Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,185
- 10,911
Lete ushahidiNashukuru Mimi ni mwanaume wa shoka,siyo kwamba najisifia ila imetangazwa humu kwamba Mimi siyo kama Deo kisandu wala Ben Kinyaiya.Napiga shoo za kibabe.
Lete ushahidiNashukuru Mimi ni mwanaume wa shoka,siyo kwamba najisifia ila imetangazwa humu kwamba Mimi siyo kama Deo kisandu wala Ben Kinyaiya.Napiga shoo za kibabe.
anaumwa kitu gani wewe mshanaKwani amepona?
ahahaha dresing table itakuwa na foleniMbona anajiremba kama mwanamke..hiyo nyumba itakua na mwanaume kweli?
anaumwa kitu gani wewe mshana
Chumbani kutakuwa na dressing table mbiliMbona anajiremba kama mwanamke..hiyo nyumba itakua na mwanaume kweli?
Miongoni mwa maswali ya kichochezi ili watu wafunguke vibaya swahiba hivyo.Kwani amepona?
Deo kisandu ndo yule wa nivana? na kinyaiya kunengua na mapozi na kujitoboa vipini....wakitokea kwenye tv hadi huw anaona aibu kwa waifu, wanaaibisha jamii ya wanaume wote nchini.Nashukuru Mimi ni mwanaume wa shoka,siyo kwamba najisifia ila imetangazwa humu kwamba Mimi siyo kama Deo kisandu wala Ben Kinyaiya.Napiga shoo za kibabe.
ila ndoa ovyo sana,mambo ya kubanana,kuulizana uko wapi
yani ni usumbufu mtupu
Anatuaibisha wachaga huyu mpyumbafuView attachment 649380ndege wafananao
mkuu usitishwe na mtu anayeweka picha yuko na mwanamke kwenye public, jiulize kama yeye anajiamini kwanini anaweka picha ili kila mtu ajue alilala na mwanamke? kwani kuna wangapi wameoa lakini wanashikishwa ukuta vilevile? aache tabia za kike. wachagga hatuko hivyo.nyinyi endeleeni kupiga majungu lakini dada zenu dahawa wanazipata
Hicho kidani ni cha kike..au mi sioni?mkuu usitishwe na mtu anayeweka picha yuko na mwanamke kwenye public, jiulize kama yeye anajiamini kwanini anaweka picha ili kila mtu ajue alilala na mwanamke? kwani kuna wangapi wameoa lakini wanashikishwa ukuta vilevile? aache tabia za kike. wachagga hatuko hivyo.
Duu yaani rijali alindwe tena!!!Sasa imefika wakati wanaume marijali tuanze kulindwa na majeshi maana tuko mbioni kupotea
Itakuwa kama saloon ya wanawakeMbona anajiremba kama mwanamke..hiyo nyumba itakua na mwanaume kweli?