Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Mchange!Ben ameshakubali kosa wewe je?Coz nimesoma maelezo yako marefu lakini something missing.Kama hayo yote uliyoyasema mbona ukuyawasilisha kwa Mamlaka husika juu hayo mliyokuwa mnatarajia kuyafanya?
Ben amewamaliza Ushauri baada ya kukanusha kwa maneno mengi ungwana ni vitendo sema maneno machache yenye kuonyesha ukomavu wa kutambua wapi umeteleza.

KOMBAJR umenena vyema sana mkuu hasa sentensi yako ya mwisho
 
Last edited by a moderator:
Bavicha njaa inawasumbua sana tena sana na bado hamjasema kumbe na ww kujikomba kwa zitto ili mkono huende kinywani, yani akuna wakumwamini hapa bora mkalime tu hacheni siasa mtakuja kuhuana tu, siasa na njaa katu habadani haviendani.
 
Wote ni wana pm7,sema tu wametofautiana kauli.wasaliti wakubwa nyie.
 
Umeona heee!chamsingi hapa ni kujua kwa nini makundi yote yanamuhusisha zitto?kwa nn asiwe msigwa ama Lisu?
Mkuu hao uliowataja ni watu wanaojitambua na wanaojua wajibu wao kwa taifa lao.

Hivyo "vinuka mikojo" vinavyodhani ni "zamu yao" vitatuetea shida sana; tena sana. Lakini ni jambo jema kwamba kadiri muda unavyokwenda pumba na mchele vinazidi kutengana.
 
Hivi katika post zote mbili,wana jf mnapata onnection ya moja kwa moja ya zitto na usaliti anaousema ben???
Ben hakuna sehemu aliyomuonesha zitto akiuwa na kundi hili zaidi ya bla bla za maneno yake.lakini ni wapi zittto anaingia kwenye hizi shutuma?
mkuu naona umejiunga Jf na kuwa mchangiaji mkuu tena kwenye hii post tu, hivi zile ID 20 bado hazitoshi? uzi utajaa maneno yako tu.
wewe huoni usaliti kwa sababu ZZk amesha kuroga, na unakula hela yake mjini hutaki kwenda kijijini kwenu,
cha ajabu huyo zitto anasema kila mtu ajitetee mwenyewe nyie mpo tayari kufa kwa ajili yake hamjitetei nyinyi kweli njaa mbaya ha ha ha ha mtaishije mjini na ndo kimeshasanuka?
 
Asante sana kamanda Mchange kwakuleta huu ufafanuzi, maana haya uliyoyaandika ndiyo nilkiyotaka kuyatolea ufafanuzi japo bado nitatoa ufafanuzi wangu kuhusu hizi shutuma ambazo kwangu mimi nachokiona ni sawa na mtu kuchimba shimo halafu akatumbukia yeye mwenyewe.

Suala la Ben kutumiwa kimkakati katika harakati zakumchafua zitto na sisi ambao wao hutuita masalia wala halijaanza leo, huu ni mkakati unaoratibiwa dhidi ya Zitto pamoja na vijana ambao wanamuunga mkono Zitto, nazidi kusisitiza kwamba Ben Saanane anatumia uongo kuuaminisha umma kwamba anamfahamu Zitto kitu ambacho hata nafsi yake nina hakika inamsuta.

Ben acha kukimbia kivuli chako, sio rahisi kumchafua Zitto kama unavyoweza kudhani, japo mnajitahidi sana lakini hamtofanikiwa.

Palipo ukweli, uwongo hujitenga .
Kauli hii inathibisha kwamba ni kweli Zitto anakundi linalomtii. nasubiri maelezo yako mengine.
 
Inaonekana viongozi wa CHADEMA wamemtuma Ben,jana walikesha kwenye ile thread kuangalia upepo unakwendaje hapa simuoni hata mmoja.
 
Eti mtu kaunda kundi, kawatungia majina na wanaume wazima na suruali viunoni wakayakubali hayo majina,wanapelekwa hotelini wananyweshwa watakavyo.

Mimi nadhani kuna vingine walifanyiwa huko hotelini ila wanaogopa kusema. Hawa wote wasaliti, Mchange, Ben, Juliana, Zitto .nyie leteni hizo recording zenu muumbuane kila kitu msibakishe chochote na mkakianzishia uzi mwingine. Ila inatakiwa uwe na akili za kiuendawazimu kuamini utetezi wenu.

Huyo Ben kama kweli alikuwa kiongozi wenu basi inawezekana hata masaburi yenu kayachezea sana maana kwa jinsi mnavyopanglia hoja zenu kawazidi sana, hamna timing nzuri, mnaingia kwa pa1, mnachoandka hakitofautiani. Ndo sababu hata majina alikuwa anawatungia wanaume wazma mnakubali tu.
inavyoonekana Mponjori hawa jamaa labda akili zao walikua wamemuazima bwana saanane,kwasababu mambo mengi alikua anafanya kwa niaba yao,vichwa vyao sijui walikua wanatumia kufugia nywele na sio kufikiri?any way ngoja niishie hapo kwanza
 
mbona tutazipa mkuu +255 muda sio mrefu
wenye ufahamu wote tunamjua aliyemuua chacha wangwe

Mkuu umenena...ila kilichonifurahisha ni jinsi Ben alivyoongea kuwa yuko radhi hata kuachana na siasa ili kujivua dhambi ya usaliti au kuendelea na usaliti!!! Lakini ZZK,Mchange,SOnza nk wanataka waharibu chama na waendelee kubaki chamani!
BEN hawezi kulinganishwa na zitto, BEN hakuwahi kuwa msaliti kwa nilivyoelewa, BEN AMEJISALITI YEYE MWENYEWE na nadio maana amechanganyikiwa baada ya kushtukiwa. hana cha kujivunia zaidi ya kudhalilika tu humu mtandaoni
Mh walilegeza nati za tair ya nyuma ili apate ajal? Tair ya nyuma mbona sio case wangelegeza ya mbele basi.. Upo kwenye harakat za kumsafisha boc wako wakgoma hakuna jpya hapa.
yawezekana ni kweli yupo kumsafisha bosi wake, swali kwako wewe je unamchafua nani?. au unamsafisha nani na kwanini?.
Nimekuelewa ndugu Mchange , shortly ni kwamba wewe ,Ben ,Mwampamba na wengine wote walioshiriki ni wasaliti mno , bila shaka njaa ndiyo iliyowa motivate , kuna baadhi yenu nawafahamu vizuri , najua maisha mnayoishi ni ya chini sana, hebu ngoja niulize hivi kabla hamjamtafuta Zitto ni nani alikuwa anawafadhili ? Bila shaka alikuwepo mfadhili , Mlichokifanya ni kitu kibaya mno na sijui kama hilo mnalitambua ! Malipo yake ni makubwa mno ,hamtayaweza na hicho kitendo ni dhambi kubwa sana kwa mwenyezi mungu , bali umma pamoja na viongozi wa Chadema wamekwisha wasameheni .
sioni kama ni dhambi, kwa nilivyoelewa mimi ni kuwa SAA NANE ameudanganya UMMA kuwa kulikuwa na kundi ambalo yeye ni mjumbe wake na baadae akajitoa, badala yake ni yeye mwenyewe alikuwa anajidanganya kujirekodi na kuwarekodi wenzie, ni kama mchezo tu wa kuigiza aliokuwa anaufanya saa nane

mkuu zimmerman hii stori ya bwana habibu Mchange inaonekana sehemu kubwa niyakutunga na hata kama kuna ukweli basi sehemu ndogo sana.inshort wote ni wasaliti kwa chama chao
unawezaje kuthibitisha kama hii ni story ya kutunga kwa kuangalia tu?. mbona hukusema story ya saa nane ni ya kutunga na badala yake ukachangia huku tayari ukiwa na upande wako....waache waendelee kuumbuana, mwisho wa siku pumba na mchele vitajulikana.
Ningependa mjisahau ili mtuletee habari za nani alihusika na kifo cha Wangwe?!
aliemuua wangwe na timu yake nzima vinajulikana mkuu wangu, ni kiasi tu kuwa watanzania wameumbwa kusahau
Nyie masalie leo ndo mnakumbuka kwamba kuna kukanywa etii? endeleeni na matusi kama mlivyokuwa manafanya dunia inawaweka sawa na chama hakichukui hatua yeyote mjihukumu wenyewe
Tunasubiri mwisho wenu sasa kama jamaa ataendelea kuwaweka mjini ama vp?
misukule nyie
mchango wako umeegemea kwenye chuki zaidi. jenga hoja
nikiwa kama mwanachama mchanga nakatishwa tamaa sana na hali hii.. cjui mwisho wake nini
usikate tamaa ndugu yangu mungu atawaonyesha watanzania kweli na hki
Pole sana na uchovu bibie, sidhani kama umepata muda wa kupumzika kwani tokea jana ucku upo hapa, jaribu kumwachia mwenzio lindo upate walau muda wa kulala.
hili ni kosa kubwa sana kimaadili...kuniita bibie bila kunijua jinsia yanjgu, hii ni kutokana na woga wa kujadili masuala, unadhani unaweza nizuia kujadili objectively, sio wote tunaotumiwa kama wengi wenu, sisi wengine ni watu huru na tunaangalia jinsi mchezo wenu wa kukata matawi ya miti mliyokalia unavyoendelea...MODS watanisaidia kukupa adhabu ya kuniita bibie
unajua sikatai kumtetea mtu, ni haki yako lakini mtetee kwa hoja mkuu. Uteteaji wako huu ni sawa na ule wa mke kumtetea mume! Unajaza uchafu tu, hivi huyu zitto mbona yeye anajitahidi sana kujenga hoja lakini nyie watetezi wake hamna kitu. Mchange yeye mtiririko wake haueleweki (hata kama alichoandka ni cha kweli), huyo mwanamke ndo usiseme, wewe upoupo tu, yani unanyatianyatia kila post ili uijibu.
mkuu ni vyema ukajifunza kuyasikia usiyoyapenda kuyasikia, na ujifunze kuyaelewa pia...upotoshaji uliopita kikomo kiasi hiki hauwezi kukisaidia chama badala yake unakiharibu chama. hukuwa na sababu ya kumshambulia zitto namna hii inayifanya. inawezekana nawe ni kama SAA NANE ambaye ameshuhudia uwongo mtakatifu humu jamvini bila hata sababu ya msingi. nakushauri uanze nawewe kujadili masuala.
 
mkuu naona umejiunga Jf na kuwa mchangiaji mkuu tena kwenye hii post tu, hivi zile ID 20 bado hazitoshi? uzi utajaa maneno yako tu.
wewe huoni usaliti kwa sababu ZZk amesha kuroga, na unakula hela yake mjini hutaki kwenda kijijini kwenu,
cha ajabu huyo zitto anasema kila mtu ajitetee mwenyewe nyie mpo tayari kufa kwa ajili yake hamjitetei nyinyi kweli njaa mbaya ha ha ha ha mtaishije mjini na ndo kimeshasanuka?

pia kwa nini Zitto anahusika kotekote na sio mtu mwingine?pamebaki kitambo kidogo tu kabla hapajakucha
 
Last edited by a moderator:
Asante sana kamanda Mchange kwakuleta huu ufafanuzi, maana haya uliyoyaandika ndiyo nilkiyotaka kuyatolea ufafanuzi japo bado nitatoa ufafanuzi wangu kuhusu hizi shutuma ambazo kwangu mimi nachokiona ni sawa na mtu kuchimba shimo halafu akatumbukia yeye mwenyewe.

Suala la Ben kutumiwa kimkakati katika harakati zakumchafua zitto na sisi ambao wao hutuita masalia wala halijaanza leo, huu ni mkakati unaoratibiwa dhidi ya Zitto pamoja na vijana ambao wanamuunga mkono Zitto, nazidi kusisitiza kwamba Ben Saanane anatumia uongo kuuaminisha umma kwamba anamfahamu Zitto kitu ambacho hata nafsi yake nina hakika inamsuta.

Ben acha kukimbia kivuli chako, sio rahisi kumchafua Zitto kama unavyoweza kudhani, japo mnajitahidi sana lakini hamtofanikiwa.

Palipo ukweli, uwongo hujitenga .

Juliana!karibu sana JF na ID ya ukweli...Japo sitaki kuhamini kuwa ulikuwa una ID fake.

Naona mnapongezana ujinga na Mchange na hii inaonyesha mliteta Mchange anze then na wewe ujiunge then uendeleze.

Labda niwaambie hivi Blaaa blaa hazitawatoa kwenye hili. Ben ameeleza yote ambao mlikuwa mnayafanya kwa kirefu mnacho fanya ninyi ni kuongezea nyama. Hamjibu hoja ya Msingi wala kukiri kuhusika japo kwenye maandiko yenu ipo wazi kuwa mlishiriki vyema. Kwasasa hatuitaji Longo Longo(Majibu) we need Solutions(Majawabu).

Kuna Mabandiko mengi tu hapa JF yemekuandika wewe na uhusiano uliyo nao wewe na Nape na mwigulu hukuwahi kujitokeza toka huko camp kuja kukanusha. Hili la BEN limekutoa shimoni.

Waswahili wanasema Mwanzo wa Ngoma ni lele......
 
Inaonekana viongozi wa CHADEMA wamemtuma Ben,jana walikesha kwenye ile thread kuangalia upepo unakwendaje hapa simuoni hata mmoja.
itakuwa wameenda kulala mkuu, si unajua maswala ya kukesha yanahitaji nguvu...lakini hapa wameshtukizwa na za uso. labda wanajipanga pia kama si kulala. tusubiri tuone, mie nimejitolea kuwa refa wa huu mtanange.
 
Mchange, Zitto, Juliana Shonza, Mtela Mwampamba ni wanafiki wakubwa kwa hoja 2 kuu;

1. Mchange, hii story umetunga na kuiunga unga tuu, haiwezekani mtu anayetaka kukua kwa ajali ya gari afungue tairi ya nyuma ya gari wakati anajua kwa kufanya hivyo huwezi kupata ajari mbaya inayoweza sababisha kifo. Umeandika hivyo kwa sababu HUJUI NA NI LIMBUKENI wa magari so hukujua unachokiandika.

2. Mdogo wangu MWAMPAMBA alitusaliti kule jimboni kwetu baada ya kumpigia kura za yeye kua mbunge but kwa roho yake ya unafiki akauza matokeo kwa CCM (Mh. Zambi) hivyo inanifanya niamini kuwa hata siku moja kunguru hawezi kuruka pamoja na njiwa. Japo kabla sijathibitisha kua anaweeza akawa mnafiki nilifanya kazi kubwa sana ya kumtetea jimboni kuwa namfahamu vizuri asingeweza kuuza matokeo ila naijutia nafsi yangu.
 
Last edited by a moderator:
Unajua nini Mchange,wewe ndiye mnafiki na mgawa & mpokea rushwa mahiri.Wewe si ulizuiwa usigombee kwa kutoa rushwa? Kwa taarifa yako,Kibaha Mjini hatukuamini tena baada ya kuhongwa na Koka.Wewe na Mkuu wenu wa Wanafiki-Zitto hamtakiwi chamani kimkakati...mnatakiwa ili chama kipambane na changamoto zenu.Hamaminiki tena.Uliwahi kusoma mahali Yesu amemtuma Yuda kutenda jambo fulani? Lakini alibaki nae.Hovyoooo
 
why Zitto, Zitto, Zitto mbona kuna mengi yakufanya??? jamani acheni mambo haya this country is poor we need to discuss other things.... we are tired of this khaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!
 
We Mchange ule ujinga uliokuwa una[ost kwenye face book kuhusu kadi ya Dk Slaa ndiyo akili ya kujenga Chama? then mbo post yako inafanana sana na watunga uongo wa Ki mihadhara ya dini fulani hivi?

cha maana huyu mchange tumpeleke cuf, huku hanumfai na hatutokua tiyar kwendelea kuvumilia upuzi wa huyu mnywa kahawa, chadema tupo vijana wengi na 2015 tutapata mgombea mzuri tu apo kibaha mjini kuliko huyu mbeba tunguri za zitto
 
Ni kwa sababu niliipima akili yake na kujua anachokitaka, na nisingeweza kumkimbia mapema kwa sababu angewasingizia mambo mengi sana wenzake.

Mpaka sasa baadhi ya viongozi wa chama wananichukia sana mimi, wanamchukia mwampamba na wengine, lakini hii ni kwa sababu ya uwongo waliokuwa wakilishwa na SAA NANE, yeye alikuwa anatuita tupumzike ama tupige story, halafu anakibadilisha kinakuwa kikao cha mikakati ya PM7 halafu anaanzisha maada za kujadili kisha anawarekodi na kupeleka kwa hao baadhin ya viongozi, masikini ya mungu viongozi wetu wanaamini na kuanza kuwaona wenzao waongo nakadharika.

Hii ni aina mbaya sana ya kufanya strugle, sisi hapa adui yetu ni CCM tu, tunavyopoteza muda kurekodiana wenyewe kwa wenyewe haisaidii kitu.

Muda alioutumia SAA NANE kuturekodi ili akauze habari angeutumia kufanya maswala ya msingi kwa chama hakika tungezidi kuwa mbali.

Lakini ndio hivyo tena njia ya mwongo fupi, na kila kitu sasa kipo hadharani.....NAENDELEA KU-COMPILE MANENO YAKE NILIYOMREKODI AKISISITIZA UANZISHWAJI WA PM7 NITAYAWEKA HUMU KILA MTU AMUELEWE SAA NANE NI NANI

Mchange sikiliza
unajeo unachoeleza hapa ni kama unataka kutuaminisha kwamba hao viongozi wa chama waliomtuma Ben ni kama matahahira.

Kwenye Post yako ya msingi umeeleza namna Ben alivyokuwa akijaribu kujenga hoja zake za usaliti kwa kuwakashifu viongozi wa chama na umesema hasa Katibu Mkuu na Mwenyekiti na umedai alikuwa anafanya haya yote huku akirecord kwa kutumia saa aliyonunuliwa na kiongozi mmoja wa kitaifa sasa unapodai kwamba alikuwa anawabadirishia maongezi na kuwarecord inamaana hao viongozi ni mafala kiasi cha kushindwa kudeduce kwamba ben ndio alikuwa anainginia hayo mambo??

Can you clarify this.
 
Back
Top Bottom