Bei za Vifaa vya ujenzi wa nyumba

Bei za Vifaa vya ujenzi wa nyumba

Mm niko kwenye finishing jamani nahitaji milango ya kichina na ya mninga mtu alete bei yake hapa kipimo chake ni
2. 5 urefu na upana 2m
 
Mkuu kwa hivi vifaa nistue nkuletee kwa bei nafuu sana....
Gypsum powder
Rangi
Gypsum board
Pvc ceiling
Mikanda ya Gypsum (cornizers)
Tiles
Nicheki kwa 0754729751

Mkuu una gypsum za wapi?

Ooh basi nimeona aina ya gypsum ulizo nazo.
 
Jamani, am much interested na uzi huu, mm nataka kuanza ujenzi wa nyumba maeneo ya Kibaga kwa Mathias(uelekeo wa Makao Makuu ya Chuo Kikuu Huria). Nyumba ina;
1. Vyumba vinne vya kulala lkn moja ni master.
2. Choo cha public.
3. Sitting room.
4. Dining room
5. Jiko

Naomba gharama za msingi kwanza, mf idadi ya tofari/mawe kwa ajili ya msingi na vikorokoro vyote kwa ajili ya kazi jiyo.
Looh! Watu mnafanya Quantity surveying bila vipimo?

Hata kama ni estimations , mjue zinahitaji kuwa na bases....
 
Huu uzi na uendele kuwepo tuu....


Quantity surveyors tuta-enjoy sana....

Material cost updates ni muhimu ku-build up rates...

Asanteni wakuu!
 
nataka kuweka msingi kwenye kiwanja changu huko chamazi
kiwanja kina futi 50-60 sasa nifanyaje wakuu mnisaidie
kwani nataka nyumba ya kawaida yenye sitting room1, kitchen room1, vyumba3 vya kulala, na bathroom ya ndani pamoja na bathroom ya nje
nahitaji kujua makadirio hapop ya ujenzi hasa nikianzia kwanza kwenye msingi halafu kidogokidogo nikijikusanya nianze kujenga taratibu nisaidieni kwa anayejua zaidi masuala ya ujenzi

na nyumba yangu nataka iwe mfano kama huu nimeattach ili muone nimeipenda huu mwonekano
 

Attachments

  • house4.jpg
    house4.jpg
    187.4 KB · Views: 563
ni futi 50 kwa 60 nddo nilimaanisha nilipimiwa kwa futi mkuu
Daah basi kiwanja chako ni kidogo sana. Futi 1 =0.3048 metres. Hivyo kwa metres kiwanja chako ni 15.24m kwa 18.29m. Kwa ukubwa wa hiyo nyumba uliyoisema hapo juu, unaweza usipate hata parking au ukipata haizidi ya mita 3.
 
Daah basi kiwanja chako ni kidogo sana. Futi 1 =0.3048 metres. Hivyo kwa metres kiwanja chako ni 15.24m kwa 18.29m. Kwa ukubwa wa hiyo nyumba uliyoisema hapo juu, unaweza usipate hata parking au ukipata haizidi ya mita 3.
mkuu kingmario inabidi ladyfurahia apate ushauri wa kitaalam ili aweze kujenga nyumba ya ndoto zake, nadhani inawezekana kwa kuwa hata nyumba za NHC ni ndogo kwa eneo na hata udogo wa nyumba kwa ujumla (ukubwa wa vyumba vya kulala, sitting room na dinning room ni vidogo).
 
Hizi ndio shughuli zangu mkuu Funguka unataka za namna gani.....Karibu
Unauza bei gani choo cha kukaa[Goodone],sink la kunawia mikono na shower na rail yake? Uko maeneo gani.
 
Unauza bei gani choo cha kukaa[Goodone],sink la kunawia mikono na shower na rail yake? Uko maeneo gani.
Mimi nipo Kariakoo....maeneo ya Gerezani....Choo ya Good one kwa sasa ni 170....Basini ya kunawa mikono....150...Kwenye hiyo Shawer unazungumzia ile yenye Kijumba cha kujifungiq kama Jacuuz?,,.hiyo kwa sasa mimi sina
 
Mimi nadili na vifaa vya finishing hasa mabomba na maSink hivyo vyakuanzia cna ujanja navyo ngoja tuwasubiri wadau wengine!

wewe mwenye deal na vifaa vya finihsing unapatikana wapi na bei zako zikoje?
Mfano Masinki, Vyoo tiles na gypsum boards
 
Mimi nipo Kariakoo....maeneo ya Gerezani....Choo ya Good one kwa sasa ni 170....Basini ya kunawa mikono....150...Kwenye hiyo Shawer unazungumzia ile yenye Kijumba cha kujifungiq kama Jacuuz?,,.hiyo kwa sasa mimi sina
nazungumzia shower ile bomba ya mvua tu[flexible] na rail yake ya ukutani.

productTemplate
 
Daah basi kiwanja chako ni kidogo sana. Futi 1 =0.3048 metres. Hivyo kwa metres kiwanja chako ni 15.24m kwa 18.29m. Kwa ukubwa wa hiyo nyumba uliyoisema hapo juu, unaweza usipate hata parking au ukipata haizidi ya mita 3.
sasa hapo nimeshakula hasara ya hicho kiwanja ila itabidi unisaidie ili niweze kujenga itakakidhi hiyo eneo na kubaki kasehemu kakubaki kitu au gari

kwani mkuu nyumba niliyosema hapo juu au hiyo niliotoa picha hapo inatakiwa niwe metres ngapi urefu na upana mkuu nisaidie kwa hapo
 
Mkuu kwa hivi vifaa nistue nkuletee kwa bei nafuu sana....
Gypsum powder
Rangi
Gypsum board
Pvc ceiling
Mikanda ya Gypsum (cornizers)
Tiles
Nicheki kwa 0754729751
Uko wapi mkuu?

Nitakutafuta mchakato ukikaa sawa. Nahitaji Gypsum Boards
na tiles. Hebu nikuulize swali mkuu. Nyuma ya Sq meter 288 inaweza kula gypsum boards ngapi?
 
sasa hapo nimeshakula hasara ya hicho kiwanja ila itabidi unisaidie ili niweze kujenga itakakidhi hiyo eneo na kubaki kasehemu kakubaki kitu au gari

kwani mkuu nyumba niliyosema hapo juu au hiyo niliotoa picha hapo inatakiwa niwe metres ngapi urefu na upana mkuu nisaidie kwa hapo
Hapo mkuu njia bora ni kumpata mtaalam wa ramani uende naye site yeye atakadiria vizuri zaidi dimensions za nyumba akiwa eneo husika na atakushauri kulingana na space iliyopo. Usiwatumie wale jamaa wa kuangalia site plan na kuchora ramani bila kwenda site. Kwa njia hii utaweza kutoa mjengo mzuri kulingana na eneo lako.
 
Back
Top Bottom