Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Any way ila kuna vitu havishikamani.
Kwamba Ben Mapesa mliyefikia kumuita Manji alinunuliwa simu ya kurecord na kiongozi mmoja wa kitaifa kwenye chama, ulijuaje kama alinunuliwa wakati yeye binafsi anauwezo wa kujinunulia.

Unaonaje ukimtaja huyo kiongozi wa kitaifa anayemtumia Zitto.

Na wewe ulikuwa unarecord mazungumzo yenu kwa nini?
 
Hivi katika post zote mbili,wana jf mnapata onnection ya moja kwa moja ya zitto na usaliti anaousema ben???
Ben hakuna sehemu aliyomuonesha zitto akiuwa na kundi hili zaidi ya bla bla za maneno yake.lakini ni wapi zittto anaingia kwenye hizi shutuma?

unajua sikatai kumtetea mtu, ni haki yako lakini mtetee kwa hoja mkuu. Uteteaji wako huu ni sawa na ule wa mke kumtetea mume! Unajaza uchafu tu, hivi huyu zitto mbona yeye anajitahidi sana kujenga hoja lakini nyie watetezi wake hamna kitu. Mchange yeye mtiririko wake haueleweki (hata kama alichoandka ni cha kweli), huyo mwanamke ndo usiseme, wewe upoupo tu, yani unanyatianyatia kila post ili uijibu.
 
We Mchange ule ujinga uliokuwa una[ost kwenye face book kuhusu kadi ya Dk Slaa ndiyo akili ya kujenga Chama? then mbo post yako inafanana sana na watunga uongo wa Ki mihadhara ya dini fulani hivi?

Na laana ya migogoro yenu imesababishwa na matusi yenu ya reja reja kwa dini hiyo hiyo mpuuzi wa fikra wewe.
 
Movie bado inaendelea...
Naisubiria thread ya Mbowe, Slaa, Josephine...dah!!

JF where we dare to talk openly!!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
mkuu zimmerman hii stori ya bwana habibu Mchange inaonekana sehemu kubwa niyakutunga na hata kama kuna ukweli basi sehemu ndogo sana.inshort wote ni wasaliti kwa chama chao

Kwa kuongezea tu mkuu...
Angalia Likes za hoja ya Ben na za Hii ya Zitto, Mchange, Sonza na waasi wote kwa pamoja!
 
We Mchange ule ujinga uliokuwa una[ost kwenye face book kuhusu kadi ya Dk Slaa ndiyo akili ya kujenga Chama? then mbo post yako inafanana sana na watunga uongo wa Ki mihadhara ya dini fulani hivi?
bado unaendelea kuhochea mgogoro. hauonyeshi kukataa wala kukubali kilicholetwa humu jamvini na mchange.
naona malinda na Taswira na Juliana Shonza ndio wachangiaji wakuu.
hili nalo halisaidii kuupanua wala kuupunguza mjadala, hapa unaonyesha kuwa kuna watu wanaruhusiwa kujadili na kuna watu hawaruhusiwi kujadili. wache watu wajadili kwa kadiri wanavyoona inafaa
mods unganisha huu uzi na ule wa saanane.bado sijaona hoja hapa.
Mchange hujajisafisha kabisa!
hakuna haja ya kuunganisha uzi,haya ni mashitaka mawili tofauti, BEN ametishia kumwaga mboga mchange yeye amemwaga UGALI
Huu ndio utoto uliopitiliza,kila mtu anakuja analialia hapa jamvini wakati kuna viongoz wa chama waweza kwenda kumalizana huko.
Mamuya analia,Ben analia,Zito analia na mchange analia. Huu ndio up.u.u.z.i ulio kubuhu kumbe nyie wote mlikua na agenda zenu binafsi ndani ya chama sasa mmeshindwana ndo mmeona mje hapa jamvini kuumbuana.
Kweli ujana una mambo mengi na ndo maana mara nyingi tunagombana na wazee wetu,anyway mkikua mtaacha utoto.
Wacha mie nijiandae kupokea hukumu ya kamanda wangu LEMA,tuendeleze harakati za ukombozi tuachane na hawa wanaotafuta uongoz.
Lets go lema,lisu,mnyika,esta wasira na makamanda wote wa ukweli achaneni na hawa maji taka,wanatulia unit bure
SIJAONA KAMA WANALIALIA. kilichotokea hapa ni kwamba hizi pande mbili zipo kaini kuchafuana, mbinu waliyoiona upande wa wapinzani wa zitto ni sahihi kumchafulia imeonyesha kushindwa kufanya kazi, badala yake mchange amekuja kumuumbua BEN
Sijamaliza kusoma post zote ila huu ni mchezo mchafu seriously!!hii thread imekaa kimaigizo zaidi!mlikuwa wapi muda wote kujibu tuhuma mkasubiri usiku watu wakiwa wameshalala ndo mkaja kujibu tena wengi ni lile kundi lililotajwa??nina mashaka na huu utetezi!!
kwanini uhukumu kuwa imekaa kimaigizo kabla haujamaliza kuisoma?..na kwanini uwachagulie watu muda wa kuweka thread?. kama wewe ulikuwa umelala. sisi wenzio tuko macho na tunaendelea kuchangia kwa raha zetu.
Tunawajua hadi swaga zenu za vibabu,hawara n.k hadi Zitto anazitumia kwanini tusiamini mlikuwa na kikundi hatari chini ya Zitto?
bado mnalaimisha kuwa zitto anahusika na kikundi cha saa nane. bahati mbaya sana nawe umetumia akaunti fake kumshutumu zitto.
ushauri wangu ni kwamba, chadema wasipoamka mapema na kuishuhulikia hii migogoro ya kutengenezwa, lazima mwisho wao utakuwa mbaya sana.
watanzania wanahitaji zaidi ukombozi kuliko migogoro yenu ya ndani ya chama.
 
Sasa nalazimika kuingilia kati, kuna nini kwa vijana? Tumwamini nani kati ya watatu hawa ambao tayari wameshatajwa na kujitokeza hapa? Je, yale tuliyokuwa tunayasikia kuhusu Zitto yana ukweli kiasi gani? yana uongo kiasi gani?

Nani anatumiwa kwa dhahiri? kwa sababu gani? Mnacheza na CCM siyo? Hamjui ni mnyama mkali mwenye kupanga hila kila iitwapo leo? mnapokea vipesa vya Tyson na Nape mnakuja kuchafua mpango wa ukombozi wa nchi, siyo? Sasa kila jiwe litafunuliwa na yaliyomo ndani ya mawe hayo tutayaona dhahiri. Huu ni mkakati wa kusafisha chama na mwisho wake tutauona hivi karibuni.

Dr. Mkumbo Kitila naye katajwa! Nawashangaa vijana wasomi, mmelewa sifa haraka kiasi hiki? Wewe Zitto kila mara kuwa na viongozi wa ccm unatutia mashaka mpaka tutake kuamini anayosema Ben....Tunasubiri wale waliodai wanao ushahidi
 
Any way ila kuna vitu havishikamani.
Kwamba Ben Mapesa mliyefikia kumuita Manji alinunuliwa simu ya kurecord na kiongozi mmoja wa kitaifa kwenye chama, ulijuaje kama alinunuliwa wakati yeye binafsi anauwezo wa kujinunulia.

Unaonaje ukimtaja huyo kiongozi wa kitaifa anayemtumia Zitto.

Na wewe ulikuwa unarecord mazungumzo yenu kwa nini?

Pia kama alijua anarekodiwa kwa nini aliendelea kuzungumza?au waliamua kurekodiana kwasababu walijua siku moja yatatokea haya yanayotokea leo nini?kweli unafiki na usaliti mbaya.
 
unajua sikatai kumtetea mtu, ni haki yako lakini mtetee kwa hoja mkuu. Uteteaji wako huu ni sawa na ule wa mke kumtetea mume! Unajaza uchafu tu, hivi huyu zitto mbona yeye anajitahidi sana kujenga hoja lakini nyie watetezi wake hamna kitu. Mchange yeye mtiririko wake haueleweki (hata kama alichoandka ni cha kweli), huyo mwanamke ndo usiseme, wewe upoupo tu, yani unanyatianyatia kila post ili uijibu.
mkuu hapa haujajadili kitu. tupunguz kuwaingia wenzetu maungoni.
 
Kwa kuongezea tu mkuu...
Angalia Likes za hoja ya Ben na za Hii ya Zitto, Mchange, Sonza na waasi wote kwa pamoja!

Mzizi wa Mbuyu natumia simu muda huu lasivyo ningefanya hivyo,ila kwa mambo kama haya,wanachama kuwa na malengo yao binafsi ndani ya malengo ya chama ni hatari sana na ndio mambo yanayotufanya hata sisi tusiokuwa wanachama wa chama chochote tusivutiwe na chama chochote kutokana na upuuzi wa namna hii
 
Last edited by a moderator:
Sijamaliza kusoma post zote ila huu ni mchezo mchafu seriously!!hii thread imekaa kimaigizo zaidi!mlikuwa wapi muda wote kujibu tuhuma mkasubiri usiku watu wakiwa wameshalala ndo mkaja kujibu tena wengi ni lile kundi lililotajwa??nina mashaka na huu utetezi!!
Eti mtu kaunda kundi, kawatungia majina na wanaume wazima na suruali viunoni wakayakubali hayo majina,wanapelekwa hotelini wananyweshwa watakavyo.

Mimi nadhani kuna vingine walifanyiwa huko hotelini ila wanaogopa kusema. Hawa wote wasaliti, Mchange, Ben, Juliana, Zitto .nyie leteni hizo recording zenu muumbuane kila kitu msibakishe chochote na mkakianzishia uzi mwingine. Ila inatakiwa uwe na akili za kiuendawazimu kuamini utetezi wenu.

Huyo Ben kama kweli alikuwa kiongozi wenu basi inawezekana hata masaburi yenu kayachezea sana maana kwa jinsi mnavyopanglia hoja zenu kawazidi sana, hamna timing nzuri, mnaingia kwa pa1, mnachoandka hakitofautiani. Ndo sababu hata majina alikuwa anawatungia wanaume wazma mnakubali tu.
 
Mchange

Ben ameshakubali kosa wewe je?

Coz nimesoma maelezo yako marefu lakini something missing. Kama hayo yote uliyoyasema mbona ukuyawasilisha kwa Mamlaka husika juu hayo mliyokuwa mnatarajia kuyafanya?

Ben amewamaliza Ushauri baada ya kukanusha kwa maneno mengi ungwana ni vitendo sema maneno machache yenye kuonyesha ukomavu wa kutambua wapi umeteleza.
 
Last edited by a moderator:
Malinda 27 posts and counting..

Taswira Join date: 19th December 2012

Juliana Shonza Join date: 19th December 2012

Kuna mambo yanakulazimisha ujiulize hata kama ulikuwa mpitaji tu

ndio mambo ya zile 20 ids nini?
 
Vijana kama Zito,mchange na shonza ni hatari kwa ustawi wa Chadema.
Kwa nn kila siku zito ?siyo Tundu wala Mnyika.
Tamaa ya uongozi ni kitu kibaya sana.
Zito hautakuwa Rais wa Tanzania na ukigombea kupitia CDM ni bora nimpigie kura mgombea wa CCM.
 
Malinda 27 posts and counting..

Taswira Join date: 19th December 2012

Juliana Shonza Join date: 19th December 2012

Kuna mambo yanakulazimisha ujiulize hata kama ulikuwa mpitaji tu

huyu dada naye mweupe sana, sijui alipataje huo uongozi
 
Saanane kumbe mchumia tumbo

Labda kama sielewi mchumia tumbo inamaana gani, lakini sidhani kama mchumia tumbo anaweza akapachikwa jina la manji. haujaona sehemu mchange anasema alikuwa anawapa bata za kuua mtu kila wakikutana?
 
Back
Top Bottom