stanleyRuta
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 851
- 529
Mi.nafikiri ungeandika.kichwa.cha habari.dili la.vifaa vya ujenzi..kuna watu wengi wako humu wanaweza.kutuuzia.kwa bei.nzuri.na ukamaliza.we.unafikiri za tra 73 wamenunua kihalali nondo..cement..tupeane.michongo na wa wiring.nanyie.mtupe dili tunapataje kwa bei nzuri tujenge nasisi nyumba za.jf..sio za tra..
Uliza kifaa chochote cha domestic wiring uambiwe bei na uletewe