ni sawa kabisa Ben Saanane aliwashawishi na kuunda hicho kikundi(kama ni kweli).
Je hao wanakikundi hawakua na akili timamu mpaka kupangwa na kuunda kikundi na kutungiwa majina na kukaa kimya kwa mda wote huo mpaka yeye mwenyewe Ben Saanane kuanzisha mjadala wa kuwaanika wanakikundi hao hadi na wao ndo waje kujibu hoja kwa kumsema na kumsuta muasisi wa kikundi hicho??
je Ben Saanane asingevunja jungu hili hizi harakati za kundi hili zingeendelea mpaka lini kuharibu misingi ya cha hichi(kama ni kweli liku adhamira kuu)
CC. to Juliana Shonza Ben Saanane Zitto Exaud Mamuya Mchange
Hapa ni wazi saanane kafanya kazi sahihi ya kuwafichua hawa kima,wanapindisha maneno wotee.Masikini wewe.Hongera saa8.
Zitto ulitokana wapi na hizi takataka,fb kumekua moto wamekuja jf
Taswira na malindi mnajaza post ili uzi uwe mrefu kama wa Ben Saanane,hautamvutia yeyote
Juliana,ben,habib,gray huu usaliti wenu kama mlishirikiana na yule mzee aliyetabiria kufa kwa chadema na tiss,kwa huu uropokaji wenu watawaondoa
wasaliti,washirikina wakubwa.pumbav nyie na vizazi viunoni mwenu
ndiyom maana mnafeli mitihani hivihivi unaambiwa without using mathetical tables solve the following wewe unaamua kuachana na kiti unakaa chini. jibu swali kwanini zito hataki kuoa? kwani mwali kuwa ndani ndiyo kuoa wewe vipi? naona leo mnasaidiana , kyama chenu kimefika.uneniambia alikuwa hajapata mwenza ningekuona una busara lakini kwa hili bure kabia.
swala ni kundi hili kuundwa.Swala ni hilo kundi kutosimama,Maana yake liliishia kimya kimya.Kwanini hakujitokeza hapa nadhani wana lakujibu.Ila kwangu mm nahisi walitumia ushikaji zaidi kwenye mambo hatari.wakapotezeana. Sasa x mass imefika watu hawana hela wametunga uongo na kuongeza vitu kama hivi wakaamua kuleta jamvini kumhafuza zitto
'Mie simlaumu ZZK bali nawalaumu watu walioshirikiananae ktk maisha ya kijamii hasa shuleni huko TOSAMAGANGA na UDSM kwa kumumlea vibaya alitakiwa awe ameshafundishwa toka huko mashuleni na kwa jamii alioishinayo..lkn kwasasa ni ngumu sababu kwa umri huu busara inatumika zaidi na watu wa design yake hawafundishiki kwa busara'
Unamuelewa kwa sababu wewe mwenyewe ndo uliyeandikambona mimi nimemuelewa vizuri sana mkuu, kama anasema kuwa SAA NANE amewaingiza KING WENZIE sasa anataka kuwaacha kwenye mataa.
tuvute subira tusikie mengi zaidi
ni sawa kabisa Ben Saanane aliwashawishi na kuunda hicho kikundi(kama ni kweli).
Je hao wanakikundi hawakua na akili timamu mpaka kupangwa na kuunda kikundi na kutungiwa majina na kukaa kimya kwa mda wote huo mpaka yeye mwenyewe Ben Saanane kuanzisha mjadala wa kuwaanika wanakikundi hao hadi na wao ndo waje kujibu hoja kwa kumsema na kumsuta muasisi wa kikundi hicho??
je Ben Saanane asingevunja jungu hili hizi harakati za kundi hili zingeendelea mpaka lini kuharibu misingi ya cha hichi(kama ni kweli liku adhamira kuu)
CC. to Juliana Shonza Ben Saanane Zitto Exaud Mamuya Mchange
Saanane ndiyo kazi yake hapa mjini,Analazimisha kuonana na watu???duhh huyu kijana hatari ndani ya chama
matusi ya nini tena?Ban unaitafuta nje nje,Mods wapo kazini acha dharau