Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Najua katika hili zogo wapinzani wetu wamepata cha kusema, wamepata upenyo wa kupumulia, wanakesha wakiomba dua kwamba Chadema ipasuke ili wapate kupona.

Ninatoa rai kwa wanachama wengine wote kwamba hili saga liwe fundisho kwa kila mtu ili baadae asije akathubutu kuanzisha, kushiriki, kufadhili ama kushabikia uasi na usaliti ndani ya chama.

Natumaini viongozi wangu wakuu watakuwa makini kufuatilia haya yote yanayojiri hapa na kuchukua hatua stahiki kwa haraka iwezekanavyo kwa ajili ya mustakabali mwema wa chama chetu. Na kwakweli ninawasihi wawe wakali zaidi katika kulishughulikia suala hili ili hapo mbeleni pasitokee tena mtu awaye yeyote akafikiria kufanya uasi ama usaliti ndani ya chama hata kama atakuwa analipwa fedha nyingi kiasi gani.

Ndugu yangu Mwita Maranya: Hao nao wanatuhumiwa kwa njia moja au nyingine au hujasikia Makamu Mwenyekiti(moja ya viongozi wakuu) akitishia kurejesha kadi ya chama.
 
nyie wote tafakarini mnayoyafanya leo,mnajua tanawatathmini,halafu mnafahamu mnachokifanya,siasa needs brain and a pioneer spirit,take care
 
Wanasiasa wengi wanazungumzia mashindano yao ya kusaka uongozi kuliko kuzungumzia shida za wananchi. Je tutafika?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Tunasubiri walaka wako hapa wa kufunua yote unayotendewa na viongozi wa juu wa chama,Usaliti ma Ben saanane na waliomtuma

Mimi wasiwasi wangu ni kwa huyu mtu anaitwa 'Taswira' anaweza ku-collapse kwenye computer maana tokea afungue hiyo ID jana ni bandika bandua amekesha usiku mzima, ina maana huko ujerumani alikoenda si kaenda kushugulikia hela zetu za uswisi? sasa mbona anashinda kwenye computer anatupa 'mawe'.
 
Tuache yote,mwisho wa siku itajulikana tu mkweli nani na nuongo nani,be sanane inatakiwa ujibu madai haya kama ulivyojibu ya zito
 
Oneni huyu dada anavyopika MAJUNGU. Halafu anataka kutuaminisha kuwa ni mkweli. Wewe utatuleteaje hapa maneno ya NILISIKIA, una uhakika nayo? Kama ulivyosikia ni kweli ila huna ufahamu wa ndani, itakuwaje?

Labda ni kweli Mbunge ARF hatagombea tena kama mmoja wa member alivyoandika na uongozi wa juu wanaandaa mtu wa kumrithi? Una uhakika gani kuwa jamaa hajawaambia HQ Chadema kuwa watafute mtu mwingine?





From: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kadi-kikaoni-atishia-kujiondoa-chamani-8.html

Halafu katika mabandiko yao yoote sijaona wakikiri kuacha uasi
 
ni dhambikatika imani ya dini yangu kujadiliana na SANAMU(FAKE IDS) come up kwa jina lako tujadiliane sawa sawa, naona unataka kuleta nabishano yasiyo na kichwa wala miguu.
soma vizuri maandiko yangu utanielewa..unless wewe ndo uwe SAA NANE mwenyewe.

Hahaa Machange you now lost the ground nenda kajipange upya sasa...kama umeanza na kutafuta huruma na kuungwa mkono kwa kigezo cha dini maana ya you are completely out of focus.Ukianza kuhoji fake IDs na wakati haukuwahi kumhoji Tuntemeke wakati anawatetea utakuwa unajihujumu mwenyewe...Mara moja au mbili niliwahi soma makala katika magazeti ati zimeandikwa na wewe but kwa mtirirko wako mbovu wa hoja na mawazo niliouona hapa naamini jina lako limetumika mara kadhaa kama fake ID so wewe mwenyewe ni fake ID.

Huna cha kujadili kwa sababu hauna hoja...utetezi unaoleta mathalani ule wa mail unathibitisha jinsi usivyo makini.Ushauri wangu wa bure kwako:
1.Kama Zitto ni rafiki yako wa kweli basi mwombe akufadhili urudi shule ukaondoe ukungu rather than kutumia muda mwingi kumtafuta mtu alilyelegeza gurudumu la gari.
2.Mpaka hapo ulipofikia sasa kila mtu mwenye akili ameshakuona wewe ndio tatizo so you better keep quiet ili kuficha huo mwingine ulionao kichwani.
3.Kadri unavyozidi kuongea unazidi pia kuthibitisha maneno ya Saa8 kuwa wewe ni kibaraka so keep quiet ili kuwa prove wrong wale wachache wanaokuamini sasa
.
 
----- Forwarded Message -----
From: Ben Saanane <
bensaanane@yahoo.com>
To:
mchangehabibu@yahoo.com; mchangehabibu@gmail.com
Sent: Friday, June 10, 2011 1:52 AM
Subject: V4V values & Objctvs



The tragedy of Tanzania is a pervasive pathology. Its leadership selection process
excludes its best while celebrating mediocrity. The incremental influence of that
pathology has created a failing state that is unable to do much more than uphold the
conclave of looters that hold the country hostage. In many ways, every election
process turns out to be much worse than the preceding cycle.
Upon taking power after stolen polls, the new leadership often proceeds to enthrone
a ruling ethos that is defined by a searing contempt for the people. That is why,
despite the billions of dollars that the Tanzania state has earned over five decades,
Tanzania remains at the bottom of the human development league. It is a fate that
Tanzania must reject because a better life is possible.​
Fifty years into Tanzania’s attainment of nationhood, it still has the status of what
domestic and international observers call a failed state, failing state, or failed asset.
Tanzania’s failure to belong to the comity of successful and functional states that
obtained the status of independent nationhood within the same decade is not
attributable to the lack of material and human resources. On the contrary, the
country’s economic, social, and political failure has resulted from the non-adherence
to the practice of true federalism and the consequent mismanagement of the nation’s
resources by most of its political managers since independence. Such managers have
ranged from military dictators to civilian presidents and governors imposed on the
electorate through rigged elections

What to do now?
What is direly needed now is how to get
Tanzania out of the hole of underdevelopment, corruption, and mismanagement.
Now is the time for truly patriotic Tanzanians to join the movement to save Tanzania
from its current state of failure by joining forces with the Voice for the Voiceless Tanzanians (V4V) Group.
Now is the time to liberate Tanzania from the grips of its predators. V4V believes that​
Tanzanias’s failure is avoidable; that Tanzania can be saved. But to stop the politics of
self-imposed failure, a new crop of leaders with a patriotic outlook and a
transformational vision from those of its predatory leaders must move to the centre
of the country’s political space to re-engineer it away from chronic failure and chart
a new course in the direction of success. The V4V is blazing the trail of change and
transformation in Tanzania. V4V values has been designed to bring liberty,
security, and prosperity to all Tanzanians, is being made available to all Tanzanians, through building strong citizens to create wealth and
make contributions to modern global civilization.


hii hapa...


From

To



The tragedy of Tanzania is a pervasive pathology. Its leadership selection processexcludes its best while celebrating mediocrity. The incremental influence of thatpathology has created a failing state that is unable to do much more than uphold theconclave of looters that hold the country hostage. In many ways, every electionprocess turns out to be much worse than the preceding cycle.Upon taking power after stolen polls, the new leadership often proceeds to enthronea ruling ethos that is defined by a searing contempt for the people. That is why,despite the billions of dollars that the Tanzania state has earned over five decades,Tanzania remains at the bottom of the human development league. It is a fate thatTanzania must reject because a better life is possible.​
Fifty years into Tanzania’s attainment of nationhood, it still has the status of whatdomestic and international observers call a failed state, failing state, or failed asset.Tanzania’s failure to belong to the comity of successful and functional states thatobtained the status of independent nationhood within the same decade is notattributable to the lack of material and human resources. On the contrary, thecountry’s economic, social, and political failure has resulted from the non-adherenceto the practice of true federalism and the consequent mismanagement of the nation’sresources by most of its political managers since independence. Such managers haveranged from military dictators to civilian presidents and governors imposed on the
electorate through rigged elections

What to do now?
What is direly needed now is how to getTanzania out of the hole of underdevelopment, corruption, and mismanagement.Now is the time for truly patriotic Tanzanians to join the movement to save Tanzaniafrom its current state of failure by joining forces with the Voice for the Voiceless Tanzanians (V4V) Group.Now is the time to liberate Tanzania from the grips of its predators. V4V believes that​
Tanzanias’s failure is avoidable; that Tanzania can be saved. But to stop the politics ofself-imposed failure, a new crop of leaders with a patriotic outlook and atransformational vision from those of its predatory leaders must move to the centreof the country’s political space to re-engineer it away from chronic failure and charta new course in the direction of success. The V4V is blazing the trail of change andtransformation in Tanzania. V4V values has been designed to bring liberty,
security, and prosperity to all Tanzanians, is being made available to all Tanzanians, through building strong citizens to create wealth and
make contributions to modern global civilization



Mchange, hebu angalia tena kwenye red: Unaona tofauti yoyote? mfano email moja ina tarehe, muda etc. Hiyo nyingine imekuwa cropped!

Pili, kwanini 'FONTS zinatofautiana kati ya email-copy- ya awali na hii uliyoweka sasa?

Tatu, mtiririko wa huo email ulikuwaje? i.e. ni kitu gani kilikuwa kinaongelewa hapo hadi Ben akatuma (au ghost aka-Foward) email kwako?

Nne, PM7 bado ipo hai? kama jibu ni ndiyo, wajumbe wake ni nani, na mara ya mwisho walikutana lini, na malengo ya baadae yakoje? Na kama PM7 haipo ni lini ilivunjwa?

Tano, wewe ulikuwa mwanachama wa PM7? Na kwa mtazamo wako ulidhani PM7 kitaimirisha au kitadhoofisha chama chenu? Na kama ulidhani kitadhoofisha chama, ulitoa taarifa kwa viongozi wako wa juu ili wachukue hatua stahiki?

Sita na mwisho, Kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake. Ben Saanane amekiri kushiriki kwenye mkakati 'hasi' dhidi ya CHADEMA, lakini pia amesema kwa sasa amejitoa. Vipi, wewe uko upande gani?
 
nyie wote tafakarini mnayoyafanya leo,mnajua tanawatathmini,halafu mnafahamu mnachokifanya,siasa needs brain and a pioneer spirit,take care

Halafu katika mabandiko yao yoote sijaona wakikiri kuacha uasi
 
Yote haya ni matokeo ya milioni 20 zilizosemwa awali ama kuna mengine yamefichwa? Kama mmeshindwa kugawana sawa ama mmedhulumiana si bora kutafuta njia nyingine badala ya kuendelea kuweweseka kwenye jamvi la JF?
 
Ndugu yangu Mwita Maranya: Hao nao wanatuhumiwa kwa njia moja au nyingine au hujasikia Makamu Mwenyekiti(moja ya viongozi wakuu) akitishia kurejesha kadi ya chama.

Mkuu naomba msaada, pengine english ngumu ya Ben inanishika......hivi e-mail ya Ben kwa Mchange ina madhara yeyote, zingatia kwamba Ben alifanya kabla ya wokovu
 
Kunasehemu watu wamesema walikuwa wanawahafua slaa na mbowe?Mbona unatunga uongo usio kuwepo.Kilicho zungumzwa hapa ni PM7 nasio hicho unahoturubuni

Ben alisema bila kumumunya maneno, na beneficiary wake ni Zito Kabwe. Mbona wewe Malinda,Juliana na Mchange hamtaki kusikia wala kujibu hoja za Ben saa nane zaidi ya kuleta porojo???
Mmeumbuka sasa, Mungu hamfichi mnafiki.
 
Na aliendelea kupokea ofa za Saanane kwenye mahoteli akinywa, kula hadi kusaza bila kuuliza fedha za nani?

Hilo ndiyo swali muhimu hapa. Kama aliona maasi ndani ya chama na yeye akaenda hadi kwa Zitto wakajadili na Zitto akawa na habari juu ya haya maasi na yeye akabaki kimya, Zitto hapa na yeye anahusika moja kwa moja na wewe Mchange wake ambaye mlifahamu maasi na mkawa kimya.

Mchange
Umejitetea sana kuhusu kukipenda chama na unasema uliacha masomo sababu ya kukipenda chama. Lakini bado swali letu bado hujajibu. Baada ya Saa nane kuja kwako na kuanzisha M23 ndani ya chama. Je ulifanya jitiada gani kuweza kukipinga hichi kikundi kisiimarike? Maana inaonyesha wewe ulikubaliana naye na ukawa mstari wa mbele kumtafuta ndugu Zitto awe mfadhili wa hicho kikundi, pamoja na kuonekana unakana kwa kumkatalia kuwa huo utakuwa uasi ndani ya chama, lakini bado uliendelea kuhusika na hili swala hukulifikisha mbele ya chama. Hapo je huoni kuwa pia na wewe ni muasi?
 
Duhh ndio maana Zitto alisema swala la kuuana,Kumbe ni kweli.Nilikua nampuuzia TUNTEMEKE alipokuwa anasema Ben saanane ni jasusi wa kimataifa.Kumbe Lol
SERIKALI IPO WAPI ???kijana huyu ni haramu

mbona unajijibu mwenyewe? Sie tuwachukulieje?
 
ni dhambikatika imani ya dini yangu kujadiliana na SANAMU(FAKE IDS) come up kwa jina lako tujadiliane sawa sawa, naona unataka kuleta nabishano yasiyo na kichwa wala miguu.
soma vizuri maandiko yangu utanielewa..unless wewe ndo uwe SAA NANE mwenyewe.
Mchange,
How would it help kuona jina langu....Unashindwa kujitofautisha kwamba unaweza kujibu hoja.Jibu hoja hizo moja baada ya nyingine.Otherwise ni matapishi yaleyale(Kujitetea kwa vapour).The point stands umethibitisha kwamba ulijua maovu haya,hukufanya chochote.Umetukana sana chadema kule fbuk.Maswali mengi umeshindwa kujibu.

Umethibitisha ulikua mwanakikundi na hadi jina ulipewa(Siamini kama wewe ni minor-under 18 kwamba ulilazimishwa,una akili timamu au labda hatujui vinginevyo.)

Unajitetea kwa lipi hapa..kwa sababu umekiri kuwa member wa uasi...ila unachotaka ni kusema Ben pia ni member na ni mnafiki(Hilo halina shaka yeye mwenyewe kakiri)

USHAURI.
Wewe ni mwanaume,Jifunze kusimama peke yako kwenye issues.Simamia itikadi ya chama na sio mtu kama ulivyo wewe kwa zito(amekuoa?) .Hujulikani una fight for what.Shame on you kaka.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo email uliyotumiwa na Ben Saanane ina makosa gani wewe Mchange?Mbona ni kama anaupinga mfumo wa uchaguzi wa wa nchi yetu?

Mmeumbuliwa na sasa ni kama mfa maji anayetapatapa,chadema ni lazima wafanye maamuzi magumu.Ni heri adui wa nje kuliko wa ndani.Just kama ilivyo kwa mkoloni mweusi ambaye ametoke kuwa mbaya zaidi.
aithee bwa sheee upo werii?
 
Mchange,
How would it help kuona jina langu....Unashindwa kujitofautisha kwamba unaweza kujibu hoja.Jibu hoja hizo moja baada ya nyingine.Otherwise ni matapishi yaleyale(Kujitetea kwa vapour).The point stands umethibitisha kwamba ulijua maovu haya,hukufanya chochote.Umetukana sana chadema kule fbuk.Maswali mengi umeshindwa kujibu.

Umethibitisha ulikua mwanakikundi na hadi jina ulipewa(Siamini kama wewe ni minor-under 18 kwamba ulilazimishwa,una akili timamu au labda hatujui vinginevyo.)

Unajitetea kwa lipi hapa..kwa sababu umekiri kuwa member wa uasi...ila unachotaka ni kusema Ben pia ni member na ni mnafiki(Hilo halina shaka yeye mwenyewe kakiri)

USHAURI.
Wewe ni mwanaume,Jifunze kusimama peke yako kwenye issues.Simamia itikadi ya chama na sio mtu kama ulivyo wewe kwa zito(amekuoa?) .Hujulikani una fight for what.Shame on you kaka.

sasa tumeanza kuzijua IDs fake za SAA NANE.....tutaendelea tu kuzijua zaidi na zaidi na zaidi.
 
Back
Top Bottom