Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Wakubwa, ninaulizia bei ya vyoo vya kukaa, vya kuchuchumaa, na masinki ya kunawia mikono imara na bora kabisa.
Umeshapata Mkuu kama bado nicheki 0768029967 au pmWakubwa, ninaulizia bei ya vyoo vya kukaa, vya kuchuchumaa, na masinki ya kunawia mikono imara na bora kabisa.
unaweza kunisaidia maana ndo nimeanza kuandaa vitu vya ujenziKabla hujaanza ujenzi omba usaidiwe utaalamu vipi utajenga nyumba yako kwa gharama ndogo. Kwa huyo architecture
Mkuu bei ya hivi vitu ipoje kwa sasaTILES
30/30 polcn 20PC 19500 CERAMIC 25000. 40/40 POLCN 27000, CERAMIC 32500, GRANIT 34000.
Gypsub board....17500 Thailand
Gypsum board ....15000 china
Gypsum powder.....17000
Cornizer..........3200
Pvc ceiling.......10000
Gypsum screw....5000
Fiber tapes........9000
Rangi emulsion 20lt......33000
N.k
N.B Bei hapo juu haziko fixed zaweza kupanda au kushuka
Tangu 1993 unafanya kazi ya udalali, wewe utaanzisha yako lini?Karibu ndugu napiga hizi mambo tangu mwaka 1993
Wakubwa, ninaulizia bei ya vyoo vya kukaa, vya kuchuchumaa, na masinki ya kunawia mikono imara na bora kabisa.
Naomba website links za maduka yanayouza vifaa vya ujenzi pamoja na vifaa vya ndani kama sinks, vyoo na kadhalika.