asmaa80
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 1,562
- 1,756
uko mkoa gani? pia.Mkuu weka gharama ya plumbing kwa nyumba ya kawaida
uko mkoa gani? pia.Mkuu weka gharama ya plumbing kwa nyumba ya kawaida
Jamani nimeongea na fundi mmona anasema mlango wa mninga wanje ni tsh 600000 na wandani ni tsh 400000 na frem zake munanishaurije
Jamani nimeongea na fundi mmona anasema mlango wa mninga wanje ni tsh 600000 na wandani ni tsh 400000 na frem zake munanishaurije
Kuna sehemu moja inaitwa mitundu iko wilayan manyon vijijin unaweza kupata mlango wa mninga kwa Tsh180000 \=tu
PVC elbow 4" Plain elf 2500 na Rubber elf 3wakuu naomba nipate bei ya hivi vifaa vya plumbing kwa sasa.
PPR PIPE 0.5"
PPR ELBO 0.5"
PPR TEE 0.5"
PVC PIPE 1.5"
PVC ELBO 1.5"
PVC TEE 1.5"
PLUG 1.5"
P TRAP
PVC PIPE 4"
PVC ELBO 4"
Ppr pipe 1.5" @ elf 35wakuu naomba nipate bei ya hivi vifaa vya plumbing kwa sasa.
PPR PIPE 0.5"
PPR ELBO 0.5"
PPR TEE 0.5"
PVC PIPE 1.5"
PVC ELBO 1.5"
PVC TEE 1.5"
PLUG 1.5"
P TRAP
PVC PIPE 4"
PVC ELBO 4"
Nashukuru kwa taarifa mkuuPpr pipe 1.5" @ elf 35
Ppr tee n Elbow @ elf 4
Ppr Plug 1.5" @ elf 2500
NAHITAJI MNISHAURI MKUU KWANI SIJUI VIZURI MASUALA YA UJENZI NAMI NATAKA KUJENGA HIVYO PLS USHAURI WENU NI MUHIMU KWANGU MKUU NSEREKO PLSmkuu kingmario inabidi ladyfurahia apate ushauri wa kitaalam ili aweze kujenga nyumba ya ndoto zake, nadhani inawezekana kwa kuwa hata nyumba za NHC ni ndogo kwa eneo na hata udogo wa nyumba kwa ujumla (ukubwa wa vyumba vya kulala, sitting room na dinning room ni vidogo).
UNAWEZA KUNIPA MTAALAMU WA KUSOMA RAMANI WA AU WA KUCHORA RAMANI KWA BEI NAFUU KULINGANA NA JINSI NILVYO?Kabla hujaanza ujenzi omba usaidiwe utaalamu vipi utajenga nyumba yako kwa gharama ndogo. Kwa huyo architecture
mkuu hapa jf kuna wataalam wa michoro na ushauri nadhani watakuja hapa, ramani nilichorewa na mtaalam mmoja toka tanroad kibaha ila nimepoteza mawasiliano yake nitajaribu kumtafuta nikimpata nitakulink naye ila pia si vibaya kama hawa wataalam wetu hapa jf wakijitokeza itakuwa vyema zaidi.UNAWEZA KUNIPA MTAALAMU WA KUSOMA RAMANI WA AU WA KUCHORA RAMANI KWA BEI NAFUU KULINGANA NA JINSI NILVYO?
Hizo taa ni za LED?Wanao hitaji tuwasiliane end of may vitakuwa vimefika kutoka UK, na uza whole sale and retail, vyenye ubora wake View attachment 343036View attachment 343037View attachment 343038View attachment 343039View attachment 343040