Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

ni dhambikatika imani ya dini yangu kujadiliana na SANAMU(FAKE IDS) come up kwa jina lako tujadiliane sawa sawa, naona unataka kuleta nabishano yasiyo na kichwa wala miguu.
soma vizuri maandiko yangu utanielewa..unless wewe ndo uwe SAA NANE mwenyewe.

Acha kutapatapa jibu swali la Gracious usisingizie fake Ids,umeshikwa pabaya kweli njia ya mwongo fupi,msaliti mkuwa wewe na ZZK na huyo Shonza,jibu hayo maswali uliyoulizwa acha kulia lia
 
Ben alisema bila kumumunya maneno, na beneficiary wake ni Zito Kabwe. Mbona wewe Malinda,Juliana na Mchange hamtaki kusikia wala kujibu hoja za Ben saa nane zaidi ya kuleta porojo???
Mmeumbuka sasa, Mungu hamfichi mnafiki.

Kingine, kama wao hawakuwa waasi mbona kutwa walikuwa wanamtukana Dr.Slaa na mkewe.....na pia kushadadia mambo ya kadi....hapa uongo unajitenga naona
 
Mkuu naomba msaada, pengine english ngumu ya Ben inanishika......hivi e-mail ya Ben kwa Mchange ina madhara yeyote, zingatia kwamba Ben alifanya kabla ya wokovu
kwa hiyo sasa hivi mmemsamehe dhambi zake zote?.
 
lazima utakuwa na kazi MAALUM na wewe sio bure hata kidogo.
naona umemng'ang'ania mchange as if hauelewi alichokiandika?.
sisi tumeshamuelewa SAA NANE kuwa ni mnafiki
lazima utakuwa na kazi MAALUM na wewe sio bure hata kidogo.
naona umemng'ang'ania Graciousas if hauelewi alichokiandika?.
sisi tumeshamuelewa
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo sasa hivi mmemsamehe dhambi zake zote?.

Wasome vizuri hawa wakusaidie kuliko kujaza server
Acha kutapatapa jibu swali la Gracious usisingizie fake Ids,umeshikwa pabaya kweli njia ya mwongo fupi,msaliti mkuwa wewe na ZZK na huyo Shonza,jibu hayo maswali uliyoulizwa acha kulia lia

Hii haitawasaidia, kitachosaidia ni hoja kujibiwa hata kama ni yeye isimaaanishe hoja ni mfu
 
Acha kutapatapa jibu swali la Gracious usisingizie fake Ids,umeshikwa pabaya kweli njia ya mwongo fupi,msaliti mkuwa wewe na ZZK na huyo Shonza,jibu hayo maswali uliyoulizwa acha kulia lia
mkitaka mkifikishe chama sehemu salama ni lazima muelewe na mkubali kwamba hakuna mkanilifu mia mia, mnayoyafanya ya kuwashambulia kina mchange na wenzie mnaonyesha namna gani livyo na chuki dhidi yao.
kitu ambacho kinawaumiza sana ni kuwa movements zenu ni rahisi sana kuhusianishwa na ukabila na ukanda, ndio maana mnawapa nguvu wakina mchange.....hebu angalia SAA NANE na MAMUYA ambao ni washtaki wakuu katika mpango huu wanatokea wapi?. wotekilimanjaro, angalia zitto, mchange na wampamba ambao ni washtakiwa wakuu wanatokea wapi?, huyu kigoma yule mbeya mwengine pwani nakadharika....
nawashauri punguzeni chuki zenu ili msiwape nafasi maadui zenu wanaochekelea mnyukano huu.
msiruhusu kuhusishwa na siasa za kikabila.
 
Hii haitawasaidia, kitachosaidia ni hoja kujibiwa hata kama ni yeye isimaaanishe hoja ni mfu
kama hivyo ndivyo kulikuwa na haja gani ya kumtafuta TUNTEMEKE ili tumjue humu?...tusiwe bised, kwamba kunya anye kuku akinya bata kaharisha?.
 
mkitaka mkifikishe chama sehemu salama ni lazima muelewe na mkubali kwamba hakuna mkanilifu mia mia, mnayoyafanya ya kuwashambulia kina mchange na wenzie mnaonyesha namna gani livyo na chuki dhidi yao.
kitu ambacho kinawaumiza sana ni kuwa movements zenu ni rahisi sana kuhusianishwa na ukabila na ukanda, ndio maana mnawapa nguvu wakina mchange.....hebu angalia SAA NANE na MAMUYA ambao ni washtaki wakuu katika mpango huu wanatokea wapi?. wotekilimanjaro, angalia zitto, mchange na wam Mbona we unaingiza ukabila bila kuelewa kinachojadiliwa.?
 
kama hivyo ndivyo kulikuwa na haja gani ya kumtafuta TUNTEMEKE ili tumjue humu?...tusiwe bised, kwamba kunya anye kuku akinya bata kaharisha?.

Ivi Zitto ana ban?...................TUNTEMEKE ni group, ID moja watu 8, watu walitaka watenganishwe
 
sasa tumeanza kuzijua IDs fake za SAA NANE.....tutaendelea tu kuzijua zaidi na zaidi na zaidi.

  • Is not hoja hiyo wewe malinda, jibuni hoja.Nakuthibitishia kwa 100000000% mimi sio Ben,ondoa shaka.
  • Ningewaona ni wenye busara sana kama mngeomba tu haya mambo mkajitetee kwenye vikao vya chama.Mwenzenu Ben anajiamini na is bold enough kwenda kwenye mamlaka ya chama.Stori zenu za kutunga hazitasaidia sana.
  • Hata msidhani kwamba mnapambana na Ben Saanane,mtu yeyote mwenye mapenzi mema kwa chama anawaona mna makosa.Wote pamoja na Ben.Kuna vijana wanaojitahidi kukisambaza chama kwa Umma,alafu ninyi kwa matakwa yenu mnaleta Coallision zisizo na Msingi.
  • I am sure hamuwezi ku survive kutokana na hii scandal.....For your good kama mnataka kuendeleza hayo mapambano yenu...Ni vema zaidi mkaenda kuyafanyia nje ya Chama cha Chadema,ambao mnadhani mtakuwa na uhuru zaidi.
  • Msidharau michango ya kila mtu kujenga chama,hakuna mwenye hati miliki ya kujidai eti ametoa damu yake.Damu yako imetoka katika usaliti? Bro,be realistic bana.Kuna watu wametoa maisha yao.Kuna watu wamefilisika kwa kusupport chama.
  • Kuaminiwa kwa Chadema hivi leo is not a mistake or a rare chance,some people toiled for it.Then you come,mnaaanza kuleta upuuzi.....GOD WILL PAY YOU,Be assured
 
Last edited by a moderator:
  • Is not hoja hiyo wewe malinda, jibuni hoja.Nakuthibitishia kwa 100000000% mimi sio Ben,ondoa shaka.
  • Ningewaona ni wenye busara sana kama mngeomba tu haya mambo mkajitetee kwenye vikao vya chama.Mwenzenu Ben anajiamini na is bold enough kwenda kwenye mamlaka ya chama.Stori zenu za kutunga hazitasaidia sana.
  • Hata msidhani kwamba mnapambana na Ben Saanane,mtu yeyote mwenye mapenzi mema kwa chama anawaona mna makosa.Wote pamoja na Ben.Kuna vijana wanaojitahidi kukisambaza chama kwa Umma,alafu ninyi kwa matakwa yenu mnaleta Coallision zisizo na Msingi.
  • I am sure hamuwezi ku survive kutokana na hii scandal.....For your good kama mnataka kuendeleza hayo mapambano yenu...Ni vema zaidi mkaenda kuyafanyia nje ya Chama cha Chadema,ambao mnadhani mtakuwa na uhuru zaidi.
  • Msidharau michango ya kila mtu kujenga chama,hakuna mwenye hati miliki ya kujidai eti ametoa damu yake.Damu yako imetoka katika usaliti? Bro,be realistic bana.Kuna watu wametoa maisha yao.Kuna watu wamefilisika kwa kusupport chama.
  • Kuaminiwa kwa Chadema hivi leo is not a mistake or a rare chance,some people toiled for it.Then you come,mnaaanza kuleta upuuzi.....GOD WILL PAY YOU,Be assured

Beni kakiri kwa mkono wake, alishaokoka......nao waseme kama hawakuwa waasi mbona walikuwa wanamtukana Dr.Slaa na mkewe
 
aithee bwa sheee upo werii?
We ndo sidekick ya miss Shonza?Mana kazi kweli kweli.Hii ni JF,msidhani ni kama FB!

Humu ni kama mnatembea uchi tu kwa utaratibu huu.

Huku watu wanakata issue na ujinga wako unaonekana na huna kibri ya kum "unfriend" mtu kama huwezi hoja ama hupendi michango.

Kitu mlicho nacho in common na boss wenu ni chuki dhidi ya watu wa kaskazini pamoja na wakristo kwasababu nyie ni wachawi,simple!
 
mkitaka mkifikishe chama sehemu salama ni lazima muelewe na mkubali kwamba hakuna mkanilifu mia mia, mnayoyafanya ya kuwashambulia kina mchange na wenzie mnaonyesha namna gani livyo na chuki dhidi yao.
kitu ambacho kinawaumiza sana ni kuwa movements zenu ni rahisi sana kuhusianishwa na ukabila na ukanda, ndio maana mnawapa nguvu wakina mchange.....hebu angalia SAA NANE na MAMUYA ambao ni washtaki wakuu katika mpango huu wanatokea wapi?. wotekilimanjaro, angalia zitto, mchange na wampamba ambao ni washtakiwa wakuu wanatokea wapi?, huyu kigoma yule mbeya mwengine pwani nakadharika....
nawashauri punguzeni chuki zenu ili msiwape nafasi maadui zenu wanaochekelea mnyukano huu.
msiruhusu kuhusishwa na siasa za kikabila.

Mbona Msigwa hajashambuliwa? Mbona sugu hajashambuliwa? mbona lissu hajashambuliwa? mbona nyerere hajashambuliwa? . mbona wenje hajashambuliwa?Afteral hao wako potential zaidi kuliko nyie, Dont be myopic, ninyi vijana mna matatizo ya msingi...hizo ndio agenda zenu kuamplify propaganda za CCM.CDM itajengwa na wana CDM wa dhati wanaokipenda chama kutoka moyoni,sio nyie.
 
Back
Top Bottom