Ben Saanane awatoa Mafichoni Zitto na wenzake

Ben Saanane awatoa Mafichoni Zitto na wenzake

Status
Not open for further replies.
Ufa ulioko ni mkubwa. Haya si mambo ya kuzungumza na kupatana tu kijuu juu kwa plastic face. Tujue ni kwanini na vipi hawa PM7 na wenzao (huenda kuna wengine tofauti na hawa) wamefikia kufanya walioyafanya.
Tuhuma za pande zote mbili zichunguzwe, zifanyiwe kazi na hatua za kinidhamua LAZIMA zichukuliwe.
 
Tunahitaji watu wa kada ya Ben Saanane wengi zaidi kuliko tuvyohitaji watu wa kada ya kina Zitto na kundi lake.

Hapa ni hivi: Aliyekuwa anauza cheni feki ya dhahabu - nae kapewa noti bandia. Full circle.
 
Saa nane tumpongeze sana huyu shushushu daa amenifraisha sana kwa kuvichana chana vigagula, eti huyu shonza anajifanya kuleta ushaidi eti analipwa sa8, kwanini asilipwe mtu anaefanya kazi kubwa kama hii kuwabaini wasaliti na vigagula

Sasa alitaka asilipwe wakati ni mwajiliwa wa CDM chini ya kitengo cha Usalama. Aache Ushamba huyu demu
 
Cdm wasimamishe mgombea mngine kigoma bora jimbo liende ccm kuliko kuweko na huyu mdudu mtu.....cdm wasisubiri hukumu ya umma 2015 now it's a right time fire em all.

Naunga mkono hoja. Fukuza Zito na vigagula wenzake ndani ya Chama, kama ilivyokuwa kwa ankina kafulila. Turudi kwenye uchaguzi, najua CCM watalichukua jimbo, lakini ni bora kuliko kubaki na huyu msaliti.
 
Safi sana Ben Saanane kwa kuwaumbua wasaliti wetu.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.Mengine sema na kwenye kikao cha Chama.Hawa jamaa shetani aliyeingia vichwani mwao sio wa kawaida.Ndo wanakufa kisiasa hvhv.Hata adabu hawana
 
Sasa alitaka asilipwe wakati ni mwajiliwa wa CDM chini ya kitengo cha Usalama. Aache Ushamba huyu demu

hawa pm7 member ni maskini sana kiasi kwamba ukienda nao bar hadi mskaki hawana hela ya kununua, ukiwafanyia kitu kidogo wanakuona Mungu wao, eti yanakili tulikua yunamwita manji bwana saa nane kisa tu kuwalipia bili bar
 
Ben 8 your the Hero. Nakupongeza kwakuwa umeweza kuweka ushahidi ambao hauna viulizo, zaman nilikuwa natoa povu humu JF mpaka kichwa kinauma kubishana na TUNTEMEKE nikidhani ni mtu kumbe ni ni ID inayotumiwa na watu zaidi ya 3 na wanapokezana ktk harakati zao chafu kukichafua chama, mpaka hapa napata connection kuwa Zitto a.k.a PREZOO ndiye aliyekuwa anatoa siri za ndani za vikao vya chama then anawapa wale PM7 masalia ktk kupotosha na kuchafua chama humu(4 THAT TANX A LOT BEN)
2. Nimejua swali niliokuwa najiuliza why kila siku avimbishe misuli ya shingo kutaka urais kumbe target yake sio urais bali ni kukivuruga chama,
3. Pia nimejua why Juliana shonza alitoa tamko kumpinga John Heche na kumuunga mkono shibuda.

VIVA BEN 8 VIVA.

CHADEMA FUKUZENI MASHEHTWANI (PM7 MASALIA) WOTE HAO.

Shardcole@Tabora1
 
Last edited by a moderator:
viva Ben Saanane, you are my hero.
Namchukia sana Zitto msaliti mkubwa.
via pm 7
 
Dr.slaa kama hizi ni jitihada zako,zimefanikiwa sana tu ila hiyo dhambi haitakuacha,ltakutafuna.

Zitto na kambi yenu,kama hizi zilikua ndo harakati zenu kwenda lkulu,hakika mmevuna mlichopanda.

Huwezi kujikinga na jua kwa kutumia kivuli chako.
 
Ben! I said tutaftane Rombo arifu nikupongeze my hero! Ndo nipo pande iz za mkuu kama upo hom jus pm me! U r my next hero after my dad!
 
6. Kwa nini Zito atangaze nia ya kugombea Urais 2010 wakati akijua Chadema inamgombea ambaye alikuwa ni Dr. Slaa?
7. Kwa nini Zito atangaze kugombea urais mapema namna hii (2012) wakati wenzake wapo kwenye harakati za kujenga Chama?
8. Kwa nini Zito awe karibu kiasi kile na Usalama wa Taifa wanaoshughulikia siasa?
9. Kwa nini ......


10.....Zitto.
 
Umeonaeeh!...Sitto nenda CHAUMA na Kafulila wako...

Saa nane tumpongeze sana huyu shushushu daa amenifraisha sana kwa kuvichana chana vigagula, eti huyu shonza anajifanya kuleta ushaidi eti analipwa sa8, kwanini asilipwe mtu anaefanya kazi kubwa kama hii kuwabaini wasaliti na vigagula
 
Na kwa nini ashinikize umri wa wagombea Uraisi upunguzweeeeeeeeee..................... ????????????????????

Na kwanini aseme rais ajaye anapaswa kuwa amezaliwa baada ya uhuru? Alikuwa anamshambulia nani hasa?
 
Usaliti haulipi DOGO. Unaona unavyoumbuka? Na bado!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom