Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,505
asante sana kamanda mchange kwakuleta huu ufafanuzi,maana haya uliyoyaandika ndiyo nilkiyotaka kuyatolea ufafanuzi japo bado nitatoa ufafanuzi wangu kuhusu hizi shutuma ambazo kwangu mimi nachokiona ni sawa na mtu kuchimba shimo halafu akatumbukia yeye mwenyewe,suala la ben kutumiwa kimkakati katika harakati zakumchafua zitto na sisi ambao wao hutuita masalia wala halijaanza leo,huu ni mkakati unaoratibiwa dhidi ya zitto pamoja na vijana ambao wanamuunga mkono zitto,nazidi kusisitiza kwamba ben saanane anatumia uongo kuuaminisha umma kwamba anamfahamu zitto kitu ambacho hata nafsi yake nina hakika inamsuta.ben acha kukimbia kivuli chako,sio rahisi kumchafua zitto kama unavyoweza kudhani,japo mnajitahidi sana lakini hamtofanikiwa.palipo ukweli uwongo hujitenga .
Juliana Nakuheshimu sana
Umejiunga usiku huu na hii ni Post yako ya kwanza ili uweze kujiunga na wenzio wa Masalia kumtetea Zitto. Karibu sana lakini jua kuwa humu ni mahali pa kujenga hoja sio Porojo.
Nimeona post yako Facebook jioni hii ukianzia kule kumtetea Zitto na mlikuwa kimya wote nyie tangu juzi alipotoa hoja ya kwanza Exaud Mamuya. Unaweza kusema mlikuwa wapi hadi wote mnaibuka leo siku mbili baadae kwenye thread hii ya Mchange katika kujibu hoja?
Ni kwanini hamjibu kile alichokieleza Ben Saanane na badala yake mnamshambulia yeye na sio hoja yake aliyoitoa ili tupate ufafanuzi? Umemaliza Chuo Kikuu majuzi, bado hamkufundishwa namna ya kujibu hoja? Elimu yako imekusaidia nini???
Unaweza kusema toka moyoni mwako mara ya mwisho kuongea kwa simu na bosi wako Zitto ilikuwa usiku huu saa ngapi?? mmejadiliana nini kuhusu kutoa majibu haya hadi wote nyie muingie usiku huu wa manane kwa mpigo? Ni coincidence au??
Kwanini wewe na Mchange mmeshikia bango sana kuwa Saanane hjawahi kuonana na Zitto??? kunanini hapo hadi mng'ang'anie hiyo hoja? Mbona hamzungumzii swala la nyie kupelekwa kwa mganga kulishwa yamini??
Kwa ujumla kuja kwenu huku wewe na masalia wenzio kwa pamoja usiku huu wa manane kunaleta maswali mengi kuliko majibu mnayotoa ambayo ni dhaifu kihoja. Ni bora zaidi kukaa kimya ili kuficha upumbavu kuliko kuuanika hadharani!
Samahani lakini!
Last edited by a moderator: