Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Juliana shonza umetia aibu unatumika kama vile pad watumiazo akina mama,Mchanga waraka wote ni confesion kwamba mulikuwa na kundi la kuhujumu chama hapo jakuna damage cntrol niwaambie mumefikia hatua nzuri sana manake sasa wote mumekuja kuthibitisha ndio furaha yetu sisi wafuasi wenu
tulikuwa tunajiuliza iweje Juliana aliyeshinda kwenye uchaguzi mgumu kama yule atumike kumbe yalikuwa matunguri ya Zitto aliwapumbaza(Hypotonise)
Tukajiuliza vipi mchange amesahau ule umma pale Kibaha waliotaka kufa kwa ajili yake ili kudhibiti unynq,anyi wa kura zake awe anatukana viongozi na kuwapa majina ya kila namna tulikuwa hatuelewi kumbe ni nyoka mbeba matunguri Zitto aliwapumbza mumeamka sasa ndio mwisho wa ubaya siri zenu wote nje munakiri wote ni wasaliti sasa hiari yenu kujenga majina yenu na crediti za kisiasa au kuendelea kumtumikia huyo nyoka lakini wengi wetu tunaamini munachofanya hapa ni damage control ambayo wanasaikolojia wanatusaidia kupata uelewa kwamba kweli nyie mulikuwa munasaliti chama hii ni damage control its a little bit too late mumechafuka lakini munaweza kujisafisha furaha yetu ni kwamba hata Common ID yenu ya Tuntemeke mumeikataa Bravo vijana kaombeni msamaha kwa viongozi wenu mukaendeleze chama mumekuja usiku wa manane nasi tutakesha kuwazindua kwutoka matunguri ya Zitto nyie ni wanasiasa wazuri mukijisimamia
 
Juliana Nakuheshimu sana

Umejiunga usiku huu na hii ni Post yako ya kwanza ili uweze kujiunga na wenzio wa Masalia kumtetea Zitto. Karibu sana lakini jua kuwa humu ni mahali pa kujenga hoja sio Porojo.

Nimeona post yako Facebook jioni hii ukianzia kule kumtetea Zitto na mlikuwa kimya wote nyie tangu juzi alipotoa hoja ya kwanza Exaud Mamuya. Unaweza kusema mlikuwa wapi hadi wote mnaibuka leo siku mbili baadae kwenye thread hii ya Mchange katika kujibu hoja?

Ni kwanini hamjibu kile alichokieleza Ben Saanane na badala yake mnamshambulia yeye na sio hoja yake aliyoitoa ili tupate ufafanuzi? Umemaliza Chuo Kikuu majuzi, bado hamkufundishwa namna ya kujibu hoja? Elimu yako imekusaidia nini???

Unaweza kusema toka moyoni mwako mara ya mwisho kuongea kwa simu na bosi wako Zitto ilikuwa usiku huu saa ngapi?? mmejadiliana nini kuhusu kutoa majibu haya hadi wote nyie muingie usiku huu wa manane kwa mpigo? Ni coincidence au??

Kwanini wewe na Mchange mmeshikia bango sana kuwa Saanane hjawahi kuonana na Zitto??? kunanini hapo hadi mng'ang'anie hiyo hoja? Mbona hamzungumzii swala la nyie kupelekwa kwa mganga kulishwa yamini??

Kwa ujumla kuja kwenu huku wewe na masalia wenzio kwa pamoja usiku huu wa manane kunaleta maswali mengi kuliko majibu mnayotoa ambayo ni dhaifu kihoja. Ni bora zaidi kukaa kimya ili kuficha upumbavu kuliko kuuanika hadharani!

Samahani lakini!
Hayo maswali yote unayouliza muulize ben yeye ndio inteligensia anaweza kujua mwisho wa mimi kuwasiliana na zitto ni saangapi pamoja na maswali mengine uliyouliza.
 
Kumbe ujana wakati mwingine ni udhaifu, chadema bado kinawahitaji, tunategemea mtagundua mnachokifanya ni kama mmerogwa tu
 
Ndugu Machange asante sana kwa hayo uliyotuandikia ila kumbuka si kila mwanajamvi huridhika na physical answers kuna physical evidence za Zitto kuwa msaliti kwa chama ila kwa busara za viongozi wa chama wamekuwa wakifumbia macho baadhi ya hayo mambo naninajua ww ilo walijua pia......

Mkuu usiwe na hofu taja physical evidene hata mbili tu ambazo zitto anazo kuhusu hilo unaloliongea.
 
Mchange na Juliana Shonza,

Mnaweza kutuambia hapa Wafadhili wenu wakubwa wa hilo kundi lenu walikuwa nani?

Kama hamkufikiria hilo wakati mnaandika na waliowafadhili ni CCM au TISS basi anzeni kuandaa mazishi yenu maana nyie watu hadi ninawahurumia. Kama hao waliowapa fedha wataona nyie ni watu hatari na wakataka kuwaondoa mashahidi, nina wasiwasi INTELIJENSIA ya nchi yetu itawafananisha sasa hivi na majambazi na mgongwe na kitu kizito chenye ncha kali sana kitakachorushwa sijui na nani?

Mnavyozidi kujivua nguo wenyewe kwa wenyewe, nina imani kuwa watu sasa hivi wataogopa kuumbuka na ili kulinda heshima zao, watawapotezea mbali.
Hadi sasa ninaweza kuwaamini zaidi Zitto na Saanane kwa aina fulani na zaidi Lyamuya maana ndiyo waliokuwa wa kwanza kuja hapa kusema yao ya moyoni. Nyie mmesubiri hadi mtajwe na ndiyo mnakuja hapa na kuanza kumshambulia Saanane.

Pia unaonekana unapenda sana vya bure. Kama Saanane alikuwa anawakaribisha hotelini kwenye vikao na anakulipieni kila kitu, hivi hamkufahamu kuwa "there is no free lunch in the world?" Ina maana hata ukiwa na Zitto ni yeye hununua kila kitu na wewe kubaki unakodoa macho wakati akilipa. Sasa kwa kuangalia Jeuri ya Pesa, Zitto lazima awe nazo nyingi kuzidi Saanane na zaidi hata ukiona tu nyumba yake ya Tabata. Kwa uwezo wa juu wa Zitto, ni offer ngapi ameshawapa/amekupa hadi leo hii? Huoni kuwa sisi tunapata picha kuwa umeona uwe na Zitto kwa Nguvu kubwa ya hela yake anayomzidi Ben?

Anyway, kama ukiweza kutuwekea majina 5 wakubwa ya waliokuwa wakichangia huo umoja wenu, nitakuamini kwa asilimia kubwa na utajenga imani kuwa uyasemayo ni kweli.

kwa nilivyoelewa mimi ni kuwa hizo pesa saa nane alikuwa anadhaminiwa na baadhi ya viongozi wakuu ambao kwao ili chama kiende lazima kuwe na migogoro. ndio maana wakamtumia saa nane, japo naye amefeli kabisa...
lakini pia humu kama nimemwelewa mtoa hoja kuwa amelazimika kujibu baada ya kumuona saa nane kila siku anamshambulia, lakini mchange ametoa hoja zaidi kuliko saa nane aliyejikita kwenye ushirikina.
cha msingi kuzingatia ni kwamba hawa wote ni wanachama wa chama kimoja. hivyo mijadala yao yote izingatie kwenye maslahi ya chama na sio pande zao hizi. wanapopambana tembo wawili. ni nyasi ndio zinaumia.
 
Juliana shonza umetia aibu unatumika kama vile pad watumiazo akina mama,Mchanga waraka wote ni confesion kwamba mulikuwa na kundi la kuhujumu chama hapo jakuna damage cntrol niwaambie mumefikia hatua nzuri sana manake sasa wote mumekuja kuthibitisha ndio furaha yetu sisi wafuasi wenu
tulikuwa tunajiuliza iweje Juliana aliyeshinda kwenye uchaguzi mgumu kama yule atumike kumbe yalikuwa matunguri ya Zitto aliwapumbaza(Hypotonise)
Tukajiuliza vipi mchange amesahau ule umma pale Kibaha waliotaka kufa kwa ajili yake ili kudhibiti unynq,anyi wa kura zake awe anatukana viongozi na kuwapa majina ya kila namna tulikuwa hatuelewi kumbe ni nyoka mbeba matunguri Zitto aliwapumbza mumeamka sasa ndio mwisho wa ubaya siri zenu wote nje munakiri wote ni wasaliti sasa hiari yenu kujenga majina yenu na crediti za kisiasa au kuendelea kumtumikia huyo nyoka lakini wengi wetu tunaamini munachofanya hapa ni damage control ambayo wanasaikolojia wanatusaidia kupata uelewa kwamba kweli nyie mulikuwa munasaliti chama hii ni damage control its a little bit too late mumechafuka lakini munaweza kujisafisha furaha yetu ni kwamba hata Common ID yenu ya Tuntemeke mumeikataa Bravo vijana kaombeni msamaha kwa viongozi wenu mukaendeleze chama mumekuja usiku wa manane nasi tutakesha kuwazindua kwutoka matunguri ya Zitto nyie ni wanasiasa wazuri mukijisimamia

hueleweki mkuu,Naona unajikanyagakanyaga tu.Unatumia simu,au unaandika huku upo na mama msapu kwa pembeni.Tuliza akili na uje na mawazo makini sio huu uharo
 
Mkuu,

Unachofanya ni sawa na kuvaa Mabomu na kwenda kutishia kujiuwa kwenye ofisi za Taliban. Jamaa anavypenda ligi huyo, ukimjibu ndiyo unakuwa umemfikisha nyumbani sasa. Atabishana na wewe hadi mashine unayotumia sasa kuandika kwenye JF.
pilipili ni mboga na huwa nazitafuna kila baada ya masaa sita.
Hoja hujibiwa kwa hoja, kauli zako zimejaa upambe flani wa kujivua ufahamu.
Jipange sana mkuu, unamtia aibu aliyekutuma
 
Juliana shonza umetia aibu unatumika kama vile pad watumiazo akina mama,Mchanga waraka wote ni confesion kwamba mulikuwa na kundi la kuhujumu chama hapo jakuna damage cntrol niwaambie mumefikia hatua nzuri sana manake sasa wote mumekuja kuthibitisha ndio furaha yetu sisi wafuasi wenu
tulikuwa tunajiuliza iweje Juliana aliyeshinda kwenye uchaguzi mgumu kama yule atumike kumbe yalikuwa matunguri ya Zitto aliwapumbaza(Hypotonise)
Tukajiuliza vipi mchange amesahau ule umma pale Kibaha waliotaka kufa kwa ajili yake ili kudhibiti unynq,anyi wa kura zake awe anatukana viongozi na kuwapa majina ya kila namna tulikuwa hatuelewi kumbe ni nyoka mbeba matunguri Zitto aliwapumbza mumeamka sasa ndio mwisho wa ubaya siri zenu wote nje munakiri wote ni wasaliti sasa hiari yenu kujenga majina yenu na crediti za kisiasa au kuendelea kumtumikia huyo nyoka lakini wengi wetu tunaamini munachofanya hapa ni damage control ambayo wanasaikolojia wanatusaidia kupata uelewa kwamba kweli nyie mulikuwa munasaliti chama hii ni damage control its a little bit too late mumechafuka lakini munaweza kujisafisha furaha yetu ni kwamba hata Common ID yenu ya Tuntemeke mumeikataa Bravo vijana kaombeni msamaha kwa viongozi wenu mukaendeleze chama mumekuja usiku wa manane nasi tutakesha kuwazindua kwutoka matunguri ya Zitto nyie ni wanasiasa wazuri mukijisimamia

ninaona ndugu yanguumeacha kujadili hoja umewavamia watu, hebu waache kidogo waendelee kutufafanulia namna ambavyo mtu anaweza kuandika igizo kisha akaigiza mwenyewe na kutoa filamu yeye mwenyewe.
 
habibu mchange we kila kitu ulikuwa unapangiwa mpaka jina unapewa kama mnyama hapo sikuelewi kaka.
ulikuwa mesenger?
kila unachosema unadai ulijua unafiki je umefundishwa ukishamjua mnafiki ukubali kila analopangana kila kila analosema?

haiingii akilini kuwa ben ni mtu wa mikakati na mipango hatari kama unayosema na asiweze kukutana uso kwa uso na zitto mpaka akutumie wewe usiye na say (kwa maelezo yako) na zitto ni katibu mkuu kiasi cha kufikia kutuaminisha kuwa zitto anaweza kupishana na mtu wa kimkakati na kiprofeseri(manji kama ulivyodai).

mimi nawashauri vijana wa chadema kama mlitoka vyuoni na kuamini mkiingia chadema mmeula mi niwaambieni mlikosea,tunaamini ndani ya chadema kuna watu makini,kuna vijana makini,kuna kinamama makini.
kitendo cha kuja hapa jf na kumwaga ***** hakiwasaidii,zitto hasemi ukweli,wewe mchange husemi ukweli na be saa nane hasemi ukweli.
naona kama kila mtu anajidefence kwa jinsi anavyoona either kwa kupindisha ukweli au kwa kujivua nguo au kwa kusema uongo.
mimi niwaambieni ccm tumeichoka na kwa maelezo yenu kuna siri ya pesa za kifisadi za ccm ndani ya mtandao wenu.

NAWAPA MOYO WAPENDA MAGEUZI WOTE KUWA MPAMBANO UTAENDELEA NA KATIKA MPAMBANO HUO LAZIMA PUMBA ZITATOKA NA MWISHO WA SIKU NGANO ITABAKI NYEUPE.
 
Mchange na Juliana Shonza,

Mnaweza kutuambia hapa Wafadhili wenu wakubwa wa hilo kundi lenu walikuwa nani?

Kama hamkufikiria hilo wakati mnaandika na waliowafadhili ni CCM au TISS basi anzeni kuandaa mazishi yenu maana nyie watu hadi ninawahurumia. Kama hao waliowapa fedha wataona nyie ni watu hatari na wakataka kuwaondoa mashahidi, nina wasiwasi INTELIJENSIA ya nchi yetu itawafananisha sasa hivi na majambazi na mgongwe na kitu kizito chenye ncha kali sana kitakachorushwa sijui na nani?

Mnavyozidi kujivua nguo wenyewe kwa wenyewe, nina imani kuwa watu sasa hivi wataogopa kuumbuka na ili kulinda heshima zao, watawapotezea mbali.
Hadi sasa ninaweza kuwaamini zaidi Zitto na Saanane kwa aina fulani na zaidi Lyamuya maana ndiyo waliokuwa wa kwanza kuja hapa kusema yao ya moyoni. Nyie mmesubiri hadi mtajwe na ndiyo mnakuja hapa na kuanza kumshambulia Saanane.

Pia unaonekana unapenda sana vya bure. Kama Saanane alikuwa anawakaribisha hotelini kwenye vikao na anakulipieni kila kitu, hivi hamkufahamu kuwa "there is no free lunch in the world?" Ina maana hata ukiwa na Zitto ni yeye hununua kila kitu na wewe kubaki unakodoa macho wakati akilipa. Sasa kwa kuangalia Jeuri ya Pesa, Zitto lazima awe nazo nyingi kuzidi Saanane na zaidi hata ukiona tu nyumba yake ya Tabata. Kwa uwezo wa juu wa Zitto, ni offer ngapi ameshawapa/amekupa hadi leo hii? Huoni kuwa sisi tunapata picha kuwa umeona uwe na Zitto kwa Nguvu kubwa ya hela yake anayomzidi Ben?

Anyway, kama ukiweza kutuwekea majina 5 wakubwa ya waliokuwa wakichangia huo umoja wenu, nitakuamini kwa asilimia kubwa na utajenga imani kuwa uyasemayo ni kweli.

Kwani umeambiwa huo umoja uliimarika au ulishia kwenye makaratasi??
Maswali mengine yawe yanakichwa na miguuu sio mnaleta kila swali linalokuja kichwani.
 
habibu mchange we kila kitu ulikuwa unapangiwa mpaka jina unapewa kama mnyama hapo sikuelewi kaka.
ulikuwa mesenger?
kila unachosema unadai ulijua unafiki je umefundishwa ukishamjua mnafiki ukubali kila analopangana kila kila analosema?

haiingii akilini kuwa ben ni mtu wa mikakati na mipango hatari kama unayosema na asiweze kukutana uso kwa uso na zitto mpaka akutumie wewe usiye na say (kwa maelezo yako) na zitto ni katibu mkuu kiasi cha kufikia kutuaminisha kuwa zitto anaweza kupishana na mtu wa kimkakati na kiprofeseri(manji kama ulivyodai).

mimi nawashauri vijana wa chadema kama mlitoka vyuoni na kuamini mkiingia chadema mmeula mi niwaambieni mlikosea,tunaamini ndani ya chadema kuna watu makini,kuna vijana makini,kuna kinamama makini.
kitendo cha kuja hapa jf na kumwaga ***** hakiwasaidii,zitto hasemi ukweli,wewe mchange husemi ukweli na be saa nane hasemi ukweli.
naona kama kila mtu anajidefence kwa jinsi anavyoona either kwa kupindisha ukweli au kwa kujivua nguo au kwa kusema uongo.
mimi niwaambieni ccm tumeichoka na kwa maelezo yenu kuna siri ya pesa za kifisadi za ccm ndani ya mtandao wenu.

NAWAPA MOYO WAPENDA MAGEUZI WOTE KUWA MPAMBANO UTAENDELEA NA KATIKA MPAMBANO HUO LAZIMA PUMBA ZITATOKA NA MWISHO WA SIKU NGANO ITABAKI NYEUPE.

Mwambie Ben saanae alikutana wapi na Zitto,Yaani eneo la kukutana lilikuwa wapi?wakazungumza nini.tena bila ushahidi wa picha wala video.aseme kwa maneno tu akiona na picha na video ya kuonesha sehenu walioonana atuletee hapa jukwaani.
 
asante sana kamanda mchange kwakuleta huu ufafanuzi,maana haya uliyoyaandika ndiyo nilkiyotaka kuyatolea ufafanuzi japo bado nitatoa ufafanuzi wangu kuhusu hizi shutuma ambazo kwangu mimi nachokiona ni sawa na mtu kuchimba shimo halafu akatumbukia yeye mwenyewe,suala la ben kutumiwa kimkakati katika harakati zakumchafua zitto na sisi ambao wao hutuita masalia wala halijaanza leo,huu ni mkakati unaoratibiwa dhidi ya zitto pamoja na vijana ambao wanamuunga mkono zitto,nazidi kusisitiza kwamba ben saanane anatumia uongo kuuaminisha umma kwamba anamfahamu zitto kitu ambacho hata nafsi yake nina hakika inamsuta.ben acha kukimbia kivuli chako,sio rahisi kumchafua zitto kama unavyoweza kudhani,japo mnajitahidi sana lakini hamtofanikiwa.palipo ukweli uwongo hujitenga .
Kwa hiyo wewe unataka kusema unamfahamu zaidi Zitto kiasi kwamba unafahamu nyendo zake zote kiasi unajua kila asiyefahamiana na Zitto?
 
Zitto ana wengi sana...... wanaolilia kumfulia chupi. Au wewe uko kwa Nepi

attachment.php

Kwani umeambiwa huo umoja uliimarika au ulishia kwenye makaratasi??
Maswali mengine yawe yanakichwa na miguuu sio mnaleta kila swali linalokuja kichwani.
 
...MAKAMANDA....tuko... vitani... tunasonga ...mbele kuelekea lumumba ....majangili wamejifungia LUMUMBA.. ..wasiwasi wa nini wakati TUMEWEKA mtu kati LUMUMBA.......Centimeter...-...100000000000000000000000000000000000000000000000000000000000....karibu na LUMUMBA!!!!
 
Nipe hoja nikujibu kwa hoja.Naona unahamu ya kusikia hoja kutoka kwangu

ni kwa nini hoja za Ben Saanane na Mchange unaziona ni dhaifu ilihali bado hatujapata defense ya kutosha kutoka kwa wa watuhumiwa husika??
Kwa nini umeonyesha bias mapema kiasi hichi ingawa wewe sio Zitto au yeyeto aliyetajwa(hasa kwa kuzingatia majina ya wa husika yaliyotajwa)
 
Last edited by a moderator:
Mkuu,

Unachofanya ni sawa na kuvaa Mabomu na kwenda kutishia kujiuwa kwenye ofisi za Taliban. Jamaa anavypenda ligi huyo, ukimjibu ndiyo unakuwa umemfikisha nyumbani sasa. Atabishana na wewe hadi mashine unayotumia sasa kuandika kwenye JF.
Sio siri wewe jamaa umenichekeshaaa kinoma nomaaa.yaani hadi majirani wamesikia.
Lakini ukweli ndio huo sipendi ligi bali nafichua unafiki wa viongozi flani wa chadema kutumia vijana flani wa nyumbani kwao kuchafua chama na viongozi kama zitto
 
Nipe hoja nikujibu kwa hoja.Naona unahamu ya kusikia hoja kutoka kwangu

ni kwa nini hoja za Ben Saanane na Mchange unaziona ni dhaifu ilihali bado hatujapata defense ya kutosha kutoka kwa wa watuhumiwa husika??
Kwa nini umeonyesha bias mapema kiasi hichi ingawa wewe sio Zitto au yeyeto aliyetajwa(hasa kwa kuzingatia majina ya wa husika yaliyotajwa)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom