mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,028
Nakubaliana na mawazo yako. Ila kuna wanawake hawajitambui kabisa, unampa kila kitu (mahitaji) lakini bado atakuzingua. Rafiki yangu kaoa na ana watoto 2, kapata nafasi ya kwenda kusoma, huwezi amini ndani ya mwaka 1 tu karudi mkewe ana MIMBA! ya miezi 7, yaani mimba kabisa!, nyumba nzuri kamjengea, gari kamnunulia, na kila aina ya anachohitaji anapewa, yaani ni adhabu aisee, baadhi ya wanawake taabu tu
Duh aiseeee!! halafu wa hivyo akiachwa napo analia ooh nisamehe nilipitiwa na shetani, khaaa!! shetani tunamsingizia kwa mengi
atoto, brenda18, housegirl
Last edited by a moderator: