Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Na nyie tumewachoka kila siku malumbano kama mnaona chama kinawazingua si msepe mnang`ang`ania nini
 
Sitashangaa nikiona Juliana Shonza naye anaanzisha thread yake
 
Kauli hii inathibisha kwamba ni kweli Zitto anakundi linalomtii. nasubiri maelezo yako mengine.

watahangaika sana lakini its too late,kwa nini wasingeyasema hayo kabla ben hajawaumbua?unafiki unawasumbua sana
 
Ughaibuni watu kama Ben saanane wanapigiliwa misumari kwenye mbao za matangazo.Ni hatari kwa taifa kuwa na vijana wadogo wanaosafirisha umbea kuwavuruga viongozi wa kitaifa.

Taswira unaelekea Umasalia flan Am sorry to say, Ben ni Msaliti Sawa Hilo limefahamika na yeye binafsi amekiri hilo na mamlaka husika watajua adhabu ya kumpa.Sasa swali kwa hao wengi Mbona hawajibu hoja ya msingi zaidi ya kutoa ufafanuzi?Shurianeni tu kuwa picha imeshaiungua na imeanzia kichwani. Jipangeni Upya.
ID yakio inasomeka hivi: Join Date : 19th December 2012
 
Vijana wa CDM hakuna lolote. Tuwaachie wenye umri wa makamo na wazee waendelee kugombea uongozi (ukiwamo na ubunge), sisi vijana tuwe wapiga kura tu!
 
Malinda 27 posts and counting..

Taswira Join date: 19th December 2012

Juliana Shonza Join date: 19th December 2012

Kuna mambo yanakulazimisha ujiulize hata kama ulikuwa mpitaji tu

halafu uamini wanachokitetea? Manji aliwazidi sana akili hawa vijana.
 
What the f$##@#!!

MMK huu ni ukakasi, mwenyewe sijaokota chochote katika huu uzi, ni project ya kipuuzi sana sababu naona hadi ID.. Mpya mpya zimeanzishwa zinacoment kwa mfumo wa kutibua its shame tuwe GT jamani
 
watahangaika sana lakini its too late,kwa nini wasingeyasema hayo kabla ben hajawaumbua?unafiki unawasumbua sana

Ofcourse, wanatoa maelezo yanayomaanisha kwamba tokea mwanzo ben amekuwa akiendesha mikakati ya kiharamia dhidi ya chama, na wanaonyesha kwamba hawakuwahi kukubaliana nae hata mara moja, na wanaonyesha kwamba walijua alikuwa anatumwa kwa nini hawakumlipua mapema.

mpaka sasa hawa watu mbele yangu wanahatia
 
Poor you Mchange and Juliana Shonza.
Mmesubiri mpaka siku 2 ndiyo wote mmekuja humu tena usiku wa manane ! Basi nijibuni maswali haya.
1. Mfadhili wa kikundi chenu cha Mp7 ni nani?
2.Vipi ID ya Tuntemeke bado hamjaitolea ufafanuzi kama Ben alivyosema.
3.Kwani we Mchange Juliana na mwapamba huwa mnawatukana matusi ya nguon viongozi wa juu wa chama fcbk?
 
Last edited by a moderator:
Mh walilegeza nati za tair ya nyuma ili apate ajal? Tair ya nyuma mbona sio case wangelegeza ya mbele basi.. Upo kwenye harakat za kumsafisha boc wako wakgoma hakuna jpya hapa.

mkuu kutunga uongo ili uwe ukweli ni kazi ngumu sana, mchange kaaibika sana daa kazi ya ukuli wa tunguli za zitto ni ngumu sana
 
Ndugu zangu @ habibu Mchange, Ben Saanane Juliana Shonza Zitto, kwakweli mnaendelea kunisonononesha sana, kwanini kama wote mlikuwa mna nia njema na chama hamamkuyapeleka makao makuu ya chama jamani? Leo hii kila mtu hapa ana taka aonekane ni mwema!

@Machange umekiri kuwa na ukaribu na zitto na ulikuwa unajua hila za Ben Saanane katika kukihujumu chama kwa nini ukushawishi Zitto akaliongee hili swala kwenye kamati kuu? Kwakweli mnacho fanya hapa sidhani kama kitawatoa nyote nyie kwenye hataia kabisa! Wote mlikuwa mnajua kinacho endelea kwa nini hamakusema? kama kweli nyie ni wapigania haki wa kweli?

Nimechoshwa na hizi story, nimechoshwa na huu upuuzi, upuuzi maana mliamua kukaa nao mfukoni!
Mchange umesema Ben alikuwa anatumiwa na mtu kwenye chama lakini umekataa kumtaja na ukaongeza Zitto alipangiwa ajali lakini haya unataka tuyaamini! Je yalishafika makao makuu?

Kwakweli mimi mmenisikitisha nyie wote( Zitto, Ben Saanane, Juliana Shonza , mamuya, MCHnge,gwasika,Mwampamba kwakweli nyie inabidi mtubu sana.
Kwakweli nimesikitishwa na kusononeshwa sana na haya mambo kwakweli!
 
Last edited by a moderator:
ndiyom maana mnafeli mitihani hivihivi unaambiwa without using mathetical tables solve the following wewe unaamua kuachana na kiti unakaa chini. jibu swali kwanini zito hataki kuoa? kwani mwali kuwa ndani ndiyo kuoa wewe vipi? naona leo mnasaidiana , kyama chenu kimefika.uneniambia alikuwa hajapata mwenza ningekuona una busara lakini kwa hili bure kabia.

unauliza kwanini zito hataki kuoa kwani hiki ni kikao cha wanafamilia?.
Halafu wewe ni me au ke?.
 
Taswira unaelekea Umasalia
flan Am sorry to say, Ben ni Msaliti Sawa Hilo limefahamika na yeye
binafsi amekiri hilo na mamlaka husika watajua adhabu ya kumpa.Sasa
swali kwa hao wengi Mbona hawajibu hoja ya msingi zaidi ya kutoa
ufafanuzi?Shurianeni tu kuwa picha imeshaiungua na imeanzia kichwani.
Jipangeni Upya.
ID yakio inasomeka hivi: Join Date : 19th December 2012

Ben ameanzisha kundi na kulifadhili hizo pesa ametoa wapi?
 
,

vp wazee wakunyonyoana nywere, mko niaje

9k=
Mpango mzima bila hiki kifaa wewe si mwanachama hai wa PM7 waasi
images
 
kama sijaelewa vibaya ni kwamba
1. mchange alimuelewa Ben mission yake tangu siku ya kwanza
2. alimdharau na kumuacha aendelee kupeleka uongo wake yeye mwenyewe.

cha msingi tu hapa kushauri ni kwamba, BEN hana busara, na kama angekuwa na busara asingeweza kukubali kukifanya alichokifanya yeye.
hata kuandika mashtaka ya kitoto kama yale hakuwa sahihi hata kidogo hasa kwa mtu ambaye sio level yake kiuongozi.
vile vile na mchange nae alitakiwa atafute njia sahihi kuufikisha huu ujumbe kuliko kuendleza marumbano kila uchao.
zaidi ya yote tuangalie part three ya muvi kama itakuja.
Wewe nimekwisha kunote muda mrefu kwamba ni mmoja kati ya kundi la masalia, muda mrefu sana, sababu hakuna unachoeleza zaidi ya porojo.

unadai mchange alimgundua ben muda mrefu, what did he do thereafter, kwa nini mchange alikaa kimya huku akiangalia harakati hatari dhidi ya chama zikiendelea, kwa nini alimkaria kimya mtu aliyemuona ni hatari hata kwake binafsi? mpaka mwaka huu uishe chupi zitakuwa zimekwisha walegea nyote nyie.
 
Eeeh Mungu tuokoe na huyu mtu zitto anaharibu vijana anawaroga wanashindwa hata kutumia akili zao onana umemuchukua Mwl Nyerere umeacha wachawi hawa anagalia sasa wanachofanya huku duniani

Huyu zitto akipata urahisi R&D itakuwa hamna tutarudi kutumia vitu vya asili na safali zitakuwa ucku

Tanzania watu waliojitangazia uchawi wamekuwa watatu sasa Pof wa Tanga, marehemu Yahaya wa kikwete na huyu sasa kijana zitto na ameahidi kuroga hata panya wasio na makosa kweli miaka 36 unatangaza uchawi hadharani?
 
Ndugu zangu @ habibu Mchange, Ben Saanane Juliana Shonza Zitto, kwakweli mnaendelea kunisonononesha sana, kwanini kama wote mlikuwa mna nia njema na chama hamamkuyapeleka makao makuu ya chama jamani? Leo hii kila mtu hapa ana taka aonekane ni mwema!

@Machange umekiri kuwa na ukaribu na zitto na ulikuwa unajua hila za Ben Saanane katika kukihujumu chama kwa nini ukushawishi Zitto akaliongee hili swala kwenye kamati kuu? Kwakweli mnacho fanya hapa sidhani kama kitawatoa nyote nyie kwenye hataia kabisa! Wote mlikuwa mnajua kinacho endelea kwa nini hamakusema? kama kweli nyie ni wapigania haki wa kweli?

Nimechoshwa na hizi story, nimechoshwa na huu upuuzi, upuuzi maana mliamua kukaa nao mfukoni!
Mchange umesema Ben alikuwa anatumiwa na mtu kwenye chama lakini umekataa kumtaja na ukaongeza Zitto alipangiwa ajali lakini haya unataka tuyaamini! Je yalishafika makao makuu?

Kwakweli mimi mmenisikitisha nyie wote( Zitto, Ben Saanane, Juliana Shonza , mamuya, MCHnge,gwasika,Mwampamba kwakweli nyie inabidi mtubu sana.
Kwakweli nimesikitishwa na kusononeshwa sana na haya mambo kwakweli!

Halafu watu wanamtukana Chris kwa kukengeuka... kwa mambo haya hata Slaa mwenyewe atarejesha majeshi sisiemu:confused2:
 
Back
Top Bottom