Hivi ZZK hao waasi kwanini wasihojiwe na akina marando na prof safari (kamati ya cdm) ili tujue ukwel wa mambo? Ikibainika wafukuzwe waanzishe chama lao bana! We are tired of this dirty politics badala ya watu kuongolea namna ya kutoa ccm,we are discussing about saa8,zzk,mamuya'mwampamba,na huyo mwanamke! Its a non sense discussion we r makin! Hebu tuwe tunajadili vitu ambavyo ni critical jaman! Daily post is just abt these guys, why lakini?