Being a wife material sucks

Being a wife material sucks

Utajihitaje hivyo wakati haujajaribu hayo unamuachia kume ndio anayeyaona yapi akuite hivyo kuna mengi katika kuwa mke mengine ya kawaifa ila mengine yanazidi mengine.
 
A lady 27 yrs of age,beautiful,God fearing,educated,employed,n classy,but still single with no hope of getting her Mr right..Deep down inside my heart i see myself a wife material n i envy any man who will be with me..Nia sio kujipa promo wala kujitafutia janaume ila ni kuonyesha tu jinsi gan mtu unaeza kuwa the best lkn ukaambulia patupu.Inavoonekana wanawake wengi micharuko n exactly the opposite of wife material wamekuwa wakibahatika kuwa na life la Maana.Unakuta demu mcharuko,gold digger hana mapenzi ya dhati ila mwisho wa.siku.anakuwa na mwanaume kila mtu anajiuliza how comes kaolewa..ila ss hawa wengne wife materials ni full kustruggle living on their own means, having a moderate life ila mwisho wa siku wengi wao nasema wengi wao sio wote huishia kwenye ndoa zisizo bora sana na maisha yao huishia kuwa magumu tu. I have seen this happening to husband materials too..My conclution naona bora tu mtu uwe mcharuko ishi maisha yako achana na kujitaidi kuwa ms or mr perfect ili lolote litakalotokea mtu usiwe na chochote cha kuregreat, na hata ukipata ndoa bora alhamdullilah usipopata kukawa na vurugu mechi pia inshallah tuendelee kukomeshana huko ndoani maisha yaendelee..kweli wife material sucks!!!kuna mwenye wazo la tofauti???
charuka lakini jitayarishe kuona zaidi ya dushelele mia kabla ya kuitwa mcharuko, zenye kofia, kipara, roundabout, ring road, mgongo wa jogoo, vibamia, kichwa cha nyoka, na uwe unaweza kumiliki matundu matatu, siyo moja.... karibu
 
Wife material ni tabia ya mtu na huwa mtu so huwezi force.Na hata ukiforce itafika wakati utachoka.Kama mtu ni wife material si rahisi abadilike coz ndo tabia yake.Yawezekana wewe ulikuwa unaforce kuwa wife material sasa umechoka
 
12269855_1516395418653026_791922588_n.jpg
 
Sifa unaweza kuwa nazo kweli, tatizo where do you hang out? mi huwa nashauri mabinti ambao hawajaolewa wasikae sehemu moja tu, tembea tembea huko safiri safiri huko kwa ndg, jamaa na marafiki, siyo umeng'ang'ana hapo tu wakati huoni potential hubbies. Msijifungie kwenye box nyie wadada

cc atoto, Heaven Sent
Hahahaha haya ntaanza masafari basi my kaka
 
Last edited by a moderator:
Sifa unaweza kuwa nazo kweli, tatizo where do you hang out? mi huwa nashauri mabinti ambao hawajaolewa wasikae sehemu moja tu, tembea tembea huko safiri safiri huko kwa ndg, jamaa na marafiki, siyo umeng'ang'ana hapo tu wakati huoni potential hubbies. Msijifungie kwenye box nyie wadada

cc atoto, Heaven Sent

Naomba nauli kaka mito
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha haya ntaanza masafari basi my kaka

Naomba nauli kaka mito

Khaaa we sista atoto ndo na kibomu kabisaa loh

Ila kweli tembeani bana muonekane kwa prospectivie hubbies. Tena tembea kimkakati kabisa, kama una-wish kuoelewa na mjeda, tembelea ndg, jamaa na marafiki zako wa ujedani, kama unaplan awe bank teller, mwalimu sijui bandari, na wewe tembelea maeneo hayo hayo. Ujue wanaume tukiamua seriously kuoa tunaanzaga kuangalia within, tukikosa nasi tunatembea tembea vile vile, mara leo nikasali masaki (hapo nawinda mtoto wa ushuwani), wiki ijayo nikasali wanakosali sana wanafunzi (hapo nalenga msomi), likizo naenda kwa rafiki yangu aishie Njiro Arusha, hivo yaani ilimradi kuongeza wigo wa kupata wa ndoto zangu.

Sasa we dadangu kila siku uko pale pale, unaishi na watu wale wale, unaangalia watu wale wale, yaani inafikia hata wale ulikuwa unawaona wabaya sasa wamekuwa wazuri, coz you have no more options, lazima mwisho wa siku uchague humo humo mzuri ktk wabaya, ahaaaa akyanani!! Kimbembe siku ukikutana kwenye event na mashosti wako kila mtu na wake, unabaki kujilaumu na kuona aibu wenzio walivyochukua vyuma tupu, kumbe sababu mwenyewe ulijiwekea fensi ukajifungia kwenye box, aahaaaa unalo!!!!
 
Last edited by a moderator:
Dah nimeisoma post yako kimakini,nimegundua kujiona ndiko kunakusumbua,na kuna mda una feki kuonekana machoni kwa watu ila unashindwa na unarudia hali ile ile ndo maana umeamua kuandika hivyo.hamna mwaname anaye taka mke kama wewe
In short endelea kufake kutojiona bora maana in long run you fake it you make it!.
 
Khaaa we sista atoto ndo na kibomu kabisaa loh

Ila kweli tembeani bana muonekane kwa prospectivie hubbies. Tena tembea kimkakati kabisa, kama una-wish kuoelewa na mjeda, tembelea ndg, jamaa na marafiki zako wa ujedani, kama unaplan awe bank teller, mwalimu sijui bandari, na wewe tembelea maeneo hayo hayo. Ujue wanaume tukiamua seriously kuoa tunaanzaga kuangalia within, tukikosa nasi tunatembea tembea vile vile, mara leo nikasali masaki (hapo nawinda mtoto wa ushuwani), wiki ijayo nikasali wanakosali sana wanafunzi (hapo nalenga msomi), likizo naenda kwa rafiki yangu aishie Njiro Arusha, hivo yaani ilimradi kuongeza wigo wa kupata wa ndoto zangu.

Sasa we dadangu kila siku uko pale pale, unaishi na watu wale wale, unaangalia watu wale wale, yaani inafikia hata wale ulikuwa unawaona wabaya sasa wamekuwa wazuri, coz you have no more options, lazima mwisho wa siku uchague humo humo mzuri ktk wabaya, ahaaaa akyanani!! Kimbembe siku ukikutana kwenye event na mashosti wako kila mtu na wake, unabaki kujilaumu na kuona aibu wenzio walivyochukua vyuma tupu, kumbe sababu mwenyewe ulijiwekea fensi ukajifungia kwenye box, aahaaaa unalo!!!!

Kaka umeamua kushuka ese....!! Kweli kuna kitu nimekielewa hapo ukitembea ukikutana na watu wapya unatanua wigo wa fursa...!!
 
Last edited by a moderator:
Khaaa we sista atoto ndo na kibomu kabisaa loh

Ila kweli tembeani bana muonekane kwa prospectivie hubbies. Tena tembea kimkakati kabisa, kama una-wish kuoelewa na mjeda, tembelea ndg, jamaa na marafiki zako wa ujedani, kama unaplan awe bank teller, mwalimu sijui bandari, na wewe tembelea maeneo hayo hayo. Ujue wanaume tukiamua seriously kuoa tunaanzaga kuangalia within, tukikosa nasi tunatembea tembea vile vile, mara leo nikasali masaki (hapo nawinda mtoto wa ushuwani), wiki ijayo nikasali wanakosali sana wanafunzi (hapo nalenga msomi), likizo naenda kwa rafiki yangu aishie Njiro Arusha, hivo yaani ilimradi kuongeza wigo wa kupata wa ndoto zangu.

Sasa we dadangu kila siku uko pale pale, unaishi na watu wale wale, unaangalia watu wale wale, yaani inafikia hata wale ulikuwa unawaona wabaya sasa wamekuwa wazuri, coz you have no more options, lazima mwisho wa siku uchague humo humo mzuri ktk wabaya, ahaaaa akyanani!! Kimbembe siku ukikutana kwenye event na mashosti wako kila mtu na wake, unabaki kujilaumu na kuona aibu wenzio walivyochukua vyuma tupu, kumbe sababu mwenyewe ulijiwekea fensi ukajifungia kwenye box, aahaaaa unalo!!!!
Yani siku unanipiga tu midongo Ya kweli teh. On a serious note ushauri wako unafanyiwa kazi. Ni raha kuwa na kaka kama wewe, basi tu
 
Last edited by a moderator:
Forgive me my lady QUEENBM for telling you this, huo ushauri unaowapa vijana wenzako sio ushauri wenye maana wala manufaa kwao. Pili kuwa wife material hakukufanyi wewe upate husband material ila kuwa na tabia za wife material kunakuweka wewe katika nafasi nzuri za kupata husband material.

Kupata au kutoapata husband material ni chaguo la mtu, unaweza ukawa wife material na ukachagua mtu ambaye si husband material na unaweza ukawa sio wife material na ukachagua mtu ambaye ni husband material. La msingi hapa ni kujua sifa za mwanaume ambaye unataka kuwa naye katika maisha yako na uvitumie vigezo hivyo katika kumtafuta huyo mwenzi wako wa maisha huku ukimtanguliza Mungu mbele.

Thank you dear.. Thanks..
 
Last edited by a moderator:
Sifa moja kubwa sana ya mwanaume hupenda kuoa mke ambae anapafanya nyumbani pawe mahala tulivu na salama kwa kutuliza mawazo yake, uchovu na bughudha za mihangaiko yote ya siku ktk utafutaji mkate wa kila siku. Sio mwanamke anaesababisha mumewe kutamani jioni isifike ili asirudi nyumbani. Wanawake wengine ni kero tupu, anakufanya upachukie nyumbani badala ya kupapenda

Good point but kumbuka hata sisi pia tunaweza kuwafanya hivyo kama mkiwa na sisi mnatutreat vyema.. Wanasema when wife is happy and everything else is happy .. Siwatetei hao wanawake wasiojijua na kufanya men ATM natetea wale walio tayari kuwa wake wema na they are good wife.. Na hii ni kwa sababu nimeyaona kwa macho yangu mawili.. Mwanammke katulia ila mwanamme bado anawasiliana na Ex wake ambaye alimficha ukweli kuwa ana MTU yuko nae .. Na akija kwa mwanammke aliye nae anamuambia vingine kuwa alishaachana nae.. Basi ilimradi tuu .. Pamoja na yote Dada WA watu kwa wisdom anamuambia ukweli please honey stop kuwasiliana na huyo Ex wako because ananitoa amani yangu na ninakosa furaha moyoni.. Mwanamme anaahidi kuwa ameshaacha kumbe bado.. Sasa hebu niambie hapo amani itapatikana wapi? Tell me my Kaka.. Please tusi base one side only.. It has to be both sides.. To be able to bring Love, Peace and Joy.. Mungu atusaidie maana wengi hatujui what the really meaning ya ndoa.. Thanks..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom