Miunda
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 530
- 183
Hio bei ya meter auWadau anaefahamu bei ya bati km hizi naomba anijulishe
Hio bei ya meter auWadau anaefahamu bei ya bati km hizi naomba anijulishe
mkuu kama vp jaribu kuchongesha mikoan hasa Tabora walau ipo chini kidogo then unasafirisha kidogo itaokoa hio gharama..kwa hapa Singida top za milango is btn 250-300k so pia kama una ndugu yako hapa unaweza chongesha then unasafirisha kwa malori amabyo huwa mwngi yanapita hapa tupu na haiwezi zid 50k kusafirisha mlnago 1Jamani nimeongea na fundi mmona anasema mlango wa mninga wanje ni tsh 600000 na wandani ni tsh 400000 na frem zake munanishaurije
Naomba kuuliza kwa anaejua msingi wa nyumba unaogharimu kiasi cha milion nane fundi anastahili kulipwa kiasi gani? Naomba ufafanuzi kwa anaejua
Mkuu hao jamaa ni waITALY vitu vyao vya ukweli ila Bei ujipange ikitaka za China Grade nzuri unitafutewakuu natafuta hivi vitu nitavipata wapi yenye ubaora? Nimeangalia online nimeona hili duka linaitwa CTM liko nyerere road. Je vitu vyao imara hawa watu?
Asante kwa mwongozoKiongozi, huwezi kupata maelezo yanayotosheleza kwa details za namna hiyo.
Gharama za kujenga msingi hutofautiana kwa factors nyingi mno. Unatakiwa kueleza ukubwa (size) wa nyumba, ikiwezekana toa floor plan ili wadau wajue size ya nyumba yako, sema unajenga kwenye landscape gani, udongo wa aina gani na wapi hasa ili kujua costs za vifaa mbalimbali kama tofali, saruji, nondo, mbao na vitu vingine.
Fundi huwa mnafanya makubaliano tu. Lakini in most cases foundation utachajiwa kati ya 1.3m hadi 2m kwa nyumba ya size ya kawaida, say 100sq.m hadi 200sq.m
mkuu duka lako liko wapi nije kuangalia vifaa maana hawa jamaa bei zao nimeshindwawakuu natafuta hivi vitu nitavipata wapi yenye ubaora? Nimeangalia online nimeona hili duka linaitwa CTM liko nyerere road. Je vitu vyao imara hawa watu?
Mkuu unaweza nipa contract ya mtu yyte singidamkuu kama vp jaribu kuchongesha mikoan hasa Tabora walau ipo chini kidogo then unasafirisha kidogo itaokoa hio gharama..kwa hapa Singida top za milango is btn 250-300k so pia kama una ndugu yako hapa unaweza chongesha then unasafirisha kwa malori amabyo huwa mwngi yanapita hapa tupu na haiwezi zid 50k kusafirisha mlnago 1
wameweka bei zao online ila wanatumia South Africa Rand kwa bath set hiyo wanauza kama laki 6 hivi
Mkuu, huyo fundi anapatikana wapi?...nadhani nahitaji huduma yake.Jamani nimeongea na fundi mmona anasema mlango wa mninga wanje ni tsh 600000 na wandani ni tsh 400000 na frem zake munanishaurije
Brio huyu anapatikana tangaMkuu, huyo fundi anapatikana wapi?...nadhani nahitaji huduma yake.
India ndio nzuriKwa zile za kuchuchumaa ni zipi nzuri?