Bei za Vifaa vya ujenzi wa nyumba

Bei za Vifaa vya ujenzi wa nyumba

Hapo mkuu njia bora ni kumpata mtaalam wa ramani uende naye site yeye atakadiria vizuri zaidi dimensions za nyumba akiwa eneo husika na atakushauri kulingana na space iliyopo. Usiwatumie wale jamaa wa kuangalia site plan na kuchora ramani bila kwenda site. Kwa njia hii utaweza kutoa mjengo mzuri kulingana na eneo lako.
asante sana kunisaidia nitatawatafuta mkuu umenisaidia sana
 
Uko wapi mkuu?

Nitakutafuta mchakato ukikaa sawa. Nahitaji Gypsum Boards
na tiles. Hebu nikuulize swali mkuu. Nyuma ya Sq meter 288 inaweza kula gypsum boards ngapi?
Mkuu invisible mi nipo dar ,

GYPSUM BOARD
Dimensions za board moja ni 2.4×1.2(m)
Hivo board moja =2.88 square meters.

Total plan square meters =288

Number of gypsum boards=288÷2.88

Kwa hiyo utahitaji board 100.

TILES

Endapo ukihitaji Tiles za 40×40.
1 box=1.12sqm.

Hivo basi itakuwa

Total sqm÷box sqm
288÷1.12
=257boxes

Shukrani mkuu
 
Hapo mkuu njia bora ni kumpata mtaalam wa ramani uende naye site yeye atakadiria vizuri zaidi dimensions za nyumba akiwa eneo husika na atakushauri kulingana na space iliyopo. Usiwatumie wale jamaa wa kuangalia site plan na kuchora ramani bila kwenda site. Kwa njia hii utaweza kutoa mjengo mzuri kulingana na eneo lako.
umenena maneno kuntu mkuu kingmario.
 
Nauza bath pamoja na screen panel, ila bath panel sina, kutoka UK highly quality bei 500,000 lipo zanzibar.

1454591486895.jpg
pia nina shower tray pamoja na screen panel kutoka UK bei 2 milioni.
Kama unaweza kuingia eBay angalia bei yake.
1454591591684.jpg
 
Kwa wale wataalamu wa grill za madirisha na milango ya kisasa naweza kuwapata wapi?
 
Mkuu invisible mi nipo dar ,

GYPSUM BOARD
Dimensions za board moja ni 2.4×1.2(m)
Hivo board moja =2.88 square meters.

Total plan square meters =288

Number of gypsum boards=288÷2.88

Kwa hiyo utahitaji board 100.

TILES

Endapo ukihitaji Tiles za 40×40.
1 box=1.12sqm.

Hivo basi itakuwa

Total sqm÷box sqm
288÷1.12
=257boxes

Shukrani mkuu

Asante Mkuu.
Ningependa pia kujua bei zake.
 
Tiles 34000/_
Gypsum board.17500/_

Bei si negotiable mkuu??
Yaani nikishakamilisha nikakutafuta inaweza kushuka??
Ningependa kujua tiles ulizo nazo ni za wapi?? (Spain/China or??)
Natanguliza shukurani
 
nataka kuweka msingi kwenye kiwanja changu huko chamazi
kiwanja kina futi 50-60 sasa nifanyaje wakuu mnisaidie
kwani nataka nyumba ya kawaida yenye sitting room1, kitchen room1, vyumba3 vya kulala, na bathroom ya ndani pamoja na bathroom ya nje
nahitaji kujua makadirio hapop ya ujenzi hasa nikianzia kwanza kwenye msingi halafu kidogokidogo nikijikusanya nianze kujenga taratibu nisaidieni kwa anayejua zaidi masuala ya ujenzi

na nyumba yangu nataka iwe mfano kama huu nimeattach ili muone nimeipenda huu mwonekano
Kwa nyumba ya hio ungechora ramani kwanza halafu ndio ukaomba ushauri huo. Just am concerned
 
Kabla hujaanza ujenzi omba usaidiwe utaalamu vipi utajenga nyumba yako kwa gharama ndogo. Kwa huyo architecture
asante sana mkuu itabidi nikutafute unisaidie jambo hili maana nataka nijenge kwa gharama nafuu ndugu yangu kutokana na hali ya uchumi ilivyo
 
Kwa nyumba ya hio ungechora ramani kwanza halafu ndio ukaomba ushauri huo. Just am concerned
asante nitamtafuta mtaalamu wa kunichorea ramani kisha nianze mchakato mwingine wa ujenzi
 
Wadau anaefahamu bei ya bati km hizi naomba anijulishe
 

Attachments

  • 1454752185480.jpg
    1454752185480.jpg
    37.7 KB · Views: 447
Naomba kuuliza kwa anaejua msingi wa nyumba unaogharimu kiasi cha milion nane fundi anastahili kulipwa kiasi gani? Naomba ufafanuzi kwa anaejua
 
nataka kuweka msingi kwenye kiwanja changu huko chamazi
kiwanja kina futi 50-60 sasa nifanyaje wakuu mnisaidie
kwani nataka nyumba ya kawaida yenye sitting room1, kitchen room1, vyumba3 vya kulala, na bathroom ya ndani pamoja na bathroom ya nje
nahitaji kujua makadirio hapop ya ujenzi hasa nikianzia kwanza kwenye msingi halafu kidogokidogo nikijikusanya nianze kujenga taratibu nisaidieni kwa anayejua zaidi masuala ya ujenzi

na nyumba yangu nataka iwe mfano kama huu nimeattach ili muone nimeipenda huu mwonekano

Hiyo Bati Ujiandae sio mchezo itakukula sana na Mbao za kutosha kofia inameza bati si masihara
 
Back
Top Bottom