Taswira
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 1,198
- 452
ni kwa nini hoja za Ben Saanane na Mchange unaziona ni dhaifu ilihali bado hatujapata defense ya kutosha kutoka kwa wa watuhumiwa husika??
Kwa nini umeonyesha bias mapema kiasi hichi ingawa wewe sio Zitto au yeyeto aliyetajwa(hasa kwa kuzingatia majina ya wa husika yaliyotajwa)
Mchezo anaoufanya ben saanane na mamuya naujua sana,ndio maana nipo kolikoli kuwaumbua hapa.Nasubiria jambo moja litamkwe na mm nipigilie king ya mwisho.
Namsapoti zitto hadi tone langu la mwisho kwasababu wamekuwa wakimsakama kuanzia gazeti la mwanahalisi ambalo linamilikiwa na mtu wa chadema na aliyeandika makala zote ni kiongozi wa juu wa chadema,lakini hawakumshinda zitto.
Wamekuwa na tabia ya kumtenga na kumsakama ili hali wao wana akadi za ccm nyuma.