Ataambiwa hata viongozi wenzako kina slaa wamechafuliwa sana lakini hawajajibu kwa kuwa ukubwa jalala je! yeye hataki kuwa jalala???? Rais gani wa hivyoooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Slaa hajajibu shutuma ipi? Ninavyojua hakuna hata shutuma moja ambayo DR SLAA hajaijibu. Labda utuwekee mojawapo tu unayoijua wewe. Ukishindwa kuitaja nadhani utakuwa umeshapata jibu kuwa hawezi kuwa Rais wa Jamhuri.