Being a wife material sucks

Being a wife material sucks

Forgive me my lady QUEENBM for telling you this, huo ushauri unaowapa vijana wenzako sio ushauri wenye maana wala manufaa kwao. Pili kuwa wife material hakukufanyi wewe upate husband material ila kuwa na tabia za wife material kunakuweka wewe katika nafasi nzuri za kupata husband material.

Kupata au kutoapata husband material ni chaguo la mtu, unaweza ukawa wife material na ukachagua mtu ambaye si husband material na unaweza ukawa sio wife material na ukachagua mtu ambaye ni husband material. La msingi hapa ni kujua sifa za mwanaume ambaye unataka kuwa naye katika maisha yako na uvitumie vigezo hivyo katika kumtafuta huyo mwenzi wako wa maisha huku ukimtanguliza Mungu mbele.
 
Last edited by a moderator:
Too desparate....!
Kama kweli una hofu,imani na Mungu kua na subira kama umeandikiwa ndoa kua subira "Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri" huo umri wako usikutishe,lakini pia inawezekana ukawa umeandika hii thread ukiwa na hisia kali maana ume-sound kama mwanamke mwenye majivuno na maringo sana.
Baki kwenye mstari wako wa kua wife material maana ukitoka ili u-fake kwa ajili ya ndoa utapotea,nikutakie HERI na Mungu akupe kadri ya mahitaji yako.
 
ha ha ha mkuu upo.? usiumize kichwa na huyu mpuuzi huyu ni ma-ya-ya mzoefu tu eti wife material shenzi tu huyu.
Umepanic brother...cool down alaf soma tena iyo thread alaf u comment..hakuna mashindano ya matusi
 
Upo single? Mr right nipo hapa njoo pm....


Msinikuu vibaya....

Back to the topic.

Miaka ishirini na saba bado kidogo jua lizame but still una muda wa kutosha tuu kutulia na kuchanga karata zako vizuri.

Hata siku moja usiishi maisha ya maigizo ishi maisha yako ya kawaidia ili mr right akija akukute katika hali ambayo wewe upo!!! Usiigize wewe ni church girl kumbe club girl, mr right atakukuta to the right site.

Kumbukua kumuomba mungu, na pia usiwe mwepes mwepes utalia.
Ubarikiwe....
 
Hamjui mtakalo...

Suburini mtakutana na ma con man
 
Naona unataka kugeuza Nyeusi kuwa Nyeupe. Kifupi wewe umeshakata tamaa na inaonekana ulikuwa unapretend kuwa mtakatifu ili uolewe.

Ni hivii kama aishivyo MUNGU,binti yeyote ajitunzae anaolewa kwa ndoa ya heshima na kama ni mwanamaombi NDOA YAKE ITADUMU TU, wanawake wengi wanaoolewa kwa ndoa za heshima ni waliojitunza na wenye tabia njema na zaidi wanakuwa Baraka kwa wame zao.

Wewe umejichukulia sample yako na wanawake wasiotulia hata wakiolewa haichukui muda wanaachana na wame zao.

HUO NDIO UKWELI.
 
Forgive me my lady QUEENBM for telling you this, huo ushauri unaowapa vijana wenzako sio ushauri wenye maana wala manufaa kwao. Pili kuwa wife material hakukufanyi wewe upate husband material ila kuwa na tabia za wife material kunakuweka wewe katika nafasi nzuri za kupata husband material.

Kupata au kutoapata husband material ni chaguo la mtu, unaweza ukawa wife material na ukachagua mtu ambaye si husband material na unaweza ukawa sio wife material na ukachagua mtu ambaye ni husband material. La msingi hapa ni kujua sifa za mwanaume ambaye unataka kuwa naye katika maisha yako na uvitumie vigezo hivyo katika kumtafuta huyo mwenzi wako wa maisha huku ukimtanguliza Mungu mbele.

Umenena vema...asante kwa ushauri
 
Last edited by a moderator:
..My conclution naona bora tu mtu uwe mcharuko ishi maisha yako achana na kujitaidi kuwa ms or mr perfect ili lolote litakalotokea mtu usiwe na chochote cha kuregreat

Hii line ndo inawapa watu shida. Na unamaanisha.
 
Inawezekana bs nimejipa sifa ambazo sina..au.labda kauli zangu hazireflect who I real am

Gawa papuchi bibie,

Ya nini iliwe na nyenyere, eti u wife material

Kama vipi ni pm,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom