Zitto ni zaidi yao ndio maana tuhuma zao hawazidhibitishi ni maneno tu,ambayo hata mimi naweza kuyatunga
zitto hamjui ben saanane.....
- There are currently 409 users browsing this thread. (257 members and 152 guests)
........
Sorry... I am straight
Kama ulikuwepo starring zamani wameshazika tunasubiri mzimu urudi kumaliza mchezo
Chama
Gongo la mboto DSM
Maswala ya Zitto mwachie atayajibu mwenyewe.
Wewe jibu haya yanayokuhusu.
1.Kwa nini uliridhia kujiunga kwenye kundi hili lenye dhamira mbaya ndani ya chama?
2. Ulikua na matarajio gani ya kikundi hicho?
3.Kama hukupendeza na harakati za kikundi hicho kwa nini hukukemea na kureport kwa viongozi wa chama juu ya mpango huo mbaya?
4.Je Ben Saanane asingekuja hapa kuanika hili kundi nyie mngeendelea na harakati zenu??
5. Je bado watanzania waendelee kukuamini??
cc to Ben Saanane Mchange Zitto Dr. W.Slaa
kwi!kwi!Mkuu naona wewe unapambana na Zitto tu...unanipa wasiwasi inawezekana una maslahi mkubwa kwenye M23.
Kamanda wa kihindi siku zote anafia kwenye shamba la mahindi.
Mchange, kwanza uandishi wako umekosa mtirriko mzuri wa mawazo hata kama kuna ukweli wowote kati ya unayoyazungumza itakuwa ngumu sana ujumbe wako kueleweka. Pili, naona unataka kujisafisha lakini hausafishiki. Ona hapa ulichoandika:
"2. Ni BEN SAA NANE ndiye aliyewashawishi na kuwalazimisha wenzie anaowasema leo ni wasaliti waunde kikundi. Hakuishia hapo, akakitunga mpaka na jina. Kuwa ni patriotic movement seven na akakifupisha PM7.
3. Ni BEN SAA NANE ndiye aliyegawa majina ya kuitana miongoni mwa wana kikundi hiko, yeye akajipa jina la COBRA, mimi akanipa MDUDE "
Unajua nini Mchange, watu wote wenye akili hawawezi kukuamini kwa haya unayoyaandika. You are being too pretentious, unatungatunga tu vijistori vya kubumba na watu wengi waliojiunga humu JF ni watu wazima wenye akili zao, wanaweza kupembua pumba na mchele. Zako hizi ni pumba.
The tragedy of Tanzania is a pervasive pathology. Its leadership selection process excludes its best while celebrating mediocrity. The incremental influence of that pathology has created a failing state that is unable to do much more than uphold the conclave of looters that hold the country hostage. In many ways, every election process turns out to be much worse than the preceding cycle. Upon taking power after stolen polls, the new leadership often proceeds to enthrone a ruling ethos that is defined by a searing contempt for the people. That is why, despite the billions of dollars that the Tanzania state has earned over five decades, Tanzania remains at the bottom of the human development league. It is a fate that Tanzania must reject because a better life is possible. Fifty years into Tanzanias attainment of nationhood, it still has the status of what electorate through rigged electionsdomestic and international observers call a failed state, failing state, or failed asset. Tanzanias failure to belong to the comity of successful and functional states that obtained the status of independent nationhood within the same decade is not attributable to the lack of material and human resources. On the contrary, the countrys economic, social, and political failure has resulted from the non-adherence to the practice of true federalism and the consequent mismanagement of the nations resources by most of its political managers since independence. Such managers have ranged from military dictators to civilian presidents and governors imposed on the What to do now? What is direly needed now is how to get Tanzania out of the hole of underdevelopment, corruption, and mismanagement. Now is the time for truly patriotic Tanzanians to join the movement to save Tanzania from its current state of failure by joining forces with the Voice for the Voiceless Tanzanians (V4V) Group. Now is the time to liberate Tanzania from the grips of its predators. V4V believes that Tanzaniass failure is avoidable; that Tanzania can be saved. But to stop the politics of security, and prosperity to all Tanzanians, is being made available to all Tanzanians, through building strong citizens to create wealth andself-imposed failure, a new crop of leaders with a patriotic outlook and a transformational vision from those of its predatory leaders must move to the centre of the countrys political space to re-engineer it away from chronic failure and chart a new course in the direction of success. The V4V is blazing the trail of change and transformation in Tanzania. V4V values has been designed to bring liberty, make contributions to modern global civilization. |
Kinachonifurahisha kwenye huu uzi ni kitu kimoja....nimejua sasa kumbe hela anazopewa saaaa8 na mademu wazuri na super stars wanao wachuna political youth wapenda u-celebrate a.k.a. wauza sura wa media. Ye alikua anatumia kununulia lunch na kumobilise members wa P7.
Jamaa anaakili anatumia hela za wanasiasa mafisadi vijana kujijenga the man is smart...usiwaache hao warembo saa nane...c wanakuona we HB na hao wauza sura wa media hawana mvuto ahah h ahaah
Yakhe mbona unajihami kwa sisi tulikwambia mashoga?
Chama
Gongo la mboto DSM........
Katika watu wawili ambao mmoja anadai ananijua na tumekutana na mwingine anasema simjui wala hatujakutana..., inawezekana vipi third party awe na uhakika wa kutokujuana kwa hawa watu wawili ?........
.........
Habari, nimeona mchango wangu huu niuanzishie uzi ili tujadiliane kwa mapana..
----- Forwarded Message -----
From: Ben Saanane <bensaanane@yahoo.com>
To: mchangehabibu@yahoo.com; mchangehabibu@gmail.com
Sent: Friday, June 10, 2011 1:52 AM
Subject: V4V values & Objctvs
.........
Naona ushahidi umeshaanza kuletwa,Ben saanane njoo haraka sana hapa uwajibishwe unafiki wako----- Forwarded Message -----
From: Ben Saanane <bensaanane@yahoo.com>
To: mchangehabibu@yahoo.com; mchangehabibu@gmail.com
Sent: Friday, June 10, 2011 1:52 AM
Subject: V4V values & Objctvs
The tragedy of Tanzania is a pervasive pathology. Its leadership selection process
excludes its best while celebrating mediocrity. The incremental influence of that
pathology has created a failing state that is unable to do much more than uphold the
conclave of looters that hold the country hostage. In many ways, every election
process turns out to be much worse than the preceding cycle.
Upon taking power after stolen polls, the new leadership often proceeds to enthrone
a ruling ethos that is defined by a searing contempt for the people. That is why,
despite the billions of dollars that the Tanzania state has earned over five decades,
Tanzania remains at the bottom of the human development league. It is a fate that
Tanzania must reject because a better life is possible.Fifty years into Tanzania's attainment of nationhood, it still has the status of whatelectorate through rigged elections
domestic and international observers call a failed state, failing state, or failed asset.
Tanzania's failure to belong to the comity of successful and functional states that
obtained the status of independent nationhood within the same decade is not
attributable to the lack of material and human resources. On the contrary, the
country's economic, social, and political failure has resulted from the non-adherence
to the practice of true federalism and the consequent mismanagement of the nation's
resources by most of its political managers since independence. Such managers have
ranged from military dictators to civilian presidents and governors imposed on the
What to do now?
What is direly needed now is how to get
Tanzania out of the hole of underdevelopment, corruption, and mismanagement.
Now is the time for truly patriotic Tanzanians to join the movement to save Tanzania
from its current state of failure by joining forces with the Voice for the Voiceless Tanzanians (V4V) Group.
Now is the time to liberate Tanzania from the grips of its predators. V4V believes thatTanzanias's failure is avoidable; that Tanzania can be saved. But to stop the politics ofsecurity, and prosperity to all Tanzanians, is being made available to all Tanzanians, through building strong citizens to create wealth and
self-imposed failure, a new crop of leaders with a patriotic outlook and a
transformational vision from those of its predatory leaders must move to the centre
of the country's political space to re-engineer it away from chronic failure and chart
a new course in the direction of success. The V4V is blazing the trail of change and
transformation in Tanzania. V4V values has been designed to bring liberty,
make contributions to modern global civilization.
Hivi PM7=VOICE FOR VOICELESS?????????????????????????????
Ulipoleta hii thread kwa mara ya kwanza VOICE FOR VOICELESS haikuwepo sasa umeitoa wapi?
VOICE FOR VOICELESS ina uhusiano gani na Chadema?? au Dr Slaa? au Mbowe?