Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

sasa kama hiyo e mail inaonyesha jinsi vijana wanavyoweza kuungana kutokana na uovu wa ccm, anawezaje kusema alikuwa kwenye kikundi cha kukisaliti chama?.
nani sasa anayetapa tapa kati yetu...mmesema BEN alikuwa Msaliti wa chama akiungana na kina mchange, nikawaeleza namna alivyokuwa anafanya shuhuli zake dhidi yetu, nimekuwekeeni na email ili mumuone alivyokuwa MNAFIKI na mpishi wa maneno mfano wa mashangingi walioshindikana...
vyovyote ilivyo, na vyovyote itakavyokuwa na kutafsiriwa, SAA NANE ni miongoni mwa vijana dhaifu katika siasa za taifa letu ambao kama hatutawaangalia vema wanaweza kurudisha nyuma harakati zetu.
SAA NANE anaongopa mpaka anajisahau kuwa anaongopa...
hi hebu muulizeni kama alikuwa muasi wa chama,
1. ALIELEZA SABABU ZA YEYE KUKIASI CHAMA?.
2.NI KITU GANI KIMEMBADILISHA KUTOKA KWENYE UASI NA KUBADILIKA GHAFLA NA KUUACHA UASI.
3. NI NJIA GANI ILITUMIKA KWA YEYE KUJIBADILISHA KUUACHA USALITI NA KUWA MWEMA.
4. JE NI KWELI KUSEMA TU AMEACHA USALITI KUNATOSHA KUMUAMINI KUWA SIO MSALITI TENA KAMA KWELI ALISALITI?.

Niseme tu hapa hadharani tena,

SAA NANE hana cha kupoteza kwenye siasa za nchi hii, saa nane amefurahia matunda ya serikali ya nchi hii katika umri wake huo huo mdogo alio nao.
Saa nane hana uhalali wa kunishutumu mimi kuwa nakivuruga chama nilichokipigania kwa nguvu zangu, akili zangu na muda wangu.
kama alikuwa hajui ni kwamba CHADEMA ni sababu kuu ya mimi kutokumaliza DEGREE YANGU YA KWANZA MPAKA LEO...
NI kwa sababu ya mapenzi yangu ya CHADEMA ndio maana nilichukua MKOPO WA ADA YANGU YA CHUO kwenda kuwalipa MAWAKALA walinde kura za CHADEMA pale KIBAHA ambapo yeye analipwa mshahara leo kwa kazi yake ya KINAFIKI.
ni kwa sababu ya mapenzi yangu na CHADEMA ndio maana nimeshitakiwa miaka miwili mfululizo pale kibaha na si saa nane wala anayemtuma aliyeeza kuja hata kunidhamini.
SAA NANE ni mnafiki tu, mimi ni muathirika wa siasa za CHADEMA ndani ya NCHI hii..leo hii mimi siruhusiwi hata kukanyaga DODOMA UNIVERSITY kwa sababu ya CHADEMA..
sasa anapotokea mjinga mmoja kama yeye aliyelipiwa na serikali DEGREE YA KWANZA MPAKA YA PILI tena NJE YA NCHI akajifanya anaichukia sana serikali na kutetea mageuzi eti dhidi ya wahanga wa mageuzi. mimi namuona amepotea.
mimi nimepoteza nguvu zangu nyingi sana kwenye CHAMA wala SAA NANE hawezi sema anauzalendo na MAPENZI YA DHATI kuliko mimi.
yeye ni MNAFIKI NA ANAENDELEZA UNAFIKI WAKE TU.

Unatumia emotions sana mpaka unaonekana hauna point..hii ishu ya wewe kutomaliza shule kwa sababu ya CDM inadhihirisha umaamuma ulionao na ulimbukeni wa siasa ndo maana hata sasa huwezi kuchanganua hoja na kuzijibu.Kuna mambo ya msingi ambayo Saa8 kayaibua na wewe ukishutumiwa moja kwa moja hujayajibu na sasa unakimbilia kutafuta huruma kwa kutuelezea ulivyo-misallocate resources kwa kutumia pesa ya allowance uliyopewa kulipia wasimamizi wa kura.

Hili linathibitisha kuwa hufai kabisa kushika nyadhifa yoyote ile kutokana na ukweli kuwa hauko reasonable.Maana yake ukipewa mamlaka unaweza kutumia pesa iliyotengwa kwa elimu kwa ajili ya kwenda kupiga propaganda za kuosha jina lako.Machange haya maji ni marefu nenda kajipange upya na uje na majibu.
 
Humu ndani kila kitu Zitto,Zitto..kwa nini asiwe Dr.Slaa,Mbowe au Lissu.?? mh.Zitto kwa nini wewe tu.??
 
sasa kama hiyo e mail inaonyesha jinsi vijana wanavyoweza kuungana kutokana na uovu wa ccm, anawezaje kusema alikuwa kwenye kikundi cha kukisaliti chama?.
nani sasa anayetapa tapa kati yetu...mmesema BEN alikuwa Msaliti wa chama akiungana na kina mchange, nikawaeleza namna alivyokuwa anafanya shuhuli zake dhidi yetu, nimekuwekeeni na email ili mumuone alivyokuwa MNAFIKI na mpishi wa maneno mfano wa mashangingi walioshindikana...
vyovyote ilivyo, na vyovyote itakavyokuwa na kutafsiriwa, SAA NANE ni miongoni mwa vijana dhaifu katika siasa za taifa letu ambao kama hatutawaangalia vema wanaweza kurudisha nyuma harakati zetu.
SAA NANE anaongopa mpaka anajisahau kuwa anaongopa...
hi hebu muulizeni kama alikuwa muasi wa chama,
1. ALIELEZA SABABU ZA YEYE KUKIASI CHAMA?.
2.NI KITU GANI KIMEMBADILISHA KUTOKA KWENYE UASI NA KUBADILIKA GHAFLA NA KUUACHA UASI.
3. NI NJIA GANI ILITUMIKA KWA YEYE KUJIBADILISHA KUUACHA USALITI NA KUWA MWEMA.
4. JE NI KWELI KUSEMA TU AMEACHA USALITI KUNATOSHA KUMUAMINI KUWA SIO MSALITI TENA KAMA KWELI ALISALITI?.

Niseme tu hapa hadharani tena,

SAA NANE hana cha kupoteza kwenye siasa za nchi hii, saa nane amefurahia matunda ya serikali ya nchi hii katika umri wake huo huo mdogo alio nao.
Saa nane hana uhalali wa kunishutumu mimi kuwa nakivuruga chama nilichokipigania kwa nguvu zangu, akili zangu na muda wangu.
kama alikuwa hajui ni kwamba CHADEMA ni sababu kuu ya mimi kutokumaliza DEGREE YANGU YA KWANZA MPAKA LEO...
NI kwa sababu ya mapenzi yangu ya CHADEMA ndio maana nilichukua MKOPO WA ADA YANGU YA CHUO kwenda kuwalipa MAWAKALA walinde kura za CHADEMA pale KIBAHA ambapo yeye analipwa mshahara leo kwa kazi yake ya KINAFIKI.
ni kwa sababu ya mapenzi yangu na CHADEMA ndio maana nimeshitakiwa miaka miwili mfululizo pale kibaha na si saa nane wala anayemtuma aliyeeza kuja hata kunidhamini.
SAA NANE ni mnafiki tu, mimi ni muathirika wa siasa za CHADEMA ndani ya NCHI hii..leo hii mimi siruhusiwi hata kukanyaga DODOMA UNIVERSITY kwa sababu ya CHADEMA..
sasa anapotokea mjinga mmoja kama yeye aliyelipiwa na serikali DEGREE YA KWANZA MPAKA YA PILI tena NJE YA NCHI akajifanya anaichukia sana serikali na kutetea mageuzi eti dhidi ya wahanga wa mageuzi. mimi namuona amepotea.
mimi nimepoteza nguvu zangu nyingi sana kwenye CHAMA wala SAA NANE hawezi sema anauzalendo na MAPENZI YA DHATI kuliko mimi.
yeye ni MNAFIKI NA ANAENDELEZA UNAFIKI WAKE TU.
Mchange,Point is
  • Kama hiyo ni evidence,IS NOT THE RIGHT EVIDENCE AS THE MATTER IS CONCERNED.Haina uhusiano na usaliti wa CHADEMA.Naweza kuwa mwanachama wa CDM na nikaanzisha NGO yenye lengo hilo.Hujaonyesha kwa namna yoyote katika email hiyo kuwa ilikua ni movement against Chama.
  • Nakubaliana na wewe kwamba Saa nane ni dhaifu,wewe ni dhaifu,Zitto ni dhaifu,Shonza ni dhaifu.Kwa hayo mliyoyafanya wote ni wasaliti.Hivi huoni vijana wanahangaika huku mtaani kukisimamisha chama nyie mnaleta mambo ya hovyo,Are u serious? Unajitetea kwa lipi hapa? what?
  • Tofauti yako na Ben ni kuwa Ben ni muasi aliyeamua kutubu wewe ni muasi uliyekula viapo kwa Sangoma kutomsaliti Zitto.
  • Usilete utetezi wa kutaka sympathy hapa.Unajua kuna watu wamekufa Arusha na Morogoro.Who are you uone degree ni ishu kubwa kuliko watu waliotoa maisha yao.
  • SWALI;Ulivyoona Ben ni mtu mbaya kwa chama ,ulichukua hatua gani?
  • Post zako za fbuk ulitumwa na Ben?
  • Unamfahamu TUNTEMEKE?
 
Last edited by a moderator:
Mchange,Point is
  • Kama hiyo ni evidence,IS NOT THE RIGHT EVIDENCE AS THE MATTER IS CONCERNED.Haina uhusiano na usaliti wa CHADEMA.Naweza kuwa mwanachama wa CDM na nikaanzisha NGO yenye lengo hilo.Hujaonyesha kwa namna yoyote katika email hiyo kuwa ilikua ni movement against Chama.
  • Nakubaliana na wewe kwamba Saa nane ni dhaifu,wewe ni dhaifu,Zitto ni dhaifu,Shonza ni dhaifu.Kwa hayo mliyoyafanya wote ni wasaliti.Hivi huoni vijana wanahangaika huku mtaani kukisimamisha chama nyie mnaleta mambo ya hovyo,Are u serious? Unajitetea kwa lipi hapa? what?
  • Tofauti yako na Ben ni kuwa Ben ni muasi aliyeamua kutubu wewe ni muasi uliyekula viapo kwa Sangoma kutomsaliti Zitto.
  • Usilete utetezi wa kutaka sympathy hapa.Unajua kuna watu wamekufa Arusha na Morogoro.Who are you uone degree ni ishu kubwa kuliko watu waliotoa maisha yao.
  • SWALI;Ulivyoona Ben ni mtu mbaya kwa chama ,ulichukua hatua gani?
  • Post zako za fbuk ulitumwa na Ben?
  • Unamfahamu TUNTEMEKE?

ni dhambikatika imani ya dini yangu kujadiliana na SANAMU(FAKE IDS) come up kwa jina lako tujadiliane sawa sawa, naona unataka kuleta nabishano yasiyo na kichwa wala miguu.
soma vizuri maandiko yangu utanielewa..unless wewe ndo uwe SAA NANE mwenyewe.
 
Oneni huyu dada anavyopika MAJUNGU. Halafu anataka kutuaminisha kuwa ni mkweli. Wewe utatuleteaje hapa maneno ya NILISIKIA, una uhakika nayo? Kama ulivyosikia ni kweli ila huna ufahamu wa ndani, itakuwaje?

Labda ni kweli Mbunge ARF hatagombea tena kama mmoja wa member alivyoandika na uongozi wa juu wanaandaa mtu wa kumrithi? Una uhakika gani kuwa jamaa hajawaambia HQ Chadema kuwa watafute mtu mwingine?

pole sana makamu ,nimeanza kusikia unahujumiwa mda mrefu,nina ushahidi wakutosha kuwa kuna dada mmoja ambaye kajiunga chama mwezi wa tatu mwaka huu ndiye katumwa na kiongozi mtendaji wa juu wa chama kuja kukuhujumu uonekane haufai ili huyo dada ndiyo agombee ubunge mpanda 2015
wanasahau kwamba wewe ndio umekijenga chama mpanda mpaka kimefika hapo.
Makamu sikushauri ususie chama,wewe ni kiongozi na mbunge unapaswa kupambana mpaka mwisho kuhakikisha dhuluma na uonevu wowote kwenye chama unafika kikomo.
Askari bora ni yule asiyekimbia vita.
Okota silaha yako,mapambano yanaendelea.jipe moyo mkuu,yana mwisho.

acha upotoshaji, chanzo cha mgogoro Katavi ni kutowajibika kwa Arfi kisa anapumzika 2015(hagombei tena 2015)

From: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kadi-kikaoni-atishia-kujiondoa-chamani-8.html
 
naona sasa huyu akimwaga ugali na huyu anamwaga mboga..tusubiri tuone nani mshindwa na nani mshindi

Mchange na Saanane karibu wanafika mwisho wa safari yao ya kisiasa..... Tuwaache wasafiri salama ingawa ajali inawawinda.
 
Hya yote ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa ndani ya chama.MADARAKA YANATAFUTWA KWA NGUVU
 
Mchange,Point is
  • Kama hiyo ni evidence,IS NOT THE RIGHT EVIDENCE AS THE MATTER IS CONCERNED.Haina uhusiano na usaliti wa CHADEMA.Naweza kuwa mwanachama wa CDM na nikaanzisha NGO yenye lengo hilo.Hujaonyesha kwa namna yoyote katika email hiyo kuwa ilikua ni movement against Chama.
  • Nakubaliana na wewe kwamba Saa nane ni dhaifu,wewe ni dhaifu,Zitto ni dhaifu,Shonza ni dhaifu.Kwa hayo mliyoyafanya wote ni wasaliti.Hivi huoni vijana wanahangaika huku mtaani kukisimamisha chama nyie mnaleta mambo ya hovyo,Are u serious? Unajitetea kwa lipi hapa? what?
  • Tofauti yako na Ben ni kuwa Ben ni muasi aliyeamua kutubu wewe ni muasi uliyekula viapo kwa Sangoma kutomsaliti Zitto.
  • Usilete utetezi wa kutaka sympathy hapa.Unajua kuna watu wamekufa Arusha na Morogoro.Who are you uone degree ni ishu kubwa kuliko watu waliotoa maisha yao.
  • SWALI;Ulivyoona Ben ni mtu mbaya kwa chama ,ulichukua hatua gani?
  • Post zako za fbuk ulitumwa na Ben?
  • Unamfahamu TUNTEMEKE?

lazima utakuwa na kazi MAALUM na wewe sio bure hata kidogo.
naona umemng'ang'ania mchange as if hauelewi alichokiandika?.
sisi tumeshamuelewa SAA NANE kuwa ni mnafiki
 
Mchange na Saanane karibu wanafika mwisho wa safari yao ya kisiasa..... Tuwaache wasafiri salama ingawa ajali inawawinda.
nilichokigundua SAA NANE hata safari ya kisiasa bado hajaianza...na ninaiona bright future ya mchange kwenye siasa za tanzania.
kuwa na msimamo ni kitu muhimu kuliko kitu chochote kwenye siasa. hongera zake.
 
Mchange
Umejitetea sana kuhusu kukipenda chama na unasema uliacha masomo sababu ya kukipenda chama. Lakini bado swali letu bado hujajibu. Baada ya Saa nane kuja kwako na kuanzisha M23 ndani ya chama. Je ulifanya jitiada gani kuweza kukipinga hichi kikundi kisiimarike? Maana inaonyesha wewe ulikubaliana naye na ukawa mstari wa mbele kumtafuta ndugu Zitto awe mfadhili wa hicho kikundi, pamoja na kuonekana unakana kwa kumkatalia kuwa huo utakuwa uasi ndani ya chama, lakini bado uliendelea kuhusika na hili swala hukulifikisha mbele ya chama. Hapo je huoni kuwa pia na wewe ni muasi?
 
Hya yote ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa ndani ya chama.MADARAKA YANATAFUTWA KWA NGUVU

Junior MemberArray


Join Date : 20th December 2012
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0


wewe hawakuulizi hata umejiunga lini?. siasa bwana
 
lazima utakuwa na kazi MAALUM na wewe sio bure hata kidogo.
naona umemng'ang'ania mchange as if hauelewi alichokiandika?.
sisi tumeshamuelewa SAA NANE kuwa ni mnafiki

wote ni wanafiki tu watoke chamani hatuwataki pambafu zao wakaanzishe hizo NGO zao huko na waombe ufadhili wa kigagula aliega kwao
 
ni dhambikatika imani ya dini yangu kujadiliana na SANAMU(FAKE IDS) come up kwa jina lako tujadiliane sawa sawa, naona unataka kuleta nabishano yasiyo na kichwa wala miguu.
soma vizuri maandiko yangu utanielewa..unless wewe ndo uwe SAA NANE mwenyewe.

Dalili za kukwama hizi, toa angalizo kwenye main post watu unaotaka kujadilina nao, how do u know kwamba I fake? Ina maana hiyo ni PC generated comment
 
Ubaya mwisho wake aibu.mtanedelea kutajana na kutaja dhambi zenu hadi ya mwisho.watanzania na vijana ni waelewa na watawahukumu kila mtu kwa matendo yake.
 
nilichokigundua SAA NANE hata safari ya kisiasa bado hajaianza...na ninaiona bright future ya mchange kwenye siasa za tanzania.
kuwa na msimamo ni kitu muhimu kuliko kitu chochote kwenye siasa. hongera zake.
hamna kitu na wewe acha ushabiki.... bright future ikowapi kwa mchange zaidi ya ufala na usaliti alioufanya? watoke waende zao ccm
 
MNAZIDI KUMPA CREDIT MCHANGE NDUGU ZANGU....HAYA MAMBO MENGINE NAWASHAURI MKAJIPANGE SAWA SAWA, VINGINEVYO MTAZIDI KUAIBIKA NA KUKIAIBISHA CHAMA.

SAA NANE AMEKIRI KUWA ANATUMIKA, KILICHOTOKEA HAPA MCHANGE AMESEMA KUWA SAA NANE AMEKUWA AKIJITUMIKISHA, LENGO LAKE LIKIWA NI KUONYESHA KUWA KUNA MAKUNDI NDANI YA CHADEMA.....

NASHAURI TURUDINI KWENYE MJADALA WETU MAARUFU, KWANINI SLAA ANAZICHUKUA KADI ZA WANACHAMA WA CCM WANAOHAMIA CHADEMA NA YEYE YAKE ANAWATUNZIA WAJUKUU ZAKE?.

Acha uongo wewe,Saanane hajakiri kuwa anatumika,amekiri kuwa alishiriki katika hujuma,nenda kwenye ule uzi mwingine kwani swali hilo alilijibu vizuri,Kuhusu kurudi kwenye mjadala wenu maarufu rudi mwenyewe kwenye thread zenu nyingi mlizofungua dhidi ya Slaa,misheni yenu imegunduliwa,Asante Ben kwa kuwaumbua wanafiki hawa!
 
Hiyo email uliyotumiwa na Ben Saanane ina makosa gani wewe Mchange?Mbona ni kama anaupinga mfumo wa uchaguzi wa wa nchi yetu?

Mmeumbuliwa na sasa ni kama mfa maji anayetapatapa,chadema ni lazima wafanye maamuzi magumu.Ni heri adui wa nje kuliko wa ndani.Just kama ilivyo kwa mkoloni mweusi ambaye ametoke kuwa mbaya zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom