pnkuru
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 283
- 182
mkuu usitishwe na mtu anayeweka picha yuko na mwanamke kwenye public, jiulize kama yeye anajiamini kwanini anaweka picha ili kila mtu ajue alilala na mwanamke? kwani kuna wangapi wameoa lakini wanashikishwa ukuta vilevile? aache tabia za kike. wachagga hatuko hivyo.