba
 
Kazi kweli kweli hapo. Wanakoelekea hawatoaminika kwa chochote.

CHADEMA bwana mnachekesha kweli, yaani waziri kaongelea mambo ya sheria ya ushoga ninyi mnatumbukiza mambo ya AL-shaabab ili mradi tu mpotoshe kuwa JK na mawaziri wake. Very stupids au kwenye ilani ya CDM hiyo imo nini manake nasikia mkuu wenu chakura
 
Ndio maana huwa nadai nukuu, Kikwete kasema nini na Membe kasema nini, kutoka midomoni mwao.

Tafsiri za waandishi wetu wabovu zinaweza kupotosha.
 
Membe ana habari kuwa boss wake - Rais Kikwete alimwambia Rais Kibaki (uso kwa uso) kuwa Tanzania inaunga mkono harakati za Kenya kupambana na al-Shaabab? Unless Membe alikuwa anaongea kwa nafsi kitu ambacho sidhani lakini hii inaonesha ni jinsi gani Tanzania imekuwa nchi isiyosimamia chochote.
Unajua kuwa na rais ndumilakuwili ni tabu kwelikweli! Membe hawezi kutoa kauli hiyo peke yake bila kujadiliana na rais. Tunaye rais hatari sana! Anaendesha siasa za kuuma na kupuliza! Akiwa nchini kwake Al-shaabab ni maswahiba wake wakubwa wa kisiasa. Lakini akitoka tu nje ya Tanzania akiwa na bakuli la kuombaomba, anajivua gamba... lugha yake inabadilika... na Al-shaabab wanageuzwa kuwa maadui zake wakubwa.
 
Maajabu, mkuu hebu tusaidie na source ya hii habari ili tushangae vizuri. Isije ikawa anasingiziwa!
 
Siwezi kumlaumu kwa sababu JK kashindwa kabisa kuongoza nchi. Sasa sijui kama kauli hiyo ni ya serikali au ya Membe binafsi. Ningeshauri hawa viongozi wangesoma hiki kitabu hapa chini, huenda kingeweza kuwasaidia. Hiki kitabu kinapaswa kusomwa na mwanafunzi wa High School, sasa sijui wenzetu hata huko kwenye semina elekezi huwa wanajifunza kutafuna hela za miradi tu!!

9781408259184.jpg
 
Ni swali ambalo mara nyingi najiuliza hivi kwanini huyu Bw kauli zake zinaleta maswali mengi kwa raia (eg waasi wa Libya) ni vizuri zaidi kabla hajakurupuka kujibu aongee kwanza na wezake aangaalie mtizamo wao kama N/waziri wake na waziri wa EAC hii itamsaidia
 
Back
Top Bottom