Taswira
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 1,198
- 452
Mheshimiwa Zito, Hawa ndio waharibifu wa chama chetu! Hivi wewe unaukoma hapo Chadema, hizo tuhuma juu yako mbona hawathibitishi, kazi ni majungu nakueneza chuki binafsi tu......
Zitto ni zaidi yao ndio maana tuhuma zao hawazidhibitishi ni maneno tu,ambayo hata mimi naweza kuyatunga