Ben Saanane awatoa Mafichoni Zitto na wenzake

Ben Saanane awatoa Mafichoni Zitto na wenzake

Status
Not open for further replies.
ila saanane alikuwa shushushu. kawatoa wengi pangoni. ogopa huyu kijana
 
Ben Saanane Mwenyewe ni
maliti na hilo amelikiri kwa hiyo anachotaka ni kujiosha tu hapa ili
tumuone kwamba ni msafi yani huyo naye ni msaliti tu aoswe.

Alikuwa kwenye special mission, na hatimae unafiki na uzandiki wa Zitto matunguli umejulikana...
 
kumbe hata CCM wanavyosema kuwa wamechafuka, hivyo wanakazi ya kujisafisha, wanakuwa wanasema kweli, maana sasa naona, CDM nao wanafanya yaleyale , yaliyokuwa yanafanywa na CCM, chama kilichosadikishwa kwa wananchi kuwa kimekwisha. lkn sasa kile chama kilichoonekana kinaweza kuwa mbadala, sasa kinaleta tabia zilezile za aliyekwisha. maana zinaanzishwa tuhuma nzito, barabarrani. kuonyesha kuwa chama hakina vikao, makada ruksa kuparurana. jamani hii si ilikuwa SERA ya CCM, na CDM ikiwa na SERA bora ambazo CCM inaziiba na kuwa tekelezea wananchi. na ndo maana sasa CDM nayo imeamua kuiba UJINGA. na kuutekeleza kwa wafuasi wao, ambao wanapongezana na kupeana , ushujaa nje ya vikao. nini hiiiii au ni ganzi .
 
ila saanane alikuwa shushushu. kawatoa wengi pangoni. ogopa huyu kijana

Pokea like mkuu, niliposoma uzi wa huyu jamaa plus majibu ya walengwa, nikajua kuwa jamaa ni shushushu. Eti wanasema "hatujawai kumuona katika kazi za kujenga chama"... sasa watakuwa wamepata jibu...
 
Zitto kamalizwa kisiasa na mtu ambaye nadhani hata yeye mwenyewe hakutegemea
 
Saa nane tumpongeze sana huyu shushushu daa amenifraisha sana kwa kuvichana chana vigagula, eti huyu shonza anajifanya kuleta ushaidi eti analipwa sa8, kwanini asilipwe mtu anaefanya kazi kubwa kama hii kuwabaini wasaliti na vigagula

Ningependa kujua ni wakati gani huyu dada Shonza alibaini ikiwa ni kweli bwana Ben yupo kwenye payroll ya CDM, ni kabla au ni baada ya Ben kumwaga mambo hadharani? Na ikiwa alilitambua hilo kabla ya mambo kuwaharibikia walishindwa kujiuliza au kupeleleza iweje Bw Ben awe kwenye payrol ya chama ilhali walitambua hakuwa akishiriki katika shughuli ya ujenzi wa chama?
Kweli wameshikwa pabaya, hata kujitetea imekuwa taabu.
 
Ben Saanane ni shujaa mkubwa.Inatakiwa CDM wampatie nishani kwa kazi kubwa aliyofanya.

Mimi nadhani Ben Saanane ndiye mrithi anayefaa kumpokea Heche Bavicha muda wake ukiisha.

Hakunaga kama Ben mwana wa Saanane.
 
Last edited by a moderator:
Zito huyo ujinga umemkaa. Kazi kutafuta sifa za kijinga kama zinazoonekana hapa jf. Kwa akili yake ndogo aliona watanzania baada ya kuteseka kiasi hiki watamchagua yeye kuwa raisi wao? Kweli? Wajinga ndio waliwao. Hata ubunge sidhani kama ataufikia tena kwa mwenendo huu. Atajikuta nyumbani akijilea hadi akomae. Tunawahitaji wazee wenye hekima kama kina Dr. Slaa, na si watoto ambao hata ile adabu tu haijawakaa akilini.
 
Ufa ulioko ni mkubwa. Haya si mambo ya kuzungumza na kupatana tu kijuu juu kwa plastic face. Tujue ni kwanini na vipi hawa PM7 na wenzao (huenda kuna wengine tofauti na hawa) wamefikia kufanya walioyafanya.
Tuhuma za pande zote mbili zichunguzwe, zifanyiwe kazi na hatua za kinidhamua LAZIMA zichukuliwe.

Hapo kwenye
red; moja kwa moja ni jukumu la Mh. Mabere Marando na Prof. Abdallah Safari na jopo lao. Naaminia hivi vichwa kwa majukumu ya aina hiyo.
 
1.Zitto zuberi kabwe, naibu katibu mkuu,,,,,,,, M4C hajawahi kushiriki hata moja!
2. Dr slaa kama hayupo na zitto yupo, mnyika anakaimu karibu mkuu. Nilikuwa najiuliza kwanini? Kumbe kikosi cha ukachero chadema kilishajua nyendo zake. Kwa kweli Dr slaa na Mbowe mnastahili sifa.
 
Wanabodi
Nimependa tujadili, kwani alichofanya mwenzetu kwa Ustawi wa Chama anastahili PONGEZI sio ADHABU, KEJELI KUKATISHWA TAMAA.
Kwa wanaofuatilia siasa za CHADEMA wanajua chama kimekuwa na HUJUMA toka hata ndani ya Viongozi BAVICHA na KAMATI KUU wasaliti
Lakini hayo yakawa yanakosa ushahidi wa wazi hata walipotajwa Jamvini na vyombo vya habari au in direct walikanusha na kuita ni majungu rejea kauli kila Zitto alipotuhumiwa na Mwana PO7 mwenzake Juliana walivyokuwa wanaruka mita mia kidogo.
Hivyo kukosekana ushahidi usio na mashaka wakaendeleza mikakati ya Kimasalia hadi PO7 kumsaliti Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Chama ambacho ndio TUMAINI LA MTANZANIA kwa UKOMBOZI wa 2.
Ndipo Mungu au yeye mwenyewe BEN Saa8 akapata wazo na kujitolea hata kurisk maisha yake kuwanasa WASALITI kwa kutumia AKILI KUBWA ya KIJASUSI kama ya Mwisraeli au FBI ikamlazimu kuwa sehemu yao ili kujibu no research no right to speak nasi anzia tare 18 tumewajua.
Je Kazi hii
TUMPONGEZE 2.TUMHUKUMU
3.HAJASAIDIA CHAMA
 
1.Zitto zuberi kabwe, naibu katibu mkuu,,,,,,,, M4C hajawahi kushiriki hata moja!
2. Dr slaa kama hayupo na zitto yupo, mnyika anakaimu karibu mkuu. Nilikuwa najiuliza kwanini? Kumbe kikosi cha ukachero chadema kilishajua nyendo zake. Kwa kweli Dr slaa na Mbowe mnastahili sifa.

Halafu hatua zikichukuliwa utasikia wale washenzi wakieneza propaganda zao eti kafukuzwa kwa sababu ya dini yake! Chadema mnahitaji kuueleza umma kinagaubaga kilichotokea na kundi zima lililohusika (of course na dini zao) ili kupangua ushenzi unaoweza kuenezwa na magamba na makuwadi wao. Silaha pekee waliyobaki nayo ni UDINI.

Na hapa ndipo umuhimu wa vyombo vyenu vya habari unapokuja hasa radio na TV.
 
Ben Saanane awe mkuu wa kikosi cha Usalama Chadema. Nafasi inayoshikiliwa na Wilfred Lwakatare.
 
Alichokifanya Ben Saanane ni kama alichokifanya Mtume Petro kwenye Biblia.Baada ya kumkana Yesu na jogoo kuwika,alikwenda pembeni kulia na kutubu.Automatically,alisamehewa dhambi zake.Hata Ben anastahili huruma na msamaha. Ben,tutakulinda na kukusimamia
 
Embu tujiulize Haya maswali tuache ushabiki.

1-Kama Zitto hashirikiani na saanane kwanini akawa na mawasiliano nae tena kumpongeza kwa kazi nziri ya kumchafua slaa na mbowe jf?
2-kwanini wote wanaomtetea ndio hao hao masalia na wanawakadhifu mbowe na slaa yeye anawapongeza badala ya kuwakataza?
3-kwanini akubali kuitwa rais wakati Anajua sio kweli?
4-Kama saa nane alitaka kumuua je alimripoti kituo gani? Mbona kwenye ujumbe wa SMS anampongeza??
5-Kama zitto hamjui saa nane, hapo hapo ampongeze na Kuwa na mawasiliano nae??
6-Kama Zitto anadai saanane ni pandikizi na ana nia ya kuivuruga cdm je alimripoti kwa nani? Viongozi? Kamati au??? Zitto Hana utetezi kwa hili na Nina amini Hana ujanja wa kujitoa kwenye hili maana hata Hii movie kaicheza kihindi sana only fool can play this game... Tunataka uombe msamahaa hadharani na ukiri kutokurudia kwenye social media zote twitter, Facebook, jamiiforum etc. Na ndipo Chama kikufikirie na ili ufanikiwe ndoto zako japo utachelewa sana nakushauri uwe wazi ukweli utakuweka huru na kuondoa maswali mengi mfano unaweza ukasema.

Jamani Watanzania na Viongozi wenzangu, Mimi nilishawishika kuamini cdm ni Chama cha dini ukanda however ndio maana nikaamua kumwaga Mboga ila baada ya kubaini ni propaganda nimeacha mpango huo na kuonyesha uaminifu wangu naachia nyashifa zangu ili Chama kiridhie upya Uwepo wangu na sontachukua kadi ya Chama chochote Bali niko tayari kuwapa makamanda ushirikiano Kama wanachama wengine ni uongo mdogo ila unaweza kukuweka sehemu nzuri kuliko Kuwa mbishi au kuhama Chama jiuzulu kabla hujafukuzwa Utakuwa salama zaidi



By Bill
6. Kwa nini Zito atangaze nia ya kugombea Urais 2010 wakati akijua Chadema inamgombea ambaye alikuwa ni Dr. Slaa?
7. Kwa nini Zito atangaze kugombea urais mapema namna hii (2012) wakati wenzake wapo kwenye harakati za kujenga Chama?
8. Kwa nini Zito awe karibu kiasi kile na Usalama wa Taifa wanaoshughulikia siasa?
9. Kwa nini ......

10.....Zitto.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom